Hamisa Mobetto na Aziz Ki kufunga ndoa, waweka wazi kwa kuweka post hii wote wawili

Hamisa Mobetto na Aziz Ki kufunga ndoa, waweka wazi kwa kuweka post hii wote wawili

Kitu kinanishangaza, hawa watu maaruf hawana wivu, kama ningekua maaruf, ningetafuta mtoto mbichi, unknown to people tukatulia.

Hawa jamaa wananishangaza sana.
Hata mimi huwa siwaelewi,mtu ashazalishwa na wanaume wawili,ashakuwa na wanaume kibao.Hatari sana
 
Mimi siwezi kuoa demu mwenye watoto baba zao hawajulikani ni nani.
 
Muigizaji Hamisa na mchezaji wa soka Aziz Ki kufunga ndoa mwaka huu, waweka wazi kwa kuweka post hii wote wawili ya video wakila bata Dubai, wakitumia hashtag #MissaKi2025.

Hili linakuja wiki chache baada ya Mobetto kumtambulisha Aziz Ki, MVP wa msimu uliopita Ligi Kuu ya NBC.

Soma, Pia: Hamisa Mobetto amtambulisha rasmi mpenzi wake Aziz Ki wa Yanga

Namsikitikia Aziz jinsi anvyotumiwa, hivi Hamisa ni wa kuolewa kweli jamani? Kuna mademu wengine ni wa mikosi tu, unachapa kwa kushitukizia na kuwaacha.
 
Ndo nimesoma huko insta
Nasikia mke wa muhandisi ni mafia balaa kawafuata adi dubai akawafumanie watu wakamtosha muhandishi akapanda ndege fasta kuelekea oman baada ya hapo akaona mambo mazito ndo kuleta hayo mapichapicha ya ndoa ili mkewe asije kuua mtu,
Mana nasikia huko dubai alibeba kikosi kazi chake kwa kazi moja tu ya kuua mtu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] noumaa na nusu.

Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom