Warumi amekufaKuna Uzi humu wa kitambo wa Marehemu warumi aliwahi kuandika kwamba eti Mhindi anatoaga Posho ya 120k
Yaani hadi sisi Wazee tunamzidi kwenye utoaji wa kifuta Jasho 🙌
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Warumi amekufaKuna Uzi humu wa kitambo wa Marehemu warumi aliwahi kuandika kwamba eti Mhindi anatoaga Posho ya 120k
Yaani hadi sisi Wazee tunamzidi kwenye utoaji wa kifuta Jasho 🙌
Huyu nahisi ana shida huenda hana ladha...View attachment 3005811
Mwanadada mrembo, mwanamuziki, muigizaji, mjasiriamali na mwanamitindo Hamisa Mobetto 29, yuko mapenzini na Kigogo kutoka klabu ya soka ya Yanga.
Mwanadada huyo na kigogo wapo katika penzi la kificho kwa takribani mwezi wa pili sasa.
Penzi lilimea SA, Ubuntu Botho!
Wawili hao walikutana kwenye ndege wakati wa kuelekea kwenye mechi ya marudiano ya mashindano ya Klabu Bingwa Afrika, CAFCL dhidi ya miamba ya Soka ya Afrika ya Kusini Mamelody Sundowns.
Kigogo huyo kijana mwenye haiba ya kitanashati na mwenye sifa kuu tatu wazipendazo zaidi wanawake kutoka kwa wanaume… tall, dark and handsome jina lake hutajwa kwa kutanguliwa na taaluma yake.
Inataarifiwa kwamba wawili hao walizama penzini punde tu walipokutana kwenye ndege, na hadi kutua S.A penzi lilishachipua!
Taarifa zaidi zinasema hata uwanjani walienda kwa gari moja, na walikaa jukwaa moja!
Aziz Ki atumika kuokoa jahazi!
Mwamba kutoka Ouagadougou, Stephen Aziz Ki anatajwa kutumika kuinusuru ndoa ya Kigogo huyo wa Yanga mara baada ya mkewe kushtukia mchezo.
Kama mnavyotujua wabongo huwa tunanyimana michongo ila sio umbea, taarifa zilimfikia mke wa Kigogo ambaye aling’aka na kupelekea ndoa kuwa rehani!
Mwamba Aziz ambaye anatajwa kama mchezaji pendwa zaidi na Kigogo huyo klabuni hapo, ilibidi atumike kutengeneza mapichapicha ya kumpoza mke wa Kigogo.
Ndio yale mliyoona mara wako pamoja wakitokea uwanja wa ndege, wakikumbatiana uwanjani na kwingineko yote yale ni maigizo, Ki hana mahusiano ya aina yoyote na Hamisa bali alitumika kumnusuru boss na mshkaji wake kuepuka dhahma kutoka kwa mke wake.
Penzi hatarini kuvunjika muda wowote!
Baada ya wambea kumsanua mke wa Kigogo, inasemekana wapenzi hao wako hatarini kuachana muda wowote kutokana na suala hilo kumkalia vibaya Kigogo.
Mke wa Kigogo ni dada wa anayetajwa kama mfadhili wa taasisi ya anakofanyia shughuli zake Kigogo. Hilo linamuweka pabaya zaidi Kigogo kwani endapo akiendelea kutoka na mrembo huyo kimapenzi huwenda kibarua chake kikawa hatarini kwani mfadhili hatoweza kuvumilia kuona dada yake akinyanyasika juu ya penzi hilo la mumewe na Hamisa.
Hamisa kiboko, sio mchezo!
Jamani Hamisa apewe kombe lake, ikishindikana basi hata maua maana anastahili. Ndani ya miaka hii mitatu ameshatoka na vigogo kutoka kwenye klabu zote 2 kubwa nchini, achilia mbali kuzaa na wanaume wawili maarufu na wamiliki wa redio 2 kubwa nchini!
Hapo kabla alianza kutoka na Kigogo kutokea Simba, japo penzi lao lilikuwa mithili ya upepo kwani halikudumu.
Lakini licha ya kutokudumu, penzi hilo lilitumika kama chambo kumpatia Mwijaku ajira Simba.
Chanzo changu nyeti kimesimamia show,
Nifah.
Sure sijui ni uzuri wa nje tu, ndani hamna kitu....Mhindi nasikia hahongagi, alijipigia akapita hivi......afu huyu dada itakuwa upstairs empty, anampenda wanaume wenye status lakini mbona wanaume wakishajipigia wanapotea ghafla🤣 husiano halifiki hata krismas mbili Yani, wanapotea
Kwa Kevin walifika mbali jamani, walikuwa na malengo ila jini mkata kamba akaingia.
