Hamisa Mobetto ndiyo mke mtarajiwa wa Diamond, Zari asahau!

Hamisa Mobetto ndiyo mke mtarajiwa wa Diamond, Zari asahau!

Hahaha,huwa wanasema zari hana hela saiv wanayakana maneno yao ati zari ndie anayemhonga dai haha hawa watu kituko kweli

Yaani wanatamani kuwa Zari hadi wanachamganyikiwa. Na business ya Karanga sio yake kama vile mtu hawezi kuwekeza pesa ma hata kubadili rangi ya packets etc na kuimiliki asilimia kubwa kama sio yote. Yote haya Zari kupemdwa na Dai kufika... Dai aliyekuwa hazai now wanampigania watoto wawe ndugu na watoto wa Zari. Eeeh eti pia anataka mali za Ivan. Ninacheka tu
 
Haha ila kweli wanawake jaman ni wa gonjwa,....kweli adui wa mwanamke ni mwanamke mwenyew,.......yani hivi viumbe sijui vinaubongo gani yani wanaume huwezi mskia anajisfia mbele za watu kuwa kazaa na dem wa jamaa flani ni ushwayani na fedhea sasa huyo mtoto akilelewa single mother atakuja mlaumu baba kweli wakati tu mama alipigwa bao la bahati mbaya na mtoto kukataliwa,...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani nyie wenye mateam ipo siku mtakuja kuumbuka humu mitandaoni maana mnachezewa akili na hao mastaa wenu ili muendelee kuwaongelea mm ndo mana kwenye hili la hamisa , mond na zari siko side yoyote maana naona kuna akili za watu zinachezewa tu hapa

Sent using Jamii Forums mobile app

Sina timu bali napenda kuwasoma wote.. hamisa kachemsha kachemsha.. mgamga alimdanganya akimpachikia Dai mtandaoni atampata akiachwa.. ila tukubali amejitia aibu na hivyo tabia yake ya kuwa puta duh. Ikija kwa Zari napenda habari zake hategemei kulalwa kula.
 
Sioni sababu ya kumtukana hamisa ingekuwa mimi mondy kufuta kauli za watu kuwa sizai ninngemkubali mtoto wa hamisa kwa nguvu zote mwanamme rijali haogopi hawara wa nje watu wana wake na wazaa nje na wanawatambulisha watoto kwa wake zao naamini maneno ya penny kuwa mond hana uzazi kuna siri hapo kubwa ya kupewa watoto kwa mkataba na zari akimuacha paa siri nje
 
Kina kiherehere sana kama debe tupu,kisa walienda kumuona hosp baasi akapata misifa tele akidhan kapata upenyo wa kuingia mandale
Ila Hamisa ndio eti akashushuka zaidi baada ya kuona Mama D na dada yake walisusia sherehe ya siku saba!!! Lazima alipasuka siku hiyo. Nahisi hao wadaku wanawake walipewa mchambo na Dai wakumletea matatizo wakakoma.
 
Yaan wanatia huruma hawa watu wamegundua kumshusha zari ni ngumu mno. Mange kule insta analia kabisa maskin weee timu imepata pigo baada ya kupata tetesi ya ndoa kati ya zari na dai

Na tarehe wanawapangia ili ikiwa ingine waje na sinilisema hivyo wamebadili. Mange wengi hawamjui alipata kiki kupitia Zari na Diamond kizaidi na sasa hivi anawarudia na habari za bado kutaka waachane. Lingine kubwa Mange bila kumuongelea Makonda anakosa kiki iliyomfikishia followers wote hivyo lazima aangaike juu yake.
 
Tiffa na nillan wameshampa sifa ya ubaba imetosha
Sioni sababu ya kumtukana hamisa ingekuwa mimi mondy kufuta kauli za watu kuwa sizai ninngemkubali mtoto wa hamisa kwa nguvu zote mwanamme rijali haogopi hawara wa nje watu wana wake na wazaa nje na wanawatambulisha watoto kwa wake zao naamini maneno ya penny kuwa mond hana uzazi kuna siri hapo kubwa ya kupewa watoto kwa mkataba na zari akimuacha paa siri nje
 
Na tarehe wanawapangia ili ikiwa ingine waje na sinilisema hivyo wamebadili. Mange wengi hawamjui alipata kiki kupitia Zari na Diamond kizaidi na sasa hivi anawarudia na habari za bado kutaka waachane. Lingine kubwa Mange bila kumuongelea Makonda anakosa kiki iliyomfikishia followers wote hivyo lazima aangaike juu yake.
 
Sioni sababu ya kumtukana hamisa ingekuwa mimi mondy kufuta kauli za watu kuwa sizai ninngemkubali mtoto wa hamisa kwa nguvu zote mwanamme rijali haogopi hawara wa nje watu wana wake na wazaa nje na wanawatambulisha watoto kwa wake zao naamini maneno ya penny kuwa mond hana uzazi kuna siri hapo kubwa ya kupewa watoto kwa mkataba na zari akimuacha paa siri nje

Wewe kazae na mume wa mtu ukubarike uje utuandikie hayo. Huyo mtoto umejuaje ni wa Dai? Hamisa amedanya DNA? Anajulikana kwa kuwa puta ili aishi, unafikiri kwanini amelosti ma kubaki na damu yake mbaya ya kisomali kupiga maneno tu.. alifikiri yupo kwao huko baada ya kuzaliwa na mkimbizi aliyekuja nchini hapa!?
 
