Hamse Abdi Barre: Waziri Mkuu asiyepeana mikono na wanawake

Hamse Abdi Barre: Waziri Mkuu asiyepeana mikono na wanawake

Kwani nani kasema ni kosa? Mi sijaona kama ni kosa. Hata angekataa mkono wa mwanamke wa Kikristo siyo kosa ni maamuzi. Mimi binafsi sikumbatiani na mwanamke asiye wangu. Ni maamuzi yangu tu. Hakuna aliyenikataza. Ni kama mtu anaamua kuchagua dhambi flani mbaya nyingine nzuri.
Sikiliza Chizi, ilo jina sijui kama utanielewa any way, sisi waisalmu tunakatazwa na Allah kupitia kwa Mtume wake Mwarabu aitwae Muhammad swalallahu Alaih waalih wasallam. Kwa hiyo kwa hili ni kosa kupaeana mikono na mwanamke. waziri huyu yupo sawa kabisa kwa 100%.

Soma hii hadithi;
Imesimuliwa kutoka kwa Ma’qil ibn Yaassar ambaye amesema kuwa Nabiy (Swalla Allaahu ‘alayhi wa alihi wa sallam) amesema: ((Mmoja wenu kudungwa kichwa kwa sindano ya chuma ni bora kwake kuliko kumgusa mwanamke asiyeruhusiwa kwake)) [At-Twabaraaniy katika Al-Kabiyr na imepewa daraja ya Swahiyh na Shaykh Al-Albaaniy katika Swahiyh Al-Jaami’]

Jambo hili limekuwa ni mazoea katika jamii yetu na linaonekana ni jambo la kawaida na kuliacha huwa ni kama muhali kwa mtu kukhofu kuwa atakuwa amemdharau mwanamke asipopokea mkono wake anaposalimia. Inampasa Muislamu aondoshe fikra hii ambayo ni wasiwasi wa Shaytwaan na abakie thabiti katika Iymaan yake ya utiifu wa amri wa Mola wake na asione aibu kwani Allaah Haoni aibu katika haki.
 

Waziri Mkuu asiyepeana mikono na wanawake​

k
Waziri Mkuu wa Shirikisho la Jamhuri ya Somalia, Hamse Abdi Barre, alitoa taarifa kwenye mtandao wa kijamii, baada ya kuchapishwa video akisalimiana na mjumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Somalia, Catriona Laing bila kumpa mkono.

Baadhi ya watu wanaamini Laing kama kuonyesha kuudhika na hilo. Wengine wamekosoa uamuzi wa Barre, huku wengine wakiunga mkono kwa sababu za kidini.

Baadhi ya Waislamu hawapeani mikono na wanawake ambao si wake zao, wanaamini ni dhambi kuwagusa wanawake wasio wake zao.

Yapo matukio mengine ya Waziri Mkuu huyo akiwasalimia wanawake bila ya kuwapa mkono - katika maeneo anayotembelea au viwanja vya ndege akiwakaribisha wanadiplomasia, viongozi na wageni wengine.

Mtume amesema. Bora ushike kaa la moto kiganjani kuliko kupeana mikono mwanamke na mwanamme wanaoruhusiwa kuoana. Kwani dhambi kubwa kufanya hivyo. Na inawezekana
Hata kusalimiana nao tu nako hakufai nadhani Mohammad alisahau kuweka nyongeza hiyo
 
Hizi ni Sheria za KALE hazina nafasi katika Dunia ya leo huyo Waziri Mkuu wa Somalia akikutana na Samia Suluhu atampa mkono fasta fasta.
 
Sikiliza Chizi, ilo jina sijui kama utanielewa any way, sisi waisalmu tunakatazwa na Allah kupitia kwa Mtume wake Mwarabu aitwae Muhammad swalallahu Alaih waalih wasallam. Kwa hiyo kwa hili ni kosa kupaeana mikono na mwanamke. waziri huyu yupo sawa kabisa kwa 100%.

Soma hii hadithi;
Imesimuliwa kutoka kwa Ma’qil ibn Yaassar ambaye amesema kuwa Nabiy (Swalla Allaahu ‘alayhi wa alihi wa sallam) amesema: ((Mmoja wenu kudungwa kichwa kwa sindano ya chuma ni bora kwake kuliko kumgusa mwanamke asiyeruhusiwa kwake)) [At-Twabaraaniy katika Al-Kabiyr na imepewa daraja ya Swahiyh na Shaykh Al-Albaaniy katika Swahiyh Al-Jaami’]

Jambo hili limekuwa ni mazoea katika jamii yetu na linaonekana ni jambo la kawaida na kuliacha huwa ni kama muhali kwa mtu kukhofu kuwa atakuwa amemdharau mwanamke asipopokea mkono wake anaposalimia. Inampasa Muislamu aondoshe fikra hii ambayo ni wasiwasi wa Shaytwaan na abakie thabiti katika Iymaan yake ya utiifu wa amri wa Mola wake na asione aibu kwani Allaah Haoni aibu katika haki.
Unaogopa kumtaja shetani kwa ubaya kwa jina lake mpaka unalirember hivyo. Sema SHETANI kama SHETANI na JINA LAKE BAYA.
 

