Hamisa Mobetto ndiye mrembo anayetikisa kwa sasa

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Nilikuja pm na swali langu, β€œEti wewe ni Hamisa Mobetto wa ukweli kweli.” Nikakuta bonge la kufuli nikasepa kimya kimya kwa minyato ili nisiwashtue wenye nyumba.,

Ukweli ukipatikana usisite kushare nami
 
Hamna kitu hapo..kutana nae live ndio utajua

Mwambie akanawe uso + aache kutumia mamikorogo
 
Japokua she is not one of my favorites , ila ukweli usiopingika Hamisa Hassan mobetto , ndiye mrembo anayekubalika kwa sasa na mwenye mvuto kwenye jamii ukilinganisha na mastaa wenzake wa kike.
Acha kashfa mpwa
 
Hapana nakataaa kabisaa, mie mwenyew nmemuona live alikua tofaut na picha zake.
[emoji23][emoji23]piganeni tuu atakayeshinda tutamuona ndio mkweli[emoji119][emoji119][emoji23]
 
na hakuna Celeb wa bongo mwenye figure kali kama Hamisa. Mnyonge Mnyongeni
 

Ukimuona live ni mweusi hizi rangi sijui wanatoa wapi kwenye camera
 
Nyie mnaomsifia Hamisa mobeto kwamba ni mrembo zaidi ya wasanii wote wa Tanzania mna akili sawa sawa?
Hamisa ana nn cha zaidi kuzidi wengine ?
Hivi mmeshamuona live?
Hizo camera tu wakuu,,
Mwanamke hamna humo,,
Single mama wa watoto 2 atakuwaje zaidi ya warembo wabichi?
Hyo ni mikogo tu,,lakini hakuna kitu humo..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…