Tasbeeh313
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 1,919
- 2,054
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hili swali la kibabe sana aseeTaja majina yako matatu kwa usahihi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hili swali la kibabe sana aseeTaja majina yako matatu kwa usahihi
Wew mwite tu usikute ni mod ukupe banned uone app ya jf kama game la puzzleYaani na akili hizi na wewe nikuite mkuu ? nimegoma sikuiti hivo
Limekaa kama la kanda maalumu hahahaha! Kashakuwa mjanja hajataja[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hili swali la kibabe sana asee
Mpaka hapo ushaniitaYaani na akili hizi na wewe nikuite mkuu ? nimegoma sikuiti hivo
kosa la kiprotokal Jamaa_Mbishi salam kwa kitanzania ni sawa na inaruhusiwa vipi iwe kosa ?
Umba tuku humu ni mikono salama jf kila kitu kipo hiz ndo sheria za jfWanamaswali flan yakukera sazingine
Umba tuku humu ni mikono salama jf kila kitu kipo hiz ndo sheria za jf
1.lazima uchangie mada atakama haikuhusu
2.mtu akikufata pm myajenge huko huko usiyalete huku kwetu unaweza pigwa banned au bamedi
3.kwa mara ya kwanza nakuruhusu kwenda majukwaa mengine kama jukwaa la siasa, love conect n.k
4.rugha chafu azitakiwi pia ukitoa uzi ambao kichwa cha habar ni chenga yaani hakieleweki post ya inafutwa lakini sijui inafutwa na nani mi mwenyewe nilishafutiwa post yangu
[HASHTAG]#karibu[/HASHTAG] sana jf
By shedede
Hahahhahah tunachangamshanshedede wewe mkuu sijana tu tulikuwa wageni wote leo umekuwa mwenyeji ? haya endelea kunielekeza
Hahahhahah tunachangamshanshedede wewe mkuu sijana tu tulikuwa wageni wote leo umekuwa mwenyeji ? haya endelea kunielekeza
lazima ajulikane timu anayochezea ili wapinzani wake wajiandaeHahahahaha
ushaanza tabia ya bibi faiza ssWewe ni me au me[emoji15] wanaharaka zaidi ya radi