Paragraph #2 umejijibu mwenyewe kwa ulichoandika pale juu,asili yetu hauruhusiwi kuzungumzia au kutegemea hela ya mtu.
#1 ni asili ya kwenu,wengine hatuko hivyo hiyo #3 hakuna aliyekataa mtu ku-fake ila ajue ni ujinga ku-fake huku umri ukisogea,ni ujinga upo above 40 unaendelea ku-fake maisha......Nasisitiza ni ujinga!!!
Njo Rombo bwashe ujione kwamba vijijii kuna nyumbaNimekuelewa, ila kwa mtu ambaye ana uwezo wake mzuri kwanini ushindwe kujenga mjini na kijijini?
Hii ndo sababu inasababisha maendeleo pia yasienee kijijini maana watu hawaoneshi kujali umuhimu wa walipozaliwa
Mimi hata ku post Sana huwa sipendi wabongo wengi wachawi ukipendeza tu habari zinaenea hatari Kama Moto, sembuse kuji post hivo Mimi siwezi kudhubutu kabisaPia inategemea ulichopost ni kwa namna gani kinagusa hisia za watu. Kuwa celeb peke yao sio issue
Jaribu kupost picha ukiwa na kitop halafu chini empty set, uone kama wabongo hawajakupa umaarufu kama walivyompa amber ruti
I agree with you [emoji817]Kumbuka tunatoka kwenye jamii tofauti tofauti, kuna jamii ambazo miaka na miaka zina utamaduni wa kujenga maeneo yao ya asili. Hawa ndio wakifa lazima wakazikwe huko vijijini kwao.
Halafu kuna wale ambao popote kambi, sasa mtu ambaye alizoea kuona wakubwa zake ndugu jamaa na marafiki wanajenga kwao unamfananisha vipi na yule ambaye kwenye jamii atokayo hawana utaratibu huo ?
Uchawi unaanzia pale unapowaza kuna mtu atakufanyia issue za kichawi, nakuomba uachane na hayo mawazo.Mimi hata ku post Sana huwa sipendi wabongo wengi wachawi ukipendeza tu habari zinaenea hatari Kama Moto, sembuse kuji post hivo Mimi siwezi kudhubutu kabisa
HUWEZI jua labda anahela za mizimu je??? Ila watuAibu kwa kweli halafu huwa wanajiita matajiri,hata kuweka curtains tu kumemshinda ?Kashindwa kuendeleza kwao ndo huyu anataka ubunge ????Au anataka ubunge ili anufaike ?Aibu hii.Maisha ya social media bwana........
Mchawi sio lazima awe na tunguri hata kunena nena maneno mabaya yenye karaha hasa yakitamkwa na wengi Ina create gundu, ndio maana privacy ya vitu huepusha Mambo, hasa ukiwa una play Mambo yako kimya kimyaUchawi unaanzia pale unapowaza kuna mtu atakufanyia issue za kichawi, nakuomba uachane na hayo mawazo.
Kama wachawi wapo waache wapambane na uchawi wao, furahia maisha yako kwa uhuru. Sawa bibie ?
Hii ndio itamkuta diamond baadaewatu maarufu wanambwe mbwe tu za kwenye mitandao pamba kali,jina kubwa, ila kiukweli hawana pesa.
I feel youMchawi sio lazima awe na tunguri hata kunena nena maneno mabaya yenye karaha hasa yakitamkwa na wengi Ina create gundu, ndio maana privacy ya vitu huepusha Mambo, hasa ukiwa una play Mambo yako kimya kimya
Dua la kuku limedondoka mjini tiiiiiiiiiiiiiiiHii ndio itamkuta diamond baadae
Mkuu kibongo bongo heshima nyumba hafu watu wasipojenga huko kijijini miji itakua lini?
Hafu kujilinganisha na nje sio sawa na huku kwetu Tziii
[emoji23][emoji23] kwamba watu wanaonyesha nyumba zao ,majengo nk wote washamba?Mentality yako ni mtu fulani mshamba mshamba, mwenye kuhis utajiri wa ndugu ni wake pia, wenye nacho, huwa hawana janja janja ya kufanya show off aimlessly.
Kilichomkimbiza Chinga pale kwani unafikiri ni nini? Kusota asote yeye, pesa ya kuhonga ´´mlokole´´ apate Domo. Chinga akaona isiwe taabu, ngoja akahangaike mwenyewe, liwalo na liwe. Wenzake wamebaki uoga sasa wakujaribu kujitegemea, wanamnunia.Inaeza kuwa Diamond pekee ndio anamafanikio pale WCB
Hebu naomba ufafanue vizuri kuwa ulikuwa nje Nchi gani na ulikuwa unasomea nini? kwa sababu huo mtazamo wako unaonekana kama ni story za kijiweni na sio fact kutoka kwa Msomi
Kwa taarifa yako; hakuna msomi yeyote Duniani anajivunia kuwa na fedha bank pekee; labda mbumbu .... usidanganye watu
Watu hujivunia kuwa na Fixed Assets kama nyumba pamoja na uekezaji mkubwa kama wa mashamba, viwanda, biashara kubwa kubwa nk...... nafikiri umeona hapo sijataja magari.....
Mtu mwenye hela Bank kiuchumi huyo ni masikini mtarajiwa kwani muda wowote zinaweza kuisha akabia hana kitu....
Mwanamke akishaolewa anabadilishwa kila kitu mpaka majina mpaka kwao kuna change na ata akifa muamuzi wa mwisho kuamua azikwe wapi ni mumewe kwa Sisi wa tanga mke wangu atazikwa kwetu pakitokea msigano busara inaweza kutumika narudia ni busara tu ndio inaweza tumika akazikwe kwao ila kitaratibu za Kiimani lazima azikwe kwetuinakuaje mke akazikiwe kwao na mwanaume au ndio utaratibu
Sisi hatushowoff mitandaoni. Eeeh kwetu dhoofu zaidi.Muwe mnatupostia na picha za kwenu pia ili muweze kueleweka kwa urahisi. Msije mkawa mnaponda wengine kumbe kwenu ndio dhoofu zaidi.
Vmoney nasikia alikuwa anafake. Anashowoff instagram mambo bien kumbe kiuhalisia hali ni mbaya.Wachache sana wanaingiza hela nying hyo tasnia.wachache sana.weng wanapata chenjii..had kina v mane watoboe siri ndo muamini