Hamisa Mobetto kwenye penzi zito na Rick Ross, wapo Dubai wakila bata

Inaonesha wametembea na wabovu humu maana kila comments humu kuna Wanawake wabovu kuna shida kwenye mawazo yao mfuu
 
Matumizi mabaya ya neno la HERO.

Hamisa kashawapiga gap hao kina wema na alivozalilishwa na kina Domo akapata fundisho na kunyanyuka na kuwa bora
Unajua kama mtu anasaka pesa mwache maana wengine wanasaka kwa kusafisha vyoo, wengine kutuosha sie vizee, na wengine kuinadi K. Hivi tofauti ya Vanessa na yeye ipo wapi? Kwani yupo kitaa akitafuta wanaume awape k wampe pesa? Si amepata Boyfriend kama wanawake wengine? Hi hero
 
Mzee mbona mimi sijaongea kwa hasira,,,afu nimetoa maoni yangu kama watu wengine wanavyotoa hauna sababu ya kunishambulia.
Tigo ya Amisa, kuteseka unateseka wewe, inakuwaje hii?

Kwamba Watanzania hawali tigo? au unasumbuliwa na wivu na mtu ambaye hata kukujuwa tu hakujuwi?
 
Kuna ma-mtu yanakojolea pazuri jamani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…