Sijakurupuka nimekujibu na kukuquote kama ambavyo siku nyingine nafanya.
Sirumbani ninakupa usichotaka kukisikia.
Alafu sikia,watu tunamquote Max Melo sembuse wewe!
Anasoma kila comments IG I bet hana kazi ya kufanya[emoji125] [emoji125] [emoji124] [emoji124]maana anablok vibaya mnoo na kila page ya umbea anaifatilia na kulike piaMahaba nigaragaze!
Nikimuunga mkono ananiona Jembe nikiwa kinyume naye ananiona Hater.
Zari mmbeya sana alafu anapenda sana maneno.
Ndio maana comments tu huwa zinamwendesha.
If u can't fight them join them!!!ndo viscous cycle of lifeKuna kipindi team nanilii walikua wanabully mastaa wasiojua english hasa ukiingia anga za malkia wao. Saiv wamehamia kwa mganda mwenye english yake kulazimisha awe mswahili
Wewe !Nafurah povu unalonitolea inaonekana ulitaman sana kwa kipindi kirefu kufanya hivi ila sijui nini kilikukwamisha. Welcome am okay.toa frustration yako yoooteeee uliyonayo leo wala sitamind me mwelewa mama.
Anafatilia page zote za Udaku kwa karibu mno!Anasoma kila comments IG I bet hana kazi ya kufanya[emoji125] [emoji125] [emoji124] [emoji124]maana anablok vibaya mnoo na kila page ya umbea anaifatilia na kulike pia
Hana ubavu huo!Wewe !
Mimi sipo static humu,sina mahaba na msanii wala icon yeyote.Akiwa right ntaona hilo ila akiwa wrong pia nitaona.Sio lazima tufanane bear with that and learn to be tolerant!Usichukulie personal
Alafu ushabiki ukizidi sana huwa upoyoyo,Watch It!
[emoji1] [emoji1] [emoji1] bossylady gooosh!Anafatilia page zote za Udaku kwa karibu mno!
Boss lady!
Wanamita BossyLady![emoji1] [emoji1] [emoji1] bossylady gooosh!
Hana maisha mi nakuambia kwa sasa diamond ndo kila kitu ashukuru kazaa tu ndio anategemea child support!
Wewe !
Mimi sipo static humu,sina mahaba na msanii wala icon yeyote.Akiwa right ntaona hilo ila akiwa wrong pia nitaona.Sio lazima tufanane bear with that and learn to be tolerant!Usichukulie personal
Alafu ushabiki ukizidi sana huwa upoyoyo,Watch It!
If u can't fight them join them!!!ndo viscous cycle of life
Sawa bosslady...unajua Zari anakwenda chooni kama mtu mwingine lakini?Ndo maana nilijibu kifupi na kusema amin unachoamin na mie naamin nnachoamin. Ila ni kama unalazimisha nikubaliane nawe nakuona hapo ukifurahia comment zinazokusapoti. What a weekend!!! Wacha nimalizie weekend yangu salama.
Take it or leave it i dont care ciao!!
Na atazaa tena...na atacheatiwa tena.Hana uspesho wowote.Ana akili ya kugrab chances na opportunity.Kwanini Alikuwa natoa mimba za kina Farouk lakini Za Dai hajatoa?aliwaza mbali,Dj asingempa maiaha anayotaka na umaarufu.[emoji1] [emoji1] [emoji1] bossylady gooosh!
Hana maisha mi nakuambia kwa sasa diamond ndo kila kitu ashukuru kazaa tu ndio anategemea child support!
But she is everything in his life....rejea kutembea kwa magoti dar to sauzi....[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] my young sisyy mondi hatoshuka never ever kwa sababu ya zari kaa ukijua hiloooo
Dai walisema atashuka akimuacha wema!!!wapiii
Atashuka kwa kua muda umefika!
Who iz Zari?by the way?anamtungiaga nyimbo?
Zari akimuacha diamond tunamsahauii mazimaaaa.am telling today 17th of Nov 2017.I swear Zari is nobody kwenye mziki wa dai
Huyu malaya wa kawaida sana basi tuu njaa zetu wanaume....hana quality za kusema mtu unagonga mpaka mimba na mtoto juu. Hawa ni type za kuvaa ndom 2 x 2....upstairz hakuna kitu kabisa...kweli mungu hakupi kila kitu ila wapo wachache waliopendelewa kila.kitu...zari is amongst the few blezzed ones.No man can fall in love with hamissa,,,,,tamaa tu ndio zinawapeleka pale,,,matter of fact kipindi nipo chuo,mshikaji wangu alikua anamla hamissa,,and they met at bills,,
Tatizo Esma hajui kiingereza, we unafikiri Kwa Madiba wanaongea kizaramo kule kama Msanga?
Afadhali na team wema walikuwa wanampigia na kura domo kipindi cha tuzo lkn hawa team zari wao kushindana na hamisa tu[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] my young sisyy mondi hatoshuka never ever kwa sababu ya zari kaa ukijua hiloooo
Dai walisema atashuka akimuacha wema!!!wapiii
Atashuka kwa kua muda umefika!
Who iz Zari?by the way?anamtungiaga nyimbo?
Zari akimuacha diamond tunamsahauii mazimaaaa.am telling today 17th of Nov 2017.I swear Zari is nobody kwenye mziki wa dai
Hahahah JF buana!Tatizo Esma hajui kiingereza, we unafikiri Kwa Madiba wanaongea kizaramo kule kama Msanga?