Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo kigogo lazima awalambeWatu wengine mnachekesha sana, ni kweli Mkuu inasemekana hivyo.
🙏🙏🙏Amen.
Mawazo yakoKwahiyo unaniiga?
Huyo mbt intentional amekuwaNa amelamba wengi sana, huyu Hamisa tu ndio imevuja.
Nafahamu Mkuu, sisi tuliokuwa wapenzi wa story zake tulikuwa hatuachi kumsomaWarumi amekufa
Not real sure but story yake ilikuwa hivyo, kwamba alikuwa anadate naye kabla Mzee Machache hajaaga DuniaPamoja na kwamba alishaolewa ila bado akawa anadanga?
Mbona mzee nasikia alikuwa na walinzi binafsi ni ngumu kuchepuka?
Rick Muhuni wa Miami hajamwacha maana kashoboka mwenyewe. Ila wadangaji kwenye hela,wanajimaliza sometimes bila kutongoza,ukiwa na hela unaweza sahau kutongoza.Rick sijawahi kuamini kama walikuwa wapenzi, ilikuwa biashara ile.
Huyo mwingine Mghana Kevin ndiye walikuwa wapenzi, wanasema wameachana kwa wema hawana shida umbali uliwashinda.
Siku hizi ishakuwa kama kawaida unakuta binti anamsifia mwenzake anabahati ya kupata wanaume wenye hela,yy nae anatamani awe kama rafiki kwenye jicho lake haoni akifanyacho rafiki yake ni umalaya.Nimesoma heading na paragraph ya mwisho tu.
Hamisa apewe kombe lake!
Alikua anashindana na kina nani kubadili wanaume mpaka yeye akawa mshindi na inahitajika apewe kombe lake?
Tumefikia Dunia ambayo umalaya ni sifa? yani tunashauriwa malaya tumpe maua kwa kubadili wanaume?
Bora mhindi anatoa 120k. Mwijaku anagongaga bure tena at will.Kuna Uzi humu wa kitambo wa Marehemu warumi aliwahi kuandika kwamba eti Mhindi anatoaga Posho ya 120k
Yaani hadi sisi Wazee tunamzidi kwenye utoaji wa kifuta Jasho 🙌
Safi sana Sancho. Ila nauhakika hana marindaRick Muhuni wa Miami hajamwacha maana kashoboka mwenyewe. Ila wadangaji kwenye hela,wanajimaliza sometimes bila kutongoza,ukiwa na hela unaweza sahau kutongoza.
Sasa hao tunao wajua,wale tusio wajua wapo wangapi? wanaomega kimasihala wakina Nenga wapo wa ngapi?
Naona Sancho nae siku hizi Hijabu katupa ,karudi sokoni mwendo wa nusu uchi, wazee wa Chaputa sasa hivi hawakauki kwenye page yake.
Mkuu naomba linki ya sancho Instagram. PleaseRick Muhuni wa Miami hajamwacha maana kashoboka mwenyewe. Ila wadangaji kwenye hela,wanajimaliza sometimes bila kutongoza,ukiwa na hela unaweza sahau kutongoza.
Sasa hao tunao wajua,wale tusio wajua wapo wangapi? wanaomega kimasihala wakina Nenga wapo wa ngapi?
Naona Sancho nae siku hizi Hijabu katupa ,karudi sokoni mwendo wa nusu uchi, wazee wa Chaputa sasa hivi hawakauki kwenye page yake.
Huko sahihi kabisa yani hadi Mwijaku (The national disgrace) anagonga bure tena at will!Hamisa ni pisi isiyo na akili.
Hapo umenisoma 👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾Chibu angeharibu 'CV'.
Je wewe umepona?Na amelamba wengi sana, huyu Hamisa tu ndio imevuja.