Kwenye siasa ndio usiseme, michezo ya bahati nasibu imejaa unaambiwa kuwa milionea watu wanapigwa tu.Siyo kwenye dini tu
Ukiwaamisha watu kuwa utamaliza matatizo yao utawatapeli
Mifano ni mingi eg DESI, babu wa Loliondo
Umenena vyemaMimi sio nakung'ang'ania kukuelekeza Uislamu ila Uislamu ni dini iliyokamilika ambayo kila m.damu anatakiwa aifuate
Kazi yetu ni kufikisha hatumlazimishi mtu
Kuna watu wana PhD lakini wanapigwa kiboya tu.Nilivyokua nakua nilipata habari ya Kibwetele nilishangaa sana maana walikua waumini wengi sana aliowachoma moto na yeye kutokomea na mali kusikojulikana...hili tatizo lipo kote na tatizo ni Elimu mtu mwenye Elimu yake sawa sawa hawezi kuwa mjinga kiasi hicho cha kufata mkumbo...
Majina ya Kiafrika ndiyo majina mazuri, na ndio fahari yetu. Majina ya kigeni yameletwa na tamaduni haramu zilizo tupeleka utumwani. Nalionea fahari sana jina languMkristo/yahudi ama pagani kabla ya kusilimu alikuwa akitumia jina la James, mapunda cjui shoziniga. Sasa mtoto na baba wote wamesilimu wakaitwa majina mazuri ya kiisilamu Abdallah, Said, Suleiman n.k. na kuachana na majina ya kikafiri. Sasa hapo unataka akupe jina gani tena mzehe. Wakati majina mazuri ndiyo haya ya kiislamu.
Dini ya wavaa suicide vest..wakuiamini hii ni punguani wa akili.Mimi sio nakung'ang'ania kukuelekeza Uislamu ila Uislamu ni dini iliyokamilika ambayo kila m.damu anatakiwa aifuate
Kazi yetu ni kufikisha hatumlazimishi mtu
Wewe kinachokuuma hasa nini..kaa kutulia injili ienezwe..watu waokolewe..waondokane na majini na mashetwani..Kunachofanywa na manabii fake kina mwamposa na wenzake ni utapeli ambao ulishafanywa na televangelists huko nchini marekani mwanzoni mwa miaka ya 2000 , wanahubiri kuhusu mafanikio na pesa tu. Yaani mzunguko wote wa mahubiri yao yanaangukia ktk kupata pesa kwa wajinga wengi wanaowafuata na kweli wamefanikiwa ktk hilo.
Chupa ya maji ya sh 300 ya kampuni ya canada wanawauzia watu kwa sh 2000.Chumvi ya jero mtu anauziwa 5000-10000.
we jamaa nakujua ni dhihaka kwa Uislamu kwenda mbeleDini ya wavaa suicide vest..wakuiamini hii ni punguani wa akili.
Bora nikatambike makaburini.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Majina ya Kiafrika ndiyo majina mazuri, na ndio fahari yetu. Majina ya kigeni yameletwa na tamaduni haramu zilizo tupeleka utumwani. Nalionea fahari sana jina langu
Dini ya wavaa suicide vest..wakuiamini hii ni punguani wa akili.
Bora nikatambike makaburini.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Majina ya mateja hayo, Mwamedi a.k.a Mudi, Addalla a.k.a Dulla, Ramadhani a.k.a Rama, Shabani a.k.a Shabby, Said a.k.a Side, Rajab a.k.a Roja.Mimi nakupinga. Majina ya kiafrika ni majina ya kikafiri pia. Muisilamu kama muisilamu anaejitambuwa hawezi jiita jina la kiafrika/kikafiri eti kwa sababu ya utamaduni wa kiafrika na kuachana na majina ya imani yake 😁. Wakati kuna majina bora kuliko yote duniani kama vile MUHAMMAD, ABDALLAH, SALUM, SAID ABDULLATIF, ABDULQADIR, RAMADHAN, SHAABAN, RAJAB, SULEIMAN. Sasa mtu ajiite GONDWE, MAPUNDA, TATU, PILI, ISHENGOMA, RUGEMALILA, SHADRAKI, NGOLO, RUDIGER N.K, huu utakuwa wendawazimu.
