Hamse Abdi Barre: Waziri Mkuu asiyepeana mikono na wanawake

Hamse Abdi Barre: Waziri Mkuu asiyepeana mikono na wanawake

Muislam anaejitambua ambae makafiri hawapendi ajitambue. Wakiristo wanapenda muislamu asiejitambua. Akijitambua basi ataandamwa
Hapa umejichanganya kafir mwenzangu. Huyu jamaa ni Muislamu. Ila kwa asilimia 100 anasaidiwa na makafir. Huoni hapo anaonesha ni mnafiq? Kwa nini asisaidiwe na Waislamu wenzie?
 
Hapa umejichanganya kafir mwenzangu. Huyu jamaa ni Muislamu. Ila kwa asilimia 100 anasaidiwa na makafir. Huoni hapo anaonesha ni mnafiq? Kwa nini asisaidiwe na Waislamu wenzie?
Kosa lake kukataa mkono wa mwanamke? Sio mwanamke wa kikiristo tu. Hata mtoto wa mjomba wake wa kike hapiani nae mkono. Kwa hivyo hoja yako ni mfu. Kakojoe ukalale jikoni
 
Kosa lake kukataa mkono wa mwanamke? Sio mwanamke wa kikiristo tu. Hata mtoto wa mjomba wake wa kike hapiani nae mkono. Kwa hivyo hoja yako ni mfu. Kakojoe ukalale jikoni
Matendo mema tu ndiyo yatakupeleka peponi wala siyo huu ujinga wa kukataa kugusa mkono wa mwanamke.

Hawa wasomali wanauaana, wanateka meli, wanalawiti halafu eti anaogopa kushika mkono wa mwanamke!! Eti ni dhambi??? Ridiculous
 
Hapa umejichanganya kafir mwenzangu. Huyu jamaa ni Muislamu. Ila kwa asilimia 100 anasaidiwa na makafir. Huoni hapo anaonesha ni mnafiq? Kwa nini asisaidiwe na Waislamu wenzie?
Nchi za Kiarabu huwa zinatoa Msaada wa Tende tu tena Mwezi wa Ramazani.

Somalia imejiunga na EAC sasa ngoja tuwaamshe waachane na mambo Kiarabu warudi kuwa Wahabeshi kama ilivyokuwa enzi na enzi.
 
Kosa lake kukataa mkono wa mwanamke? Sio mwanamke wa kikiristo tu. Hata mtoto wa mjomba wake wa kike hapiani nae mkono. Kwa hivyo hoja yako ni mfu. Kakojoe ukalale jikoni
Kwani nani kasema ni kosa? Mi sijaona kama ni kosa. Hata angekataa mkono wa mwanamke wa Kikristo siyo kosa ni maamuzi. Mimi binafsi sikumbatiani na mwanamke asiye wangu. Ni maamuzi yangu tu. Hakuna aliyenikataza. Ni kama mtu anaamua kuchagua dhambi flani mbaya nyingine nzuri.
 
Mafundisho gani yanayozuia kupiga punyeto yanayozuia kushika mkono wa Mwanamke ambaye kafunikwa na Hijabu hadi usoni wakati huo huo Mashehe wake wanashinda PORNHUB usiku kucha.
 
Wasomali wafiraji wakubwa lakini wanajifanya watu wa Ibada sana mbele za Watu.
 
Back
Top Bottom