Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 301,221
- 1,172,274
Nafurah povu unalonitolea inaonekana ulitaman sana kwa kipindi kirefu kufanya hivi ila sijui nini kilikukwamisha. Welcome am okay.toa frustration yako yoooteeee uliyonayo leo wala sitamind me mwelewa mama.
Sijakurupuka nimekujibu na kukuquote kama ambavyo siku nyingine nafanya.
Sirumbani ninakupa usichotaka kukisikia.
Alafu sikia,watu tunamquote Max Melo sembuse wewe!