kibobori mahoro
JF-Expert Member
- Dec 12, 2022
- 7,452
- 10,785
Hi tu inatosha, mikono ya nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwehu kichaa. Wakati wa Korina ukijifungia ndani mama yako ukimkimbia ulipoambiwa usiwe naye karibu. Hukusema ukichaaHivi we jamaa ni punguan??
Hamia huko kama unapenda huo utaratibu wa ovyo takataka kabsaa
Safi sana nimependa hiiWaziri Mkuu asiyepeana mikono na wanawake
![]()
Waziri Mkuu wa Shirikisho la Jamhuri ya Somalia, Hamse Abdi Barre, alitoa taarifa kwenye mtandao wa kijamii, baada ya kuchapishwa video akisalimiana na mjumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Somalia, Catriona Laing bila kumpa mkono.
Baadhi ya watu wanaamini Laing kama kuonyesha kuudhika na hilo. Wengine wamekosoa uamuzi wa Barre, huku wengine wakiunga mkono kwa sababu za kidini.
Baadhi ya Waislamu hawapeani mikono na wanawake ambao si wake zao, wanaamini ni dhambi kuwagusa wanawake wasio wake zao.
Yapo matukio mengine ya Waziri Mkuu huyo akiwasalimia wanawake bila ya kuwapa mkono - katika maeneo anayotembelea au viwanja vya ndege akiwakaribisha wanadiplomasia, viongozi na wageni wengine.
View attachment 2924281
View attachment 2924282
Mtume amesema. Bora ushike kaa la moto kiganjani kuliko kupeana mikono mwanamke na mwanamme wanaoruhusiwa kuoana. Kwani dhambi kubwa kufanya hivyo. Na inawezekana
Pengine Watekenyane kidogoHi tu inatosha, mikono ya nini?
Kwa lugha nyepesi mtume anatuambia hivi” bora uache kumvuta mwanamke aliyenasa kwenye kisima au kwenye maji kwa mkono sababu ni dhambi”Mtume amesema. Bora ushike kaa la moto kiganjani kuliko kupeana mikono mwanamke na mwanamme wanaoruhusiwa kuoana. Kwani dhambi kubwa kufanya hivyo. Na inawezekana
Mkono ni njia mojawapo ya kusafirisha hisia za ndani kabisa, sasa ikitokea uliempa mkono ana hisia kali na wewe cheche lazima ziwake, watoto wa Mwaka 2000 wanaziita 'sparkles'Baadhi ya Waislamu hawapeani mikono na wanawake ambao si wake zao, wanaamini ni dhambi kuwagusa wanawake wasio wake zao.
Yapo matukio mengine ya Waziri Mkuu huyo akiwasalimia wanawake bila ya kuwapa mkono - katika maeneo anayotembelea au viwanja vya ndege akiwakaribisha wanadiplomasia, viongozi na wageni wengine.
Huyo waziri ni mnafq tangu lini mwana siasa akawa na dini?siasa ni mfumo unaopingana na mafundisho ya dini ya kiisilamu kwa asilimia [emoji817] awape mikono tu matwaghuti wenzie asinifiche kwenye dini hali ya kuwa mfumo wake unapiga imani ya uisilamu
Waziri Mkuu asiyepeana mikono na wanawakeWaziri Mkuu wa Shirikisho la Jamhuri ya Somalia, Hamse Abdi Barre, alitoa taarifa kwenye mtandao wa kijamii, baada ya kuchapishwa video akisalimiana na mjumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Somalia, Catriona Laing bila kumpa mkono.![]()
Baadhi ya watu wanaamini Laing kama kuonyesha kuudhika na hilo. Wengine wamekosoa uamuzi wa Barre, huku wengine wakiunga mkono kwa sababu za kidini.
Baadhi ya Waislamu hawapeani mikono na wanawake ambao si wake zao, wanaamini ni dhambi kuwagusa wanawake wasio wake zao.
Yapo matukio mengine ya Waziri Mkuu huyo akiwasalimia wanawake bila ya kuwapa mkono - katika maeneo anayotembelea au viwanja vya ndege akiwakaribisha wanadiplomasia, viongozi na wageni wengine.
Mtume amesema. Bora ushike kaa la moto kiganjani kuliko kupeana mikono mwanamke na mwanamme wanaoruhusiwa kuoana. Kwani dhambi kubwa kufanya hivyo. Na inawezekana
Huyo waziri ni mnafq tangu lini mwana siasa akawa na dini?siasa ni mfumo unaopingana na mafundisho ya dini ya kiisilamu kwa asilimia [emoji817] awape mikono tu matwaghuti wenzie asinifiche kwenye dini hali ya kuwa mfumo wake unapiga imani ya uisilamu
Mwanadamu sio najisi muisilamu anaruhusiwa kuwapa mikono wanawake wafatao mkewe dada yake mtoto wake wa kike dadake mamake mke wa babake shangazi yake bibi yake mama mke wakeNilifhani labda ni najis. Nilitaka niwaulize aliwezaje kukaa miezi tisa sehemu najis?
