Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 24,514
- 65,521
Asante kipenzi ephenKaribu tena.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante kipenzi ephenKaribu tena.
Hata wakati wa kutoa neno la shukrani angalia jinsi ilivyokuwa vigumu Hamisa alipofika kwenye kutamka jina Kigogo, na zaidi Kigogo ni kama sauti ilikauka wakati wa kumtaja Hamisa. Ni wazi kigogo kaumia na ana wivu.Hata body language ya huyo kigogo na bi harusi ukumbini ni wazi walishakulana, hakuwa anajiamini kabisa na bi harusi aliinama kwa haya baada ya kigogo kupewa nafasi aseme neno,
Hahahaha,aiseeHata wakati wa kutoa neno la shukrani angalia jinsi ilivyokuwa vigumu Hamisa alipofika kwenye kutamka jina Kigogo, na zaidi Kigogo ni kama sauti ilikauka wakati wa kumtaja Hamisa. Ni wazi kigogo kaumia na ana wivu.
Ngoja nikwambie, wakati Aziz alipoamua kula nyama aliyopewa ailinde Kigogo alimblok Ki, ndio zile texts uliona zimevuja juzi Aziz akilalamika.
Hamisa naye alikuwa anataka kuolewa, na kwa kigogo asingeipata ndoa ndio akamgeuka. Kigogo amekuja kuongea na Ki tena juzi kati tu hapa na Kigogo amefanya basi tu maana home nako kuligeuka vitani suala la Hamisa kidogo limpe kichaa mke wake.
Hahahaha, ndio mambo Yao hayoHaya ndo mambo wanawake wanaweza kuandika na kufatilia
Haya yote yako wazi kwa wenye D mbili na jicho la tatu, Ki mwanzo alitumika kuziba skendo lakini nae ndo akanasa mwanamke alihitaji kuolewa na ni wazi hampendi huyo kaka ila alitaka kuwakomesha wabaya wake na kutoa gundu, asingeweza kuacha kuitumia hiyo fursa ya yeye kuolewa maana kwa haraka haraka hamna mwanaume maarufu ambae angetangaza ndoa paleHata wakati wa kutoa neno la shukrani angalia jinsi ilivyokuwa vigumu Hamisa alipofika kwenye kutamka jina Kigogo, na zaidi Kigogo ni kama sauti ilikauka wakati wa kumtaja Hamisa. Ni wazi kigogo kaumia na ana wivu.
Ngoja nikwambie, wakati Aziz alipoamua kula nyama aliyopewa ailinde Kigogo alimblok Ki, ndio zile texts uliona zimevuja juzi Aziz akilalamika.
Hamisa naye alikuwa anataka kuolewa, na kwa kigogo asingeipata ndoa ndio akamgeuka. Kigogo amekuja kuongea na Ki tena juzi kati tu hapa na Kigogo amefanya basi tu maana home nako kuligeuka vitani suala la Hamisa kidogo limpe kichaa mke wake.
Wewe ambae umefatilia huu uzi wa mambo ya wanawake ni jinsia gani?Haya ndo mambo wanawake wanaweza kuandika na kufatilia
Hahahaha,Haya yote yako wazi kwa wenye D mbili na jicho la tatu, Ki mwanzo alitumika kuziba skendo lakini nae ndo akanasa mwanamke alihitaji kuolewa na ni wazi hampendi huyo kaka ila alitaka kuwakomesha wabaya wake na kutoa gundu, asingeweza kuacha kuitumia hiyo fursa ya yeye kuolewa maana kwa haraka haraka hamna mwanaume maarufu ambae angetangaza ndoa pale
Mwenyewe alisema siku ya harusi kwake kwamba wakati Azizi anamtamkia kumuoa hakuamini maana alishakata tamaa ya kuolewa!Haya yote yako wazi kwa wenye D mbili na jicho la tatu, Ki mwanzo alitumika kuziba skendo lakini nae ndo akanasa mwanamke alihitaji kuolewa na ni wazi hampendi huyo kaka ila alitaka kuwakomesha wabaya wake na kutoa gundu, asingeweza kuacha kuitumia hiyo fursa ya yeye kuolewa maana kwa haraka haraka hamna mwanaume maarufu ambae angetangaza ndoa pale
Hii ndoa kudumu inahitaji kudra za mwenyezi Mungu! Ki akienda nchi nyingine kucheza mpira Hamisa hawezi kutulia.Mwenyewe alisema siku ya harusi kwake kwamba wakati Azizi anamtamkia kumuoa hakuamini maana alishakata tamaa ya kuolewa!
Ila nini, mi nampendaga na namtakia kheri adumu kwenye ndoa yake atulie asitudhalilishe.
Wacha tusubiri tuone, maisha ya wacheza mpira ni mafupi na ligi yetu haina maslahi kihivyo nae yule kashazoea maisha makubwa mwanamke wa hivyo kutulia sio rahisi sanaMwenyewe alisema siku ya harusi kwake kwamba wakati Azizi anamtamkia kumuoa hakuamini maana alishakata tamaa ya kuolewa!
Ila nini, mi nampendaga na namtakia kheri adumu kwenye ndoa yake atulie asitudhalilishe.
Acha ujinga wewe kijuso Kwa kuhisi hisi mambo siyokuwa na msingi WTFHata wakati wa kutoa neno la shukrani angalia jinsi ilivyokuwa vigumu Hamisa alipofika kwenye kutamka jina Kigogo, na zaidi Kigogo ni kama sauti ilikauka wakati wa kumtaja Hamisa. Ni wazi kigogo kaumia na ana wivu.
Ngoja nikwambie, wakati Aziz alipoamua kula nyama aliyopewa ailinde Kigogo alimblok Ki, ndio zile texts uliona zimevuja juzi Aziz akilalamika.
Hamisa naye alikuwa anataka kuolewa, na kwa kigogo asingeipata ndoa ndio akamgeuka. Kigogo amekuja kuongea na Ki tena juzi kati tu hapa na Kigogo amefanya basi tu maana home nako kuligeuka vitani suala la Hamisa kidogo limpe kichaa mke wake.
Acha kukariri maisha Ukiachana kuwa Mobeto kawazidi akili ila kawazidi na maonoWacha tusubiri tuone, maisha ya wacheza mpira ni mafupi na ligi yetu haina maslahi kihivyo nae yule kashazoea maisha makubwa mwanamke wa hivyo kutulia sio rahisi sana
The prophets of the dooms nadhani mmeumia Sana .Hii ndoa kudumu inahitaji kudra za mwenyezi Mungu! Ki akienda nchi nyingine kucheza mpira Hamisa hawezi kutulia.
Akiwemo na mamako sioAcha kukariri maisha Ukiachana kuwa Mobeto kawazidi akili ila kawazidi na maono
Angetuzalia Kikanjibhai🤣🤣🤣Mobetto angetembea na jamaa lazima angeshika mimba.
Chezea mobetto wewe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Angetuzalia Kikanjibhai[emoji1787][emoji1787][emoji1787]