Mange anadhan kuwatukana watu ndo kujipunguzia stress alizonazo kumne anawaonhezea baraka tele
Kwa makonda kashindwa kumng'oa dar sembuse zari kwa dai
Na tarehe wanawapangia ili ikiwa ingine waje na sinilisema hivyo wamebadili. Mange wengi hawamjui alipata kiki kupitia Zari na Diamond kizaidi na sasa hivi anawarudia na habari za bado kutaka waachane. Lingine kubwa Mange bila kumuongelea Makonda anakosa kiki iliyomfikishia followers wote hivyo lazima aangaike juu yake.
 
Tiffa na nillan wameshampa sifa ya ubaba imetosha

Ubaba huo uliokuwa na shaka unaufosi mwenyewe Nilan chapa ya ivan bora hata yule mganda angekuwa hajawahi kukutana na ivan ila kam huoni basi hata picha hutazami wanawake sie tuna siri kubwa sana ikipita DNA kama kile kipindi cha tv watu paa wamezimia unakuta watoto wote sio wako
 
Kina kiherehere sana kama debe tupu,kisa walienda kumuona hosp baasi akapata misifa tele akidhan kapata upenyo wa kuingia mandale

Yaani bure kabisaaaaaa, na kuedit picha zote.. ila hakujipiga kweli picha na dai wakiwa kitandani au wamekaa sebuleni kama kweli walitoka wote... kama hakufanya hayo nazidi kumuona ni zezeta haswa.. hana akili zaidi ya za kujiputa kuishi kama alivyokuzwa tangu kuwa ndio msingi wa kupata pesa.
 
Na tarehe wanawapangia ili ikiwa ingine waje na sinilisema hivyo wamebadili. Mange wengi hawamjui alipata kiki kupitia Zari na Diamond kizaidi na sasa hivi anawarudia na habari za bado kutaka waachane. Lingine kubwa Mange bila kumuongelea Makonda anakosa kiki iliyomfikishia followers wote hivyo lazima aangaike juu yake.
e7edab38e135a50a51ec59bf65127a6d.jpg

Ila unajua kupendeza kule instagram cocochanel

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari ya mujini ndo hiyo

Mlokua hamjui ndo mjue tena muipate ikiwa ya moto kabisa. Habari ni kuwa Hamisa Mobetto ndo mke mtarajiwa wa Diamond Platnumz hehehee kwaheri Zari.

Habari ndo hiyo kwahiyo team Zari mjiandae kisaikolojia kabisa kwamba bibi akubali kuwa na mke mwenza au aende Uganda hahahaha

#hamisa#forever

[HASHTAG]#Penzi[/HASHTAG] la Hamisa halijawahi kumuacha mtu salama

Sent using Jamii Forums mobile app
Weka picha
 
Inawauma kuona zari anafaidi hela ambazo wao walizipiga teke
Na Range Rover imeshatinga mjengoni kwa Zari.
Hao wanajua kupata wapya kwenye kuwasoma na kuteka akili zao nao hao full kufata mikumbo. Mtu yule mwanamke wa Insta anamchukia Diamond tangu alipoona anapaa na sio kuanguka alipoachwa na Wema akiwa mmoja ya waahauri wakubwa. Alipoingia Zari akafwa kabisa, huku Sintah alishaanza kumrusha Zari miaka mingi kabla ya yeye kukutana na Diamond. Now wanajifariji kiuongo kusema Zari alimpokonya huku tuliokua na macho tuliyaona alivyoachwa kama vile takataka. Ila D afunge zipu amezidi kuchepuka shaaa
 
Hawajielewi wamekosa cha kufanya wamebaki kumwangalia zari kwa jicho la husda
Yaani wanatamani kuwa Zari hadi wanachamganyikiwa. Na business ya Karanga sio yake kama vile mtu hawezi kuwekeza pesa ma hata kubadili rangi ya packets etc na kuimiliki asilimia kubwa kama sio yote. Yote haya Zari kupemdwa na Dai kufika... Dai aliyekuwa hazai now wanampigania watoto wawe ndugu na watoto wa Zari. Eeeh eti pia anataka mali za Ivan. Ninacheka tu
 
Nini picha eti hata sms au voice calls za dai hana,inakuaje mtu mpo mapenzin asikutumie sms au kukupigia simu aisee. Kama ni kweli anapendwa au alipendwa amwage ushahid bana watu waamue
Yaani bure kabisaaaaaa, na kuedit picha zote.. ila hakujipiga kweli picha na dai wakiwa kitandani au wamekaa sebuleni kama kweli walitoka wote... kama hakufanya hayo nazidi kumuona ni zezeta haswa.. hana akili zaidi ya za kujiputa kuishi kama alivyokuzwa tangu kuwa ndio msingi wa kupata pesa.
 
Back
Top Bottom