Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
🤣🤣🤣Acheni kufukua basi, mtavuruga honeymoon za watu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣Acheni kufukua basi, mtavuruga honeymoon za watu
🤣🤣🤣Sanaaa kwakweli kakamilika kila idara
Nawote tuseme Amin!!Darling, wanandoa wapya ni watu ninaowapenda na kwa kuwa wameoana mengine tuyaache tuheshimu ndoa yao.
Yapo ya kusema ambayo busara yangu imenituma kukaa kimya na kuwatakia kheri, na ndoa yao idumu...
Amen!
🛋️🛋️Na mimi Guede nampataje?😥
Mobetto angetembea na jamaa lazima angeshika mimba.Mhindi nasikia hahongagi, alijipigia akapita hivi......afu huyu dada itakuwa upstairs empty, anampenda wanaume wenye status lakini mbona wanaume wakishajipigia wanapotea ghafla🤣 husiano halifiki hata krismas mbili Yani, wanapotea
NifahDarling, wanandoa wapya ni watu ninaowapenda na kwa kuwa wameoana mengine tuyaache tuheshimu ndoa yao.
Yapo ya kusema ambayo busara yangu imenituma kukaa kimya na kuwatakia kheri, na ndoa yao idumu...
Amen!
Well!Nifah
Hapa kubali kataa Source yako ilikuingiza cha kiume bila maji wala tissue
Aziz na Hamisa ni true lovers
Pia wiki kadhaa nyuma ulitulisha tango pori kuhusu ndoa ya Diamond na Zuchu
Piga chini hio tomato Source yako, Block kabisa na muunfollow on all social platforms
Mahari ya ngombe 30 na million 30 ni nyingi sana!kutohusishwa kwa mama wa Azizi ki kunasadifu ulichoandika!!Well!
Kwahiyo, kwa akili zako hizi unaona haiwezekani Hamisa kutoka na Kigogo kisha aolewe na Aziz?
Hivi nyie Hamisa mnamjua vizuri? Muulizeni Diamond ndio atawapa habari zake, tena atawashangaa sana!
Mnafikiri hadi Diamond kwenda kumpima mtoto DNA alikuwa kichaa?
Narudia tena, simlazimishi yeyote kuamini ninachoandika acheni kunisumbua. Huamini acha kabisa usisome.
Kwa Diamond na Zuchu alisemaje?Nifah
Hapa kubali kataa Source yako ilikuingiza cha kiume bila maji wala tissue
Aziz na Hamisa ni true lovers
Pia wiki kadhaa nyuma ulitulisha tango pori kuhusu ndoa ya Diamond na Zuchu
Piga chini hio tomato Source yako, Block kabisa na muunfollow on all social platforms
Hata body language ya huyo kigogo na bi harusi ukumbini ni wazi walishakulana, hakuwa anajiamini kabisa na bi harusi aliinama kwa haya baada ya kigogo kupewa nafasi aseme neno,Well!
Kwahiyo, kwa akili zako hizi unaona haiwezekani Hamisa kutoka na Kigogo kisha aolewe na Aziz?
Hivi nyie Hamisa mnamjua vizuri? Muulizeni Diamond ndio atawapa habari zake, tena atawashangaa sana!
Mnafikiri hadi Diamond kwenda kumpima mtoto DNA alikuwa kichaa?
Narudia tena, simlazimishi yeyote kuamini ninachoandika acheni kunisumbua. Huamini acha kabisa usisome.
Kapeace umerudi! Nilikumiss sana nilikua napita kukuchungulia naona olaahHata body language ya huyo kigogo na bi harusi ukumbini ni wazi walishakulana, hakuwa anajiamini kabisa na bi harusi aliinama kwa haya baada ya kigogo kupewa nafasi aseme neno,
Nipo bize na beby, ulivyopotea uliona raha na mimi nimelipiza😅😅Kapeace umerudi! Nilikumiss sana nilikua napita kukuchungulia naona olaah
Wewe na baby wako mshazeeka lakini😂, majukumu yanafanya muda mwingine tunakua nje ya jfNipo bize na beby, ulivyopotea uliona raha na mimi nimelipiza😅😅
Weee ndo tupo kwenye chorus ya mahaba,Wewe na baby wako mshazeeka lakini😂, majukumu yanafanya muda mwingine tunakua nje ya jf
Karibu tena.Weee ndo tupo kwenye chorus ya mahaba,
Sometimes jf inachokesha mtu unaamua kujipa likizo isiyo na malipo