cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 27,885
- 76,043
Hahaha,huwa wanasema zari hana hela saiv wanayakana maneno yao ati zari ndie anayemhonga dai haha hawa watu kituko kweli
Yaani nyie wenye mateam ipo siku mtakuja kuumbuka humu mitandaoni maana mnachezewa akili na hao mastaa wenu ili muendelee kuwaongelea mm ndo mana kwenye hili la hamisa , mond na zari siko side yoyote maana naona kuna akili za watu zinachezewa tu hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila Hamisa ndio eti akashushuka zaidi baada ya kuona Mama D na dada yake walisusia sherehe ya siku saba!!! Lazima alipasuka siku hiyo. Nahisi hao wadaku wanawake walipewa mchambo na Dai wakumletea matatizo wakakoma.
Yaan wanatia huruma hawa watu wamegundua kumshusha zari ni ngumu mno. Mange kule insta analia kabisa maskin weee timu imepata pigo baada ya kupata tetesi ya ndoa kati ya zari na dai
Sioni sababu ya kumtukana hamisa ingekuwa mimi mondy kufuta kauli za watu kuwa sizai ninngemkubali mtoto wa hamisa kwa nguvu zote mwanamme rijali haogopi hawara wa nje watu wana wake na wazaa nje na wanawatambulisha watoto kwa wake zao naamini maneno ya penny kuwa mond hana uzazi kuna siri hapo kubwa ya kupewa watoto kwa mkataba na zari akimuacha paa siri nje
Haha eti uteam acha hizo wewe ni team wema maana humu umemtaja wema mara mia kidogo.
Na tarehe wanawapangia ili ikiwa ingine waje na sinilisema hivyo wamebadili. Mange wengi hawamjui alipata kiki kupitia Zari na Diamond kizaidi na sasa hivi anawarudia na habari za bado kutaka waachane. Lingine kubwa Mange bila kumuongelea Makonda anakosa kiki iliyomfikishia followers wote hivyo lazima aangaike juu yake.
Sioni sababu ya kumtukana hamisa ingekuwa mimi mondy kufuta kauli za watu kuwa sizai ninngemkubali mtoto wa hamisa kwa nguvu zote mwanamme rijali haogopi hawara wa nje watu wana wake na wazaa nje na wanawatambulisha watoto kwa wake zao naamini maneno ya penny kuwa mond hana uzazi kuna siri hapo kubwa ya kupewa watoto kwa mkataba na zari akimuacha paa siri nje
Na tarehe wanawapangia ili ikiwa ingine waje na sinilisema hivyo wamebadili. Mange wengi hawamjui alipata kiki kupitia Zari na Diamond kizaidi na sasa hivi anawarudia na habari za bado kutaka waachane. Lingine kubwa Mange bila kumuongelea Makonda anakosa kiki iliyomfikishia followers wote hivyo lazima aangaike juu yake.
Jamii forum ni zaidi ya burudani![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Binti mdogo ameshakua incubator
Tiffa na nillan wameshampa sifa ya ubaba imetosha
Kina kiherehere sana kama debe tupu,kisa walienda kumuona hosp baasi akapata misifa tele akidhan kapata upenyo wa kuingia mandale
Na tarehe wanawapangia ili ikiwa ingine waje na sinilisema hivyo wamebadili. Mange wengi hawamjui alipata kiki kupitia Zari na Diamond kizaidi na sasa hivi anawarudia na habari za bado kutaka waachane. Lingine kubwa Mange bila kumuongelea Makonda anakosa kiki iliyomfikishia followers wote hivyo lazima aangaike juu yake.
Weka pichaHabari ya mujini ndo hiyo
Mlokua hamjui ndo mjue tena muipate ikiwa ya moto kabisa. Habari ni kuwa Hamisa Mobetto ndo mke mtarajiwa wa Diamond Platnumz hehehee kwaheri Zari.
Habari ndo hiyo kwahiyo team Zari mjiandae kisaikolojia kabisa kwamba bibi akubali kuwa na mke mwenza au aende Uganda hahahaha
#hamisa#forever
[HASHTAG]#Penzi[/HASHTAG] la Hamisa halijawahi kumuacha mtu salama
Sent using Jamii Forums mobile app
Na Range Rover imeshatinga mjengoni kwa Zari.
Hao wanajua kupata wapya kwenye kuwasoma na kuteka akili zao nao hao full kufata mikumbo. Mtu yule mwanamke wa Insta anamchukia Diamond tangu alipoona anapaa na sio kuanguka alipoachwa na Wema akiwa mmoja ya waahauri wakubwa. Alipoingia Zari akafwa kabisa, huku Sintah alishaanza kumrusha Zari miaka mingi kabla ya yeye kukutana na Diamond. Now wanajifariji kiuongo kusema Zari alimpokonya huku tuliokua na macho tuliyaona alivyoachwa kama vile takataka. Ila D afunge zipu amezidi kuchepuka shaaa
Yaani wanatamani kuwa Zari hadi wanachamganyikiwa. Na business ya Karanga sio yake kama vile mtu hawezi kuwekeza pesa ma hata kubadili rangi ya packets etc na kuimiliki asilimia kubwa kama sio yote. Yote haya Zari kupemdwa na Dai kufika... Dai aliyekuwa hazai now wanampigania watoto wawe ndugu na watoto wa Zari. Eeeh eti pia anataka mali za Ivan. Ninacheka tu
Yaani bure kabisaaaaaa, na kuedit picha zote.. ila hakujipiga kweli picha na dai wakiwa kitandani au wamekaa sebuleni kama kweli walitoka wote... kama hakufanya hayo nazidi kumuona ni zezeta haswa.. hana akili zaidi ya za kujiputa kuishi kama alivyokuzwa tangu kuwa ndio msingi wa kupata pesa.