Mwanadamu sio najisi muisilamu anaruhusiwa kuwapa mikono wanawake wafatao mkewe dada yake mtoto wake wa kike dadake mamake mke wa babake shangazi yake bibi yake mama mke wake
Huyo waziri ni mnafq wanasiasa hawana dini sababu siasa inahalalisha haramu na kuharamisha halali zote zilizomo kwenye qur,an kama pambe kamari riba nk
Hoja inasema kusalimiana kwa kupeana mkono sio kutibiwa na mwanamkeKwahiyo ukiumwa ukaenda hospitali ukakuta daktari mwanamke akikugusu kwenye matibabu halafu usipone ukafa kwa bahati mbaya, Firdausi ndiyo kwaheri?
Ni upuuzi mtupu kuamini mambo ya kwenye Quran. Quran yenyewe ni kitabu kiliandikwa na wajanja halafu Muhamad akapewa na kuwadanganya kuwa ameteremshiwa na Mungu.
Waziri Mkuu asiyepeana mikono na wanawakeWaziri Mkuu wa Shirikisho la Jamhuri ya Somalia, Hamse Abdi Barre, alitoa taarifa kwenye mtandao wa kijamii, baada ya kuchapishwa video akisalimiana na mjumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Somalia, Catriona Laing bila kumpa mkono.![]()
Baadhi ya watu wanaamini Laing kama kuonyesha kuudhika na hilo. Wengine wamekosoa uamuzi wa Barre, huku wengine wakiunga mkono kwa sababu za kidini.
Baadhi ya Waislamu hawapeani mikono na wanawake ambao si wake zao, wanaamini ni dhambi kuwagusa wanawake wasio wake zao.
Yapo matukio mengine ya Waziri Mkuu huyo akiwasalimia wanawake bila ya kuwapa mkono - katika maeneo anayotembelea au viwanja vya ndege akiwakaribisha wanadiplomasia, viongozi na wageni wengine.
Mtume amesema. Bora ushike kaa la moto kiganjani kuliko kupeana mikono mwanamke na mwanamme wanaoruhusiwa kuoana. Kwani dhambi kubwa kufanya hivyo. Na inawezekana
Wenzio makafiri yaliobobea ktk kiarabu waliambiwa kama hicho kitabu kimetungwa na binaadam basi na wao walete japo aya 1 inayofanana na Quran wameshindwa. Unaona biblia kila papa akija anakuja na version yake lkn Quran ndio ile ileNi upuuzi mtupu kuamini mambo ya kwenye Quran. Quran yenyewe ni kitabu kiliandikwa na wajanja halafu Muhamad akapewa na kuwadanganya kuwa ameteremshiwa na Mungu.
Huyo waziri ni mnafq tangu lini mwana siasa akawa na dini?siasa ni mfumo unaopingana na mafundisho ya dini ya kiisilamu kwa asilimia [emoji817] awape mikono tu matwaghuti wenzie asinifiche kwenye dini hali ya kuwa mfumo wake unapiga imani ya uisilamu
kweli kabisa ni zaidi ya unafikiMwanadamu sio najisi muisilamu anaruhusiwa kuwapa mikono wanawake wafatao mkewe dada yake mtoto wake wa kike dadake mamake mke wa babake shangazi yake bibi yake mama mke wake
Huyo waziri ni mnafq wanasiasa hawana dini sababu siasa inahalalisha haramu na kuharamisha halali zote zilizomo kwenye qur,an kama pambe kamari riba nk
Wacha kulinganisha Biblia na vitu vya hovyo vilivyoandikwa karne 13 zilizopita. Mumefumbwa maarifa ndiyo maana mnasoma kutoka kulia bila sabau na mnaswali kiarabu huku mkigonga kichwa kwenye sakafu na mikundu juuWenzio makafiri yaliobobea ktk kiarabu waliambiwa kama hicho kitabu kimetungwa na binaadam basi na wao walete japo aya 1 inayofanana na Quran wameshindwa. Unaona biblia kila papa akija anakuja na version yake lkn Quran ndio ile ile
Matusi ya nini? Kulikuwa na makafiri wakubwa wenye fedha walikuwa hawatukani. Wewe unalala chumba pamoja na dada yako unaleta matusiWacha kulinganisha Biblia na vitu vya hovyo vilivyoandikwa karne 13 zilizopita. Mumefumbwa maarifa ndiyo maana mnasoma kutoka kushoto bila sabau na mnswali kiarabu huku mkugonga kichwa kwenye sakafu na mikundu juu
Mikono ya nini?.inaengeza kipato?kweli kabisa ni zaidi ya unafiki
demokrasia ambayo ni Haram ameikubali ila kupeana mikono ndio kakataa!
mbona umeandika havieleweki?Mikono ya nini?.inaengeza kipato?