Hajui lolote huyu mkuu, vilaza wanatafutiana excuse, eti Dr. Tale.....🤣Sidhani nina wivu lakini unadhani kumuibua Diamond au mtu mwingine yeyote ni sawa na kuvumbua law of physics ambayo aliifanyia tafiti na mpaka leo haikuwa kupingwa??
Sijajua kama Dr. Taletale ametunukiwa shahada hii kwa sababu ya kumuibua Diamond au kwa sababu ya jambo muhimu kama hilo la mvumbuzi wa gravitational force! Ningependa unisaidie sababu ya kutunikiwa shahada hii ya Dr. Taletale.
View attachment 2511319
Mh spika bila kumtaja moja kwa moja amesema jamaa amenunua phd hiyo kwa usd 2500
Pia amehoji kwanini wote wanapewa na vyuo vya nje sio vya ndani
Marekani wanaitambua
Hongereni Dr Kasheku Msukuma ,Dr Hamisi Taletale bado tunasubiri Phd ya Lusinde Kibajaji na Jumanne Kishimba.
Dr.Taletale anastahili PHD kamtoa Diamond kimataifa kashinda uchaguzi bila kupingwa
Ujinga wako tu. Newton alipewa uprofesa na kufundisha chuo kikuu akiwa hana hata shahada ya kwanza; kilichozingatiwa ni uvumbuzi wake wa nguvu ya uvutano (gravitational force) na mengine yakiyofuata.
Diamond alianza muziki kwa wimbo wake maarufu wa Mbagala, mbele ya nyumba jalala. Huyu babu Tale aliyemuibua Diamond toka jalalani mbagala kumfikisha hapa alipo kuna ubaya gani kutunikiwa udaktari wa heshima?
Mbona hawa wanaoliangamiza taifa wakipewa hizo heshima hamsemi?
Have we lost our civility to this extent?
Acheni wivu. Babu Tale more than deserves that honor.
Linaendana vizur kabisaDr. Hamisi taletale
upuuzi huu tuilaamu ccm. iliendekeza kuteua watu wenye pdh...saa hiki kirusi kimeingia kila mahali hadi viongozi wa dini wengi wanaojiita madokta wametumia sadaka wakanunua udhalimu huuView attachment 2511319
Mh spika bila kumtaja moja kwa moja amesema jamaa amenunua phd hiyo kwa usd 2500
Pia amehoji kwanini wote wanapewa na vyuo vya nje sio vya ndani
Wachungaji na maaskofu wa vikanisa uchwara wengi siku hizi wanajiita madokta 😆😆upuuzi huu tuilaamu ccm. iliendekeza kuteua watu wenye pdh...saa hiki kirusi kimeingia kila mahali hadi viongozi wa dini wengi wanaojiita madokta wametumia sadaka wakanunua udhalimu huu
Mkuu kama kuna ka-video ka hilo tukio hata kama kana dakika chache tuwekeeni hapa tafadhali na sisi tusio na umeme tuoneHujaangalia Bunge?.
Takriban dakika 30, zilikua zamotoo.
Nahisi Dr Taletale, alipatwa na muhalo 😂
Mkuu kama kuna ka-video ka hilo tukio hata kama kana dakika chache tuwekeeni hapa tafadhali na sisi tusio na umeme tuone
Dr. Khalid Aucho tulimpa udakitari hapa hapa Bongo why Babu Tale akaununue udakitari nje kwa dola 2,500?View attachment 2511319
Mh spika bila kumtaja moja kwa moja amesema jamaa amenunua phd hiyo kwa usd 2500
Pia amehoji kwanini wote wanapewa na vyuo vya nje sio vya ndani
Yamesaidia nini kwenye maendeleo ya nchi kwa ujumla na raia mmoja mmoja?! HUNA AKILI KABISA WEWE!Dr.Taletale anastahili PHD kamtoa Diamond kimataifa kashinda uchaguzi bila kupingwa
Ifike wakati huu udaktari na uprofesa wa kujibandika ubaki kwa waganga wa kienyeji na wasanii, vinginevyo tutazidi kuchanganya mambo.....Dr. Khalid Aucho tulimpa udakitari hapa hapa Bongo why Babu Tale akaununue udakitari nje kwa dola 2,500?
[emoji23][emoji23][emoji23] Hii nmecheka mpanda kidogo nipindue gari, mngepata breaking news kuna gari imegonga Fuso uso kwa uso,
yaani acha tu...unakumbana na mtu unajua aliishia darasa la saba. hata elimu ya theolojia ngazi ya cheti hana, lakini eti anaitwa DoktaWachungaji na maaskofu wa vikanisa uchwara wengi siku hizi wanajiita madokta 😆😆