Miguel Alvarez
JF-Expert Member
- May 28, 2019
- 2,856
- 5,430
Hahahaha haa sema wadangaji wakimataifa lazima wamlipizie Mobeto haiwezekani si unajua mademu zao kushindanaπAwe na akili ya maana sasa maana vibinti vya kibongo cha maana anachoweza kufanya ni kuomba afunguliwe maduka ya nguo π nchi nzima π kisha chenchi ajengewe ghorofa na BMW X7
Mobetto atakuwa kamlima mtama Uwoya hapo lazma akune kichwa kutafta danga la USA beiby!πHahahaha haa sema wadangaji wakimataifa lazima wamlipizie Mobeto haiwezekani si unajua mademu zao kushindanaπ
Wanaotoa ndogo Mashoga hao sio wanaumeπKwa hizi hasira za wanaume juu ya Hamisa, no wonder na wenyewe wanaamua kutoa ndogo, yaani nilidhani wanawake ndio wawe na wivu kwa mwanamke mwenzao ajabu ni wanaume ndio wanakua na wivu kwa mwanamke,
Lol
Maajabu hayawezi kuisha Tanzania yangu.
Hamissa ni mjasiriamali wa kimataifa!!..moja ya wasichana wachache wa kibongo ambao uchi umewapa mafanikioHii ndio ile wanaita kudanga kwa weledi [emoji28]..
Huyu mwamba kweli lazma aje kuwekeza zile billion 8 zake bongo kashafinyiwa kwa ndani na mtoto wa Tandale uswahilini!
Inaonekana kapata review kwa rotimi kuwa hizi ngozi za kibongo ni noma [emoji3]
Haa ni mjasiriamwili bana sio mali sema tu anafanya kiustadi kiasi kwamba imembadilishia maisha kabisa! Nadhani ameelewa soko linahitaji nini πHamissa ni mjasiriamali wa kimataifa!!..moja ya wasichana wachache wa kibongo ambao uchi umewapa mafanikio
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Nimemshangaa sana huyo Jamaa, iliwezekana kwa yule Mwanamke Mkenya kumkataa Domo, ishindikane Bongo? [emoji16]Sio kweli kwamba Tz hakuna mwanamke anayeweza kumkataa mond
Jamaa anawaonea wivu Sana wanawake, anatamani angekuwa mwanamke ili agongwe na diamond.πππNadhani anatamani awe na mbususu Mwaume unapata wapi ujasiri kwa kudhani kwamba D hawezi kukataliwa na mke yoyote yule ina maana ana tamani angekuwa na mbususu asingekataa
Umempanikisha jamaa yako mpaka kapewa punishment!! ha ha, nimesoma mtiririko wa comment zenu mwanzo mwisho, nilichogundua siri yangu.Wewe sio mzima nadhani kuna Mwanamke kakutenda comments zako hazieleweki una tetea kitu gani sio kila Mwanamke anayepingana nawe kwenye Comment uka mchukulia poa mimi hunipati kivyovyote vile acha Ujinga kujifanya una akili kubwa kumpata Mangelo wako humu Jf usione kila mtu ni mjinga kama huyo aliyetoka nawe asiyejitambua.
Jamaa kapigwa tukio na Mwanamke wa humu hasira ana tumalizia tusio husika yaani kila Comments ukipingana nae yeye ni matusi kweli wanawake wahumu hivi kana kwamba katoka na Wanawake wote wa JFJamaa anawaonea wivu Sana wanawake, anatamani angekuwa mwanamke ili agongwe na diamond.
Huyu ndugu hamumtakii mema mnampiga kote kote mmefanya hadi kapigwa kufuli.. sio poa. Binafsi dhana yake haiko sawa hivyo naelekeza ipingwe!!Kwa kweli hawawezi kuchomoa kwa mond Kama atawahitaji, kwa hapa bongo nakubali usemi wako hakuna mwenye uwezo wa kumkataa mondi kuanzia wewe, mkeo na mama yako hivi mtaanzaje Kwanza kumkataa mondi akiwahitaji?
Nimeandika ukweli tatizo nadhani ana stress za Wanawake sana sijakataa anachoamini ila sidhani kama ni wote shida hataki kuamini maoni ya mtu mwengine zaidi ya matusiUmempanikisha jamaa yako mpaka kapewa punishment!! ha ha, nimesoma mtiririko wa comment zenu mwanzo mwisho, nilichogundua siri yangu.
Wanatamani awakopee hela ya Xmas kutoka kwa Richie Forever.Kwa hizi hasira za wanaume juu ya Hamisa, no wonder na wenyewe wanaamua kutoa ndogo, yaani nilidhani wanawake ndio wawe na wivu kwa mwanamke mwenzao ajabu ni wanaume ndio wanakua na wivu kwa mwanamke,
Lol
Maajabu hayawezi kuisha Tanzania yangu.
Anadai Anatujua wote na anajua tumechoka na maisha balaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Jamaa kapigwa tukio na Mwanamke wa humu hasira ana tumalizia tusio husika yaani kila Comments ukipingana nae yeye ni matusi kweli wanawake wahumu hivi kana kwamba katoka na Wanawake wote wa JF
Ni kweli sio wote wakati mwingine sio stress ni dhana yake ya kuona labda huyo msanii ndo sukari yenu warembo na kwamba hamuwezi kumkataa. Amekosa kuona mambo kwa mapanaNimeandika ukweli tatizo nadhani ana stress za Wanawake sana sijakataa anachoamini ila sidhani kama ni wote shida hataki kuamini maoni ya mtu mwengine zaidi ya matusi
Hamisa kashawapiga gap hao kina wema na alivozalilishwa na kina Domo akapata fundisho na kunyanyuka na kuwa boraMimi nampa heko huyu binti. Siyo kila siku kulia na akina Harmonize au Diamond. Anaenda kutafuta huko na analeta kuwekeza hapa nchini. Tumuunge mkono na kumpa mbinu ili asiwe kama Wema
Yaani wakishatoka na Mwanamke wa humu wana dharau kweli kweli kila mke wanaona yuleyule π¬Anadai Anatujua wote na anajua tumechoka na maisha balaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]