That Gentleman
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 2,215
- 3,678
"Tunguli zimenibamba Mobeto"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliye feli ni Fally Ipupa! Huwezi kukataa mbunye iliojileta yenyewe huo sio urijali[emoji28]! Mobeto anatafunika yupo fiti
Hainihusu sihusiki nao maana hawanipi Hata buku Wana faida gani kwangu |QUOTE]inasikitisha pale unapoona mwanaume anamuonea wivu mdada, yaan anataman angekuwa yeye,
📌📌📌📌📌Hilo liko wazi Mkuu ,achana namambo ya "Ana shingo..namm ninayo....Ana pua...namm ninayo...Ana miguu ,namm ninayo...ana matiti...namm ninayo..."
UTOFAUTI UTAENDELEA KUWEPO DAIMA....
And she really know that 100‰ !!!.
Hahahahah kweli maana Olivia alikuwa anatafunwa na 50 cent wakati yeye anafanya mchakato wa kujitwalia mzigoKuna watu wameumbwa na kinyaa!
Hawali chochote kilichopo wanachokutana nacho!
Wanaishi na kula kwa principles.
Hawalagi vya wote!
Wanasema wanaume ndo wameumia Hamisa kwenda Dubai na tajiri kuliko sisi wanawake. Sasa unajiuliza hiyo hasira wako nayo ni ipi? Wanatamani wangekua na wao wanawake waliwe na mtu kama Rosey au ndo joto hasira wanaona hawamuwezi tena. Nawaza badoKwa hizi hasira za wanaume juu ya Hamisa, no wonder na wenyewe wanaamua kutoa ndogo, yaani nilidhani wanawake ndio wawe na wivu kwa mwanamke mwenzao ajabu ni wanaume ndio wanakua na wivu kwa mwanamke,
Lol
Maajabu hayawezi kuisha Tanzania yangu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hii ndo maana halisi ya kuvutia wawekezaji Toka nje . Big up Hamisa kwa kumuunga mkono Mama Samia kwa vitendo..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nashukuru kwa kunisahihisha mkuuEeh! mbunge mwenye kivuli cha ulokoloe, sie walokole kabisa hatufanyi hizo
Wakubali tu kuwa weekend hii, kuna watu Hamisa amewapiga na kitu kizito kichwani.Huyu jamaa akimdakisha laki moja, lazima atanunua chumvi kwa mangi; mangi amepata ajira. Jioni mangi atatafuta mbege ili apoze koo. Ajira kwa muuza mbege; na muuza mbege anainunua hiyo mbege Uru; hivyo usafiri wa hiyo mbege ni ajira pia. Mwisho hapo kwetu Njari tunaolima ndizi tunapeleka watoto wetu shule. Huoni kuwa hiyo pesa imesaidia taifa?
alitaja Arusha na hamisa mobetoBongo lazma aje sababu aliongea na lil ommy kwenye interview flani akamwambia nataka nije niinvest bongo! Nitajie sehem nzuri akaambiwa arusha au daslam. Akasema anataka aje awekeze kama $3M hivi nchini
Wachumi wetu hapa bongo wanaita hii kitu multiplier effect😀😀😀Huyu jamaa akimdakisha laki moja, lazima atanunua chumvi kwa mangi; mangi amepata ajira. Jioni mangi atatafuta mbege ili apoze koo. Ajira kwa muuza mbege; na muuza mbege anainunua hiyo mbege Uru; hivyo usafiri wa hiyo mbege ni ajira pia. Mwisho hapo kwetu Njari tunaolima ndizi tunapeleka watoto wetu shule. Huoni kuwa hiyo pesa imesaidia taifa?
Rick Ross amemuweka Hamisa open hata kufunguliwa milango ya limo, kufichwa fichwa kama kunguni zilipendwa.Yani kuna watu wanamuona Diamond kama Mungu vile kumbe ni mtu wa kawaida kabisa basi tu kawazidi wengine umaarufu, pesa na access ya "nyau" nzuri nzuri
Kumbe Watanzania tuna wivu sana!!!! Hivi huyo binti kuwa na boyfriend ambaye siye mtanzania ni kosa? Kwani watu wanaona ni malaya. Hivi huyo binti si alizaa na Majizzo na pia akazaa na Diamond na wote wakampiga chini. Hivi watu walitaka akae bila boyfriend? Hivi ni mwanamke yupi anakuwa na uhusiano na mwanaume usio na manufaa ya wakati huo au baadaye na mwanaume yeyote? Hata ndoa mwanamke anakuwa amejiridhisha kuwa mbele ya safari mambo yatanyoka. Mama Clinton alikiri kuwa alikubali kuolewa na Clinton maana aliona anaweza kumfanya awe Rais wa marekani siku za usoni.Wakubali tu kuwa weekend hii, kuna watu Hamisa amewapiga na kitu kizito kichwani.
Watanzania tumejawa na wivu jamani. Wivu utatuuaYaan whozu alikuwa anapita kwenye radio na kumkashfu utalinganisha na maisha ya mtu binafsi kimapenzi?
Sasa hapo misa yupo uchi mpk useme hamna heshima?
Yes wale bongo movie wengine wanakwenda Dubai kula hela zetu za tozo wanazohongwa na waume za watu.Wachumi wetu hapa bongo wanaita hii kitu multiplier effect😀😀😀
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji2][emoji2][emoji1]Unanisingizia uongo mkubwa sana, mi lini nimesema siwezi kuliwa na CEO?[emoji16]
Wanaumia kwa kua wanajua hawampati tena..?Wanasema wanaume ndo wameumia Hamisa kwenda Dubai na tajiri kuliko sisi wanawake. Sasa unajiuliza hiyo hasira wako nayo ni ipi? Wanatamani wangekua na wao wanawake waliwe na mtu kama Rosey au ndo joto hasira wanaona hawamuwezi tena. Nawaza bado
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Mh mbunge mlokole [emoji2960]