Hamisa Mobetto kwenye penzi zito na Rick Ross, wapo Dubai wakila bata

Hamisa Mobetto kwenye penzi zito na Rick Ross, wapo Dubai wakila bata

Rozeeeeee!! Unhhaaa!!

I got a Chick in New Orleans, Bird hooked me up with
Keys to the crib, now its birds up in her shit
Chick with a Honda, so that Chick can save
Lookin' like a saint, but a trunk full of H
Got a Chick in the Bay, she wanna fvck Khaled
Audition for the boss, let me see you talent
The Chick do tricks, the Chick do cane
She snort it off your d!<k right before she give you brain.


Got a Chick real slim, who wanna do films
If you go down on a boy I might go out on a limb
I got a Chick wear plex, or the Chick hair straight
I break a Chick harder than every Chick that I break
I got an R&B Chick, I got a rap Chick
Call her anime, cause I got a stack Chick
I got a Chick on her period, thats money loss
I'm out two for one ho, you fvckin' with a boss.


Mkuu tutafsirie alichomaanisha🤣
 
Umekosea,wanawake wa kibongo ndio sawa na wanawake wengine duniani, kama unaona Mond anaweza kukataliwa na wanawake wa nchi za nje basi pia Mond anaweza kukataliwa na wanawake wa kibongo...wanawake ni wale wale
Demu wa kumkataa ni aliyejitosheleza sana😅 yani ambaye hana njaa hata kidogo! Ambaye kwake mapenzi sio pesa haongozwi na tumbo au tamaa ya vitu.

Mademu wengi wa kibongo mna tamaa ya mambo makubwa hata wale maarufu hawapindui mbona hio inaelewekaga, na ikija kwa mahusiano wengi hupendelea wanaume powerful sababu huwa mko kwenye competition with other girls. Upate bwana wa kuringishia mashosti wako akulaze hotelini akupeleke dubai akununulie macho matatu😂

Kuna ile kitu mnaita “mtu wa maana” au mwanaume wa maana. Tafsiri ni mwanaume ambaye ukitaka chochote anakupa bila kusita esp. wenye kazi nzuri au wafanyabiashara wakubwa. Ni ngumu sana mwanamke kumkatalia mtu wa hivi hasa pia akiwa ni maarufu ndio full kujigonga.

Humu ni rahisi kukataa na kujifanya eti oh me flani hawezi kunila. Ila mtu huyo huyo ndio kinara wa kusema oh mi siwezi date na mwanaume asiye na hela wa kazi gani? Af ndio umkatae mtu kama Mondi si ndoto hizo.
 
So analisaidia Taifa kupitia mbususu yake sio[emoji1787][emoji2]
Huyu jamaa akimdakisha laki moja, lazima atanunua chumvi kwa mangi; mangi amepata ajira. Jioni mangi atatafuta mbege ili apoze koo. Ajira kwa muuza mbege; na muuza mbege anainunua hiyo mbege Uru; hivyo usafiri wa hiyo mbege ni ajira pia. Mwisho hapo kwetu Njari tunaolima ndizi tunapeleka watoto wetu shule. Huoni kuwa hiyo pesa imesaidia taifa?
 
Demu wa kumkataa ni aliyejitosheleza sana[emoji28] yani ambaye hana njaa hata kidogo! Ambaye kwake mapenzi sio pesa haongozwi na tumbo au tamaa ya vitu.

Mademu wengi wa kibongo mna tamaa ya mambo makubwa hata wale maarufu hawapindui mbona hio inaelewekaga, na ikija kwa mahusiano wengi hupendelea wanaume powerful sababu huwa mko kwenye competition with other girls. Upate bwana wa kuringishia mashosti wako akulaze hotelini akupeleke dubai akununulie macho matatu[emoji23]

Kuna ile kitu mnaita “mtu wa maana” au mwanaume wa maana. Tafsiri ni mwanaume ambaye ukitaka chochote anakupa bila kusita esp. wenye kazi nzuri au wafanyabiashara wakubwa. Ni ngumu sana mwanamke kumkatalia mtu wa hivi hasa pia akiwa ni maarufu ndio full kujigonga.

Humu ni rahisi kukataa na kujifanya eti oh me flani hawezi kunila. Ila mtu huyo huyo ndio kinara wa kusema oh mi siwezi date na mwanaume asiye na hela wa kazi gani? Af ndio umkatae mtu kama Mondi si ndoto hizo.
Yaani umegonga nyundo penyewe.

Humu wanajionaga matawi Ila spite mwana yuko loaded mbele yake hachomoi analika kilaiiini[emoji1787]
 
Yaani umegonga nyundo penyewe.

Humu wanajionaga matawi Ila spite mwana yuko loaded mbele yake hachomoi analika kilaiiini[emoji1787]
Demu anayejifanya hawezi liwa na mondi ndio yule yule ambaye always anasemaga mwanaume asiye na kitu hata nyege hazipandi yani siwezi kudate naye kwakweli!

Imagine mtu kama espy ama Evelyn Salt anashupaza shingo kwamba hawezi kuliwa na CEO wa Wasafi Media si itakuwa vichekesho hivyo😅
 
Sipati picha kiingereza cha Rick Ross's na hamisa huko ndani .....


Rick ross ,: hey niggas I want to go with that motherfu**ck bitch room right now ,I want to fu***ck this night [emoji28][emoji28]

Board guard wake: come on rozzziii ,use condoms boss .!

Rick ross 😛ussy so wet u know ,whole night bending into may dick
 
Haya sasa wambea wote wa mjini wamehamia Dubai baada mdada wa mjuni aka slay Queen kwenda Dubai ka bataa ghafla bin vuu Jana mapichapicha yameanza yuko na msaani na mwanamuziki wa Kimarekani mzee baba Rick Ross full mahaba, mahabani,imepekekea mpk pages maarufu za umbea dunia km shaderoom chamber kumposi Mobeto na Huyo anaesadikika kua mpenzi wake mpya Rick Ross....
Mwanzo watu walidai kapelekwa na Yule mbunge wa kuleee kwa Mkoa wa ....kumbe mwenzao walaa yuko na new bebe duniani..

Mnaambiwa ukitaka kula nguruwe kula aliyenona. Naona Dada zetu wanatuwakilisha vzr kaanza vee mapesa ,sasa hivi Mobeto,sijui next ni nani...

R.I.P warumi...!!we fill the void....!!!
Mh mbunge mlokole [emoji2960]
 
Mimi ni mdada usijesema najitetea hapa [emoji1] ....Ujue wanawake sisi kwa sisi pia tunatofautiana, jamaa atakubaliwa na wanawake wanaopenda wanaume wa aina yake maana kama ni pesa mbona wanaume kibao mtaani wako njema tena sana hivyo inawezekana kunasa kwingine kwake isiwezekane sababu tuna machaguo yanayotafautiana.
Kwa kweli hata mimi Diamond hanivutii. Sijui wanawake wenzangu wameonaga nini kwake ila mimi hapana
 
Demu anayejifanya hawezi liwa na mondi ndio yule yule ambaye always anasemaga mwanaume asiye na kitu hata nyege hazipandi yani siwezi kudate naye kwakweli!

Imagine mtu kama espy ama Evelyn Salt anashupaza shingo kwamba hawezi kuliwa na CEO wa Wasafi Media si itakuwa vichekesho hivyo😅
Unanisingizia uongo mkubwa sana, mi lini nimesema siwezi kuliwa na CEO?😁
 
Back
Top Bottom