cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 27,885
- 76,043
Hahaha,huwa wanasema zari hana hela saiv wanayakana maneno yao ati zari ndie anayemhonga dai haha hawa watu kituko kweli
Yaani wanatamani kuwa Zari hadi wanachamganyikiwa. Na business ya Karanga sio yake kama vile mtu hawezi kuwekeza pesa ma hata kubadili rangi ya packets etc na kuimiliki asilimia kubwa kama sio yote. Yote haya Zari kupemdwa na Dai kufika... Dai aliyekuwa hazai now wanampigania watoto wawe ndugu na watoto wa Zari. Eeeh eti pia anataka mali za Ivan. Ninacheka tu