Dr. Mariposa
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 3,264
- 10,535
Hiyo unayoiita sura iliyokondeana ndio sura nzuri zaidi duniani wanaita Oval Face Shape, (you can google it)Hamisa ana umbo zuri ingawa ni la uturuki, kuhusu sura hamisa hana sura kabisa, sura ya hamisa kama imekondeana Dr. Mariposa
Na kuna zile za akina Angelina jolie - SquareHiyo unayoiita sura iliyokondeana ndio sura nzuri zaidi duniani wanaita Oval Face Shape, (you can google it)
Hata mimi huwa siwaelewi,mtu ashazalishwa na wanaume wawili,ashakuwa na wanaume kibao.Hatari sanaKitu kinanishangaza, hawa watu maaruf hawana wivu, kama ningekua maaruf, ningetafuta mtoto mbichi, unknown to people tukatulia.
Hawa jamaa wananishangaza sana.
Hatujambo, kwema?Wabongo kwa kufuatilia mambo ya watu hamjambo🤣
Nimecheka sana🤣Hatujambo, kwema?
Namsikitikia Aziz jinsi anvyotumiwa, hivi Hamisa ni wa kuolewa kweli jamani? Kuna mademu wengine ni wa mikosi tu, unachapa kwa kushitukizia na kuwaacha.Muigizaji Hamisa na mchezaji wa soka Aziz Ki kufunga ndoa mwaka huu, waweka wazi kwa kuweka post hii wote wawili ya video wakila bata Dubai, wakitumia hashtag #MissaKi2025.
Hili linakuja wiki chache baada ya Mobetto kumtambulisha Aziz Ki, MVP wa msimu uliopita Ligi Kuu ya NBC.
Soma, Pia: Hamisa Mobetto amtambulisha rasmi mpenzi wake Aziz Ki wa Yanga
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] noumaa na nusu.Ndo nimesoma huko insta
Nasikia mke wa muhandisi ni mafia balaa kawafuata adi dubai akawafumanie watu wakamtosha muhandishi akapanda ndege fasta kuelekea oman baada ya hapo akaona mambo mazito ndo kuleta hayo mapichapicha ya ndoa ili mkewe asije kuua mtu,
Mana nasikia huko dubai alibeba kikosi kazi chake kwa kazi moja tu ya kuua mtu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]