Leo wamepunguza jana walinitowa jasho walikuwa wananitisha tu mkuu
Basi mpaka hapa nimefanya kosa uliniambia zako tu ni like's nne sasa nlipaswa kuzitoa siku mbili sio ?
mm nipolice kwani aliekushauri kujiunga huku akukjambia ukiandika ujinga kuna mtu atalala na ww mbeleNazan ningeweza jib swali moja tu ila umeyauliza kipolis polis mno
Hata wakuu wanakuwaga washamba jaman ukuu unashushwa tena ?
Uuupssss ooohhh usingiziiiiiupendeleo sio ?
ohoo mkuu sio umenitusi kweli ? mbona nimehis kaukali tena kamezid kajana
[emoji23] [emoji23] nimecheka hadi mchoz hihehuohoo mkuu sio umenitusi kweli ? mbona nimehis kaukali tena kamezid kajana
Mi mwenyewe waliniambia ivyo ivyo nilitorokaNimeogopeshwa nimeambiwa kuna majukwaa sijui la siasa halitaki mchezo kabisa nimeambia nitulia hapa kwa muda mpaka nipewe maelekezo mengine so nasubiria
Nipe maujuziSasa wewe umezubaa zubaa hapa kama utumbo. Kachangie majukwaa mengine