Hamse Abdi Barre: Waziri Mkuu asiyepeana mikono na wanawake

Huo ndio upunguani wako na ukafiri tangu lini yesu akawa muabudiwa mkiitwa makafiri mnachukia huo ndio ukafiri wenu nyiyi na waabudu mizimu tofaoti yenu nini?
Wewe unayeamini kwenye dini iliyoanza miaka 700 baada ya Yesu kuzaliwa huwezi kuniambia kitu. Quran yenyewe iliandikwa na Wakristu kisha bedui Muhammad akapewa. Lengo ilikuwa ni kupambana na dola ya Warumi ambao walikuwa wanapambana na Ukristu
 
Vitabu vyote vya dini havijakataza au kukubali kushikana mikono. Kwenye quran ni hadith tu ndio kuna makatazo.
 
Vitabu vyote vya dini havijakataza au kukubali kushikana mikono. Kwenye quran ni hadith tu ndio kuna makatazo.
Labda kama umetoka kupigia punyeto huo mkono wa kulia bila kuuosha halafu ukasalimie Wanawake ndio inakuwa Haramu.
 
Kwahiyo nikikushika mkono nikawa na dhamiri njema moyoni, napata dhambi au sipati dhambi ?​
Wewe ni mwanamke ? Maana mimi ni mwanamme.
Mkuu kwenye jambo lililokatazwa dhamili njema maana yake nini.
Waislamu kupeana mikon na mwanamke ambae, unaweza kumuoa imekatazwa.
Mfano: Kusimama na mwanafunzi wa shule ya msingi/sekondary usiye na mahusiana ya karibu ya kindugu ni kosa, wewe unata, kutafuta Option tena, ikitokea sababu ya msingi itajulikana tu.
 
Tunamuabudu Yesu mwana wa Mungu aliyezaliwa kimiujuza na Bikira Maria. Huyo yesu mwana wa mariamu ni wa kwenu kwenye Quran

➡ Kwa hakika, wakristo na mayahudi itiqaadi zao ni kinyume kabisa na vitabu vya asili vilivyo teremshwa kwa mitume a.s wa zama hizo.

➡ Kwa nini Waseme kuwa kuna miunngu watatu au kuna Mungu mtoto?

Jee kusema hivyo si kukufuru?

Amesema ALLAAHU S.W :

(لَقَدْ كَفَرَ الَّذِينَ قَالُوا إِنَّ اللَّهَ ثَالِثُ ثَلَاثَةٍ ۘ وَمَا مِنْ إِلَٰهٍ إِلَّا إِلَٰهٌ وَاحِدٌ ۚ وَإِنْ لَمْ يَنْتَهُوا عَمَّا يَقُولُونَ لَيَمَسَّنَّ الَّذِينَ كَفَرُوا مِنْهُمْ عَذَابٌ أَلِيمٌ)
[Surat Al-Maeda 73]

Kwa hakika wamekufuru walio sema: Mwenyezi Mungu ni wa tatu wa Utatu. Hali hakuna mungu ila Mungu Mmoja. Na ikiwa hawaachi hayo wanayo yasema, kwa yakini itawakamata adhabu chungu wale wanao kufuru.
 
Sasa shosty, huyo daktari anapokutibu atakugusa kwa miguu au mikono ?​
Alafu vitu vingine ni vya kuchanga akili na kupata majibu yaliyo sahihi.
Wakati wa dharula kuna vitu, vilivyokatazwa, na kwenye mazingira ya kawaida ni aibu.
Mfano: kuwa uchi mbele ya mwanamke/mwanamme usie na uhusiano nae wakimapenzi.
Ila kuna mazingira hamna tatizo.

Hospitali doctor, Mwanamme ama mwanamke huwahudumia wateja, wa jinsi tofauti na wao, mara nyingine Wakiwa Uchi wa mnyama, hasa kwenye Operation, na matibabu mengine na mgonjwa hushikwa popote na Doctor.

Kwa mazingara hayo zambi inatoka wapi.
 
Quran ina miaka 1300, Biblia ina miaka 2000. Tumia akili tu utatambua nani muongo
 
Quran ina miaka 1300, Biblia ina miaka 2000. Tumia akili tu utatambua nani muongo
CCM, umri mkubwa kuliko CHADEMA NA VIAMA VINGENE VYA SIASA, LAKINI CHADEMA INAIKOSOA SERIKALI YA CCM.
HIVYO YEYOTE ANAWEZA KUWA MUONGO BILA KUJALI UMRI.
 
Ila kula ugali uliosongwa na mikono jinsia tofauti hewalaa
Ila waarabu Kama Kuna kitu wamefanikiwa ni ku brainwash Watu. Huyu mtu pengine anajifanya hataki kusalimiana na wanawake hadharani Ila huko faragha anayofanya ni huzuni tupu.
 
Uzombi tu... Tuambie amefanya jitihada gani kutatua kero za jamii hususan changmoto wanazopitia sio hizi hadithi za kitabu kilichoandikwa na mwarabu huko jangwani.
 
Juzi tu kwenye mazishi ya Alhaj Ali H Mwinyi kama uliangalia, wanaume walikuwa wakiwapa mikono wafiwa wanaume wenzao...wakifika kwa wanawake wanajishika kwenye vifua kuonesha km kutoa Pole. No handshakes
Ni unafiki tu. Hao maustadhi ndio unakuta mabingwa wa kuwaingilia wake zao kinyume na maumbile halafu hadharani hawataki kugusa mkono wa mwanamke
 
Mijamaa ipo deep sana kwenye ngono!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…