Waziri Mkuu asiyepeana mikono na wanawake​

k
Waziri Mkuu wa Shirikisho la Jamhuri ya Somalia, Hamse Abdi Barre, alitoa taarifa kwenye mtandao wa kijamii, baada ya kuchapishwa video akisalimiana na mjumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Somalia, Catriona Laing bila kumpa mkono.

Baadhi ya watu wanaamini Laing kama kuonyesha kuudhika na hilo. Wengine wamekosoa uamuzi wa Barre, huku wengine wakiunga mkono kwa sababu za kidini.

Baadhi ya Waislamu hawapeani mikono na wanawake ambao si wake zao, wanaamini ni dhambi kuwagusa wanawake wasio wake zao.

Yapo matukio mengine ya Waziri Mkuu huyo akiwasalimia wanawake bila ya kuwapa mkono - katika maeneo anayotembelea au viwanja vya ndege akiwakaribisha wanadiplomasia, viongozi na wageni wengine.

Mtume amesema. Bora ushike kaa la moto kiganjani kuliko kupeana mikono mwanamke na mwanamme wanaoruhusiwa kuoana. Kwani dhambi kubwa kufanya hivyo. Na inawezekana
Mawazo ya ngono tuu.
 
Kwahiyo ukiumwa ukaenda hospitali ukakuta daktari mwanamke akikugusu kwenye matibabu halafu usipone ukafa kwa bahati mbaya, Firdausi ndiyo kwaheri?​
Ila watu wengine jamani...kugusa ndio kupeana mikono mzee baba!? Khaaaa!!!!
 
Peleka upumbavu huko hiyo dini imekupofusha macho kama unajiona wewe msafi sana hama hapa dunian nenda kaishi maisha yako huko Mars.

Pumbavu mkubwa wewe mwenyewe hapo ulipo unakinyeshi kama unabisha pitisha kidole ujinuse shenzi kabsaa.
Great thinker
 
Wacha kulinganisha Biblia na vitu vya hovyo vilivyoandikwa karne 13 zilizopita. Mumefumbwa maarifa ndiyo maana mnasoma kutoka kushoto bila sabau na mnswali kiarabu huku mkugonga kichwa kwenye sakafu na mikundu juu
Quran inasomwa toka mkono wa kulia. Au hujui kama maandishi ya kiarabu yanaanzia kulia. Quran imeandikwa karne ya 13 sawa jee umeona imebadilishwa versions kama ilivyo kwa biblia?
 
Hizi ni Sheria za KALE hazina nafasi katika Dunia ya leo huyo Waziri Mkuu wa Somalia akikutana na Samia Suluhu atampa mkono fasta fasta.
Juzi tu kwenye mazishi ya Alhaj Ali H Mwinyi kama uliangalia, wanaume walikuwa wakiwapa mikono wafiwa wanaume wenzao...wakifika kwa wanawake wanajishika kwenye vifua kuonesha km kutoa Pole. No handshakes
 
Kwahiyo ukiumwa ukaenda hospitali ukakuta daktari mwanamke akikugusu kwenye matibabu halafu usipone ukafa kwa bahati mbaya, Firdausi ndiyo kwaheri?​
Dhambi inapatikana kwa dhamira yako, na siyo kwa dhamira yako.
Mfano: Mwanamke akibakwa hapati dhambi, bali dhambi itenda kwa mbakaji.
 
Juzi tu kwenye mazishi ya Alhaj Ali H Mwinyi kama uliangalia, wanaume walikuwa wakiwapa mikono wafiwa wanaume wenzao...wakifika kwa wanawake wanajishika kwenye vifua kuonesha km kutoa Pole. No handshakes
Point yake nini ukimshika mkono Mwanamke ndio unapatwa na Nyege?!
 
Dhambi inapatikana kwa dhamira yako, na siyo kwa dhamira yako.
Mfano: Mwanamke akibakwa hapati dhambi, bali dhambi itenda kwa mbakaji.
Kwahiyo nikikushika mkono nikawa na dhamiri njema moyoni, napata dhambi au sipati dhambi ?​
 
Ila kwenye wizi wa mali ya Umma unaweza kumkuta yupo mstari wa mbele. Amaa kweli dini ni ukichaa
 
Back
Top Bottom