Hamisa Mobetto na wakwe zake washikana uchawi

Hyo ya Misa kuchanganyikiwa niliskia aisee ndo alipelekwa had mbagala, mama chibu naye mwenzake hajapona operation unamuongezea ukichaa kah. Hii familia ya Dangote nao ni wanga IPO siku nao wataumbuliwa tu kuanzia diamond
Washirikina kuliko unavyodhani my dear!!!tena wenyewe ule!alienda kuponea Tangaa Hamisa!!mama diamond alitaka awe chizi yule mama hafai Zari alikua anamng'ang'ania dai kaenda South yule mama karudi tu Ua jeusi juu!!Hamisa anaambiwa Mwanga!
 
Washirikina kuliko unavyodhani my dear!!!tena wenyewe ule!alienda kuponea Tangaa Hamisa!!mama diamond alitaka awe chizi yule mama hafai Zari alikua anamng'ang'ania dai kaenda South yule mama karudi tu Ua jeusi juu!!Hamisa anaambiwa Mwanga!
Hamisa aachane nao asije kufa bure, kwanza wameona kawa balozi basi wamemuanzishia zengwe. Hamisa naye akome.

Bibi tiffah kiboko alienda kwa zari kujifanya anakaa na mjukuu kumbe anafanya yake washirikina ni hatari aisee
 
Hamisa aachane nao asije kufa bure, kwanza wameona kawa balozi basi wamemuanzishia zengwe. Hamisa naye akome.

Bibi tiffah kiboko alienda kwa zari kujifanya anakaa na mjukuu kumbe anafanya yake washirikina ni hatari aisee
Kumbe je!!yaani hamisa angepoa wale hawezi waweza hata kidogo watu wa kigoma washirikina mnoo!!!Hawawezi hata mbuni!!

Wale wanatamanj Hamisa awe hana direction kama Wema vile sasa kwa kua yuko busy na mambo yake wanaumia vibaya mnooo!
 
Ambwene[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Naona team Hamissa wakiongozwa na original east wameanzisha kampeni ya kumchangia hamissa Dollar 10000 naona wapo kwenye approximately Dollar 4000 now hizi team hizi ha ha ha
Wanataka kodi ya nyumba wamuamishe kwenye ghorofa ya mondi
 
Kumbe je!!yaani hamisa angepoa wale hawezi waweza hata kidogo watu wa kigoma washirikina mnoo!!!Hawawezi hata mbuni!!

Wale wanatamanj Hamisa awe hana direction kama Wema vile sasa kwa kua yuko busy na mambo yake wanaumia vibaya mnooo!
Hawapendi Hamisa ashine wanataka wamfanye ka nyumbu
 
Haaaahaaaa uwiii....limange linajua siri nyingi sana za Wema..nyingi mnoo!
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] wit una nini!! Eeh Mungu weee!aiseeh Mange hapana ile degree yake ni ya michambo sijui anayotaga wapi Yale maneno kaahh
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]...mange ana MBA but huwaga nahisi anatudanganya itakuwa ana master ya vichambo[emoji23] [emoji23] [emoji23]


Jana sijalala yaan...haaahaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…