cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 27,885
- 76,043
Wema kadhalilishwa mara nyingi tu na dai,kumbuka lile tamasha la dai la kiingilio sh 50000 enzi hizo jokate ndo kashika usikan kwa dai,nadhan unakumbuka dai alimfanyia nn wema. Wema akirudi kwa dai atakamilisha ule usemi wa kwamba yeye ni nyumbu
Hizo nyimbo anazoimbiwa ni dhihaka tu
Huyo yupo bizi kutetea kama vile anahusika kujikosha roho kujaribu kufanganya watu au ndio ameibukia mitandaoni siku alijiunga humu na hajui kusaka habari zilizopita pia. Amejaa wivu juu ya Mondi kama yule mmama anayetaka kufwa kwa maendeleo yake na kujaribu kumshusha kwa maneno ila anashindwa.. kila akiona Dai na Zari wapo na picha zao za raha yeye anaweuka na uongo. Ila kila kitu kimo humu JF tangu enzi...