Hamissa Mobetto ametua Jana akitokea Dubai, Diamond yuko wapi kwa sasa?

Hamissa Mobetto ametua Jana akitokea Dubai, Diamond yuko wapi kwa sasa?

Diamond hamheshimu Zari kabisa, mark my word! Yaani ni ile " akufukuzae hakwambii toka" yaan Domo kamchoka tukinao ni ile tu basi

Mi mtu wa karibu kabisa na Domo kaniambia uhusiano wa tununu na domo uko vile vile na Domo kafa kaoza kwa chuchunge
papa iliyotoa watoto sita na papa iliyotoa watoto wawili ushajua tamu ni ipi
 
Wabongo kwa kuunganisha Matukio hawajambo aiseee.., Aidha Wanawake wanaolewa na wabongo maarufu inabidi wapatiwe mafunzo maalum ya ukakamavu wa Moyo na Roho!!!
Wanawake wa kibongo wana roho za wivu sana, apo roho zinawauma tu, mwenzao akitusua,
 
Dai hana ujanja Kwa zari. Ndiye mwanamke aliyeweza kumzalia watoto. Huyo mbongo kaungaunga kajua dai ni mshamba atakubali kulea damu ya mwingine.

Zari anamfanya Dai azidi kung'aa duniani.

Huyu wa bongo kazi kuonyesha makalio, nani mwenye akili timamu anayehusudu makalio?
 
Esma wa kawaida mno sema insta anajipaisha tu. Hapo alipo anamlea petit kwa pesa za dai na biashara

Alishaenda mara moja na petit wakat zari akiwa uganda
Esma na uchizi wake kwa madiba kumemshinda!

Hivi hata kwenda kusalimia sijawahi ona clip yake akitua SA
 
Mmh mara hamisa mara wema mara tunda now penny ndie anayependwa aiseee kisa kuonyesha zari hana thamani.

Ukweli haukwepeki zari ndio kawafungua wadada wa kibongo mastaa kuwa kutoa mimba kisa wanaogopa kuharibiwa watoto kwa sura mbaya za wapenzi wao sio dili

Huyu penny si ndie aliesema dai hana uwezo wa kuzalisha mwanaume mara ana sura mbaya atamharibia watoto kiko wapi now!
Kila silaha itatumika kutimiza lengo...
Ipo siku watasema kaonekana na Mange Kimambi, siku nyingine na Giggy siku nyingine na ...
 
Esma wa kawaida mno sema insta anajipaisha tu. Hapo alipo anamlea petit kwa pesa za dai na biashara

Alishaenda mara moja na petit wakat zari akiwa uganda
Hata mimi huwa nahisi kuwa petit analelewa yule, maana ni full marioo

Ila esma mswahili afuu ana ushamba Fulani hivi!
 
Kwahiyo akienda South Africa na Dai akiwa huko inakuwaje?
 
Zari anawezana kidogo na queen darlin na sio esma.

Esma anakaumbea umbea. Hivyo akienda kule akakaa siku mbili insta itajaa ubuyu wa south, tutajua hadi bei ya vijiko na mifagio ndani ya ile nyumba achilia mbali majina ya woote wanaoishi mule
Kuuuumbe?

Buuut....si ataongea na Zari coz kiswahili anajua?
 
Haki hivi viumbe havieleweki asee..

Mwanaume ukimuonesha unampenda sana huwa anageuka, anajua huna pa kwenda

Refer na Wema kumfanyia hadi birthday kwa gharama zake!??[emoji15] [emoji15] [emoji15]

Yaani hapo Wema kategesha kwa Domo amrudie khaaa!
hii picha ni yako? km yako njo pm
 
Numbisa bana ....huo ustrong wa Zari ni mbaya kuliko huyo anayeumia live coz anatoa sumu!

Tatizo anapenda sifa za mitandaoni, yaan ye kila kitu anafanya show off...kumbe moyoni anaumia vibaya vibaya!

Watu kama hao ndo wanapataga Heart attack, depression n.k.
Hana ustrong wowote...mlaini tu kama mkate mbele ya chai.
Angekuwa strong angebeba virago vyake asonge mbele.
Nawaambia Zari anahitaji fame,money ya matunzo kama mke na pia anahitaji sana Mwanamme.
 
Back
Top Bottom