Mshangazi dot com
JF-Expert Member
- Nov 19, 2011
- 1,345
- 3,503
- Thread starter
-
- #41
🤣 🤣 🤣Ilinikuta kipindi nipo mjamzito nimekaa usiku hamu ya kula nyama ikanijia. Yaani nilikuwa napata shida hakuna kinachofanyika zaidi ya kuwaza nyama tuu. Nilijihisi kama napungukiwa na kitu mwilini.
Ilibidi mdogo wangu wa kiume aamke saa 4 usiku achinje kuku tukaanza kupika. Baada ya kuiva nilipoonja tuu nilijisikia ahueni mno kama nimetua mzigo mkubwa sana.
Kumekucha sasa,udongo,Mna mimba nyiieKwa kweli mi hata nikitamani udongo....nitakesha nitafute popote ulipo mpaka niupate
Niletee dume na jike niwafuge, muhimu wawe ni wale wa poriniFuga 😅
Unapata na chai yetu ya afu 5000 palee Schiphol, if know what I mean na umbua yamoto moto 🤣🤣Imeshawahi kukutokea umepata hamu ya kula chakula flani na huwezi kutulia mpaka ukipate? Imenitokea leo, usiku huu nimeanza kupika vitumbua vya nazi na iliki maana sijisikii kula kitu chochote zaidi ya hivi vitumbua.
View attachment 3228161
Vipi ulishawahi kupata hamu kama hii? na ulikula nini kuituliza?
Njooni!
nakwede97 ⋆ Aaliyyah
Leejay49 ⋆
Sister Abigail ⋆
realMamy ⋆ Qashy Lilith⋆ To yeye
Msweet ⋆ Chujio
ledada ⋆ Carleen
Numbisa ⋆ Mama Mwana
SweetyCandy ⋆ Ellerie Bexley
Hebu niache nisahau yale machungu jamani 😅Unapata na chai yetu ya afu 5000 palee Schiphol, if know what I mean na umbua yamoto moto 🤣🤣
Hebu mwambie boda alete vinne na mimi namrudisha kifuta jasho 😅Hebu niache nisahau yale machungu jamani 😅
Miaka mitano sasa,huyo mtoto bado tu?Kumekucha sasa,udongo,Mna mimba nyiie
Yani nikupe vitumbua vyangu bure bure tu?Hebu mwambie boda alete vinne na mimi namrudisha kifuta jasho 😅
Unga umeumua saa ngapi?!Imeshawahi kukutokea umepata hamu ya kula chakula flani na huwezi kutulia mpaka ukipate? Imenitokea leo, usiku huu nimeanza kupika vitumbua vya nazi na iliki maana sijisikii kula kitu chochote zaidi ya hivi vitumbua.
View attachment 3228161
Vipi ulishawahi kupata hamu kama hii? na ulikula nini kuituliza?
Njooni!
nakwede97 ⋆ Aaliyyah
Leejay49 ⋆
Sister Abigail ⋆
realMamy ⋆ Qashy Lilith⋆ To yeye
Msweet ⋆ Chujio
ledada ⋆ Carleen
Numbisa ⋆ Mama Mwana
SweetyCandy ⋆ Ellerie Bexley
Unga umeumua saa ngapi?!Imeshawahi kukutokea umepata hamu ya kula chakula flani na huwezi kutulia mpaka ukipate? Imenitokea leo, usiku huu nimeanza kupika vitumbua vya nazi na iliki maana sijisikii kula kitu chochote zaidi ya hivi vitumbua.
View attachment 3228161
Vipi ulishawahi kupata hamu kama hii? na ulikula nini kuituliza?
Njooni!
nakwede97 ⋆ Aaliyyah
Leejay49 ⋆
Sister Abigail ⋆
realMamy ⋆ Qashy Lilith⋆ To yeye
Msweet ⋆ Chujio
ledada ⋆ Carleen