Mkuu gazeti lote hili umeandika wala halina maana, ungelikuwa umewahi kutoka nae ndio ungeeleweka achana na hizi nadharia za kutunga.Huyu demu sio mtamu!! Rickross nae aligusa usku mmoja akakimbia, yahan wanaume wenye pesa anawanasa kwa mvuto wa nje like shape , sura n.k ila papuchi yake sio tam....majizzo alipiga mara ya kwanza ,,akajiuliza mhm au nimelewa ngoja nihakikishe akapga tena akasema kumbe kopo, ila ndo hvo na mimba ikajaa, akaja diamond akapiga Mara ya kwnza ,,,akasema mhmm,,,au uchovu wa kutoka kwenye shoo,? akapga mara ya pili akasema mbn kinachoonekana na kilichomo ni tofauti ila na mimba ikanasa?, Akaja mwanetu Billnas akachapa mara moja akasema Bora nirudi kwa mpare wngu nandy, akaja Otile akapiga usku mmoja akasema ehee Bora nirudi kwetu Kenya, akaja Rickross akapga akasema! what is this meen? let me take Bellaire champagne...akasepa hata nauli hakumpa,,,demu karudi bongo akakaa anawaza alivyopoteza pambano na bilionea mkubwa Rickross,,,akaja yule jamaa sijui nani, alikuwa anavaa kaunda suti anavalia raba kubwaaa..... akampeleka na muimbili wakatembelea wagonjwa,,,wakarudi nyumban usku jamaa akaomba mechi,, dada wa watu sio mchoyo akampa uwanja,,,jamaa akapga akasema duh! mbona kama bofulo? Jamaa akaamka asubuh akasema nafatilia biashara zangu China ,,akaenda mazima!! Sasa mwanetu wa Yanga Ally Kamwe nae akataka ajaribu kupiga ,,,Ila za chinichini demu imemkazia inahisi huyu dogo anaongea sana atamsema kwa watu kwamba hali huko ndani sio shwari. Sasa akaja mwanetu mburkinabe! Aziz Ki, tunasikia mda wowote atapewa mechi,,, tusubr atavumilia bofulo au nae atakimbia!! Itaendelea.......
Amen.I'm real happy for that Mjukuu 🙏
Najua makwazo yapo, ndiyo maana hata vikombe haviachi kugongana kabatini.
Kikubwa mjue ninyi ni Binadamu, na hakuna anayedate na malaika Kati yenu
Vyema muishi Kwa kuchukuliana.
Ni maombi yangu muishi hadi muufikie Uzee pamoja🙏🙏🙏
Mzee mpili huyo atakuaKama hujamtaja huyo kigogo kwa jina na upo jf basi siusomi huu Uzi maana itakuwa udaku kama udaku wa FB tuu
Naunga mkono hoja huyu hayupo sawaAnza kufuatilia threads zangu utamuona, ugonjwa wa akili ni tatizo kubwa sana.
Binadamu bwana, kwani mastar wenzie wa kike tena wakubwa kuliko yeye mbona hawadumu na wanaume?Huyu nahisi ana shida huenda hana ladha...
Yaani huwa hakai na wanaume kabisa sidhani hata kama kawahi kumaliza mwaka na mwanaume wanasepa....
Ujue Hamisa kwa aina ya maisha yake ndiyo inayoleta shida wanaume kuweka makazi. Lakini muhimu ana maisha yake basi, kuolewa majaaliwa🤣🤣🤣🤣🤣team tununu huwa mnafurahisha sana mnavyomtetea. Hata kwa chai jaba mlikua mnasema hivyo hivyo mara wanapenda kuliko wanawake wote wa chai mwisho wa siku hata mtoto hatambuliki tandale daah. Tununu yupo kibiashara zaidi.
Alipo hojiwa kuhusu hayo mahusiano akabadili na sauti akisema ubusy umechangia. Anaiga visingizio vya watoto wa seoul kutwa kuachana wakisingizia ubusy
Ungemwambia kwanza huyo unayejipendekeza kwake kua ndio apunguze jazba coz yeye ndiye aliyeanza kujibu kifedhuli hapa,acha double standard.Mkuu punguza jazba. Haya ni mambo ya mtandaoni tuu.
Hersi ana ngekewaEng.