Tuko pamojaDini ya wavaa suicide vest..wakuiamini hii ni punguani wa akili.
Bora nikatambike makaburini.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nakupinga. Majina ya kiafrika ni majina ya kikafiri pia. Muisilamu kama muisilamu anaejitambuwa hawezi jiita jina la kiafrika/kikafiri eti kwa sababu ya utamaduni wa kiafrika na kuachana na majina ya imani yake 😁. Wakati kuna majina bora kuliko yote duniani kama vile MUHAMMAD, ABDALLAH, SALUM, SAID ABDULLATIF, ABDULQADIR, RAMADHAN, SHAABAN, RAJAB, SULEIMAN. Sasa mtu ajiite GONDWE, MAPUNDA, TATU, PILI, ISHENGOMA, RUGEMALILA, SHADRAKI, NGOLO, RUDIGER N.K, huu utakuwa wendawazimu.
Mkuu embu ongezea maneno hapo Rais Mkapa, naweza nikaondoka nakitu??
Sijajua ni kwanini Wakristo wamekuwa wakisadikishwa na kuaminishwa na wao haraka haraka huamini na mwishowa siku hujikuta wakiwa mateka wa kifikra.
Visa vingi sana tumeviona na tumevishuhudia vya watu kuuziwa kijifuko cha chumvi tu hii ya dukani kwa shilingi laki moja huku wakisadikishwa kuwa inaleta utajiri na kumfukuzia mbali pepo mchafu alitaye ufukara.
Tumeona watu wakisadikishwa kuwa ukipada mbegu utacuna lolote ulitakalo, mathalani, unataka kuwa Mkurugenzi wa bandari, au unataka kuwa daktari mkuu na wewe elimu yako ulikomea darasa la nne A, basi panda mbegu,inenee na wewe utavuna jambo ulitakalo.
Wakristo wameaminishwa kuwa kina St. John, St. Peters, St. Richard na wazungu wengine waliokufa zamani ndio wanaweza kutuombea.
Mizimu ya kizungu, wala haikujui je inawezaje kukuombea? Mizimu ambayo haina hata uhusiano na wewe?
Omba kupitia mizimu ya kwenu, achana na hao wahuni wa kimagharibi, wanachotaka kutoka kwako ni sadaka tu.
Wanahubiri upendo na hawana upendo, hata marehemu Benjamin Williams Mkapa alichana na upadre baada ya kuona huko kwenye mission kumejaa gjiriba, chuki , ubaguzi na upendo haukuwepo.
Mapadre wazungu walikuwa wakiwanyanyapaa na kuwaona mapadre weusi kama takataka halafu wakipanda madhanahuni wanajidai wanahubiri upendo.
Hizi dini zichunguzeni kwa kina, kisha zirekebiswe huenda zikawa bora kidogo
Tafuta Biography yake inayoitwa My Life My PurposeMkuu embu ongezea maneno hapo Rais Mkapa, naweza nikaondoka nakitu??
Ntakupigia picha kurasa kadhaa uzisome kwa wakati wako mujarabuMkuu embu ongezea maneno hapo Rais Mkapa, naweza nikaondoka nakitu??
Mtanzania akamatwa na madawa ya kulevya Indonesia
RAIA wa Tanzania aliyetambulika kwa jina la Abdul Rahman Asman anadaiwa kukamatwa huko Bali nchini Indonesia akiwa na madawa ya kulevya aliyokuwa ameyameza tumboni. Maofisa katika Uwanja wa Ndege wa Bali wameliambia Shirika la Habari la AFglobalpublishers.co.tz
https://www.facebook.com/
Basi hayo majina hayana uzuri wowote, jina langu Butogwa, tafsiri yake ni upendo. Hakika hili ni jina zuri sana. Tena maana yake imefanana na Bill Lugano. Lugano pia ni upendoUislamu haujaagiza kufanya huo ujinga, kama nikweli hayo basi yeye na nafc yake na sio dini.
Majina ya mateja hayo, Mwamedi a.k.a Mudi, Addalla a.k.a Dulla, Ramadhani a.k.a Rama, Shabani a.k.a Shabby, Said a.k.a Side, Rajab a.k.a Roja.
Hayo ni majina ya laana, mateja, vibaka na majambazi ndio hayo majina ya majitu ya hovyo yaliyorundikana jela.