Miguel Alvarez
JF-Expert Member
- May 28, 2019
- 2,856
- 5,430
Hahahaha haa sema wadangaji wakimataifa lazima wamlipizie Mobeto haiwezekani si unajua mademu zao kushindana😁Awe na akili ya maana sasa maana vibinti vya kibongo cha maana anachoweza kufanya ni kuomba afunguliwe maduka ya nguo 😅 nchi nzima 😅 kisha chenchi ajengewe ghorofa na BMW X7