Hamisa Mobetto na wakwe zake washikana uchawi

Hahaaa[emoji3][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23]mambo insta hukoo

Sent using Jamii Forums mobile app
Haaahaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] asee leo sibanduki insta....mchawi kakamatwa RED HANDED mange hasira kazimimina kwa Tz sweetheart[emoji28] [emoji28] [emoji126] [emoji126] ...nacheka kinyaturu titiiiiiiii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mange ana hasira na maisha yake kiasi akijiangalia hasira anamalizia kwa Wema,mke mtarajiwa wa bilionea veeeepe teeena!
 
Imebidi nicheke tu! Unasema huna upande wakati mwanzo mwisho wa uzi huu unamtetea Hamisa!!?? Jipe nafasi ya kupima na kutafakari kabla ya kuchukua upande. Kiukweli sauti ile ni ya Hamisa na si mara ya kwanza Hamisa kuwa na skendo za kishirikina.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Madem wa kibongo upuuzi mtupu, Hamisa hawezi kuwa na 23 labda kama umegeuza namba (ulimaanisha 32)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…