Hamisa Mobetto na wakwe zake washikana uchawi

Diamond hawezi kuoa yule ana amini akioa umaarufu utaisha, anategemea kiki, ila ya madawa Hamisa huonekana hzo sehemu sio siri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwakwel hata mm sijui anajiskia vip! Ila maneno yanauma sana hasa uongo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha tu. Nimeumia kama vile ni mimi. Ila hata hili litapita tu. Anapitia wakati mgumu sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwakwel hata mm sijui anajiskia vip! Ila maneno yanauma sana hasa uongo

Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua mwanaume mwenye busara kwa hili angekaa kimya tu akaacha mama yake aongee weee basi ,angekaa kimyaa ndio maana mama daimond ana kiburi na kusema ye ndio final say maana wanaelewana sana na mwanae hadi kwenye mambo ya kipuuzi wanasikilizana tu

Mi ningekuwa Hamisa ningefanya kitu cha kuweka mipaka na familia ya mond,kuanzia mond mwenyewe akae nae mbali walee mtoto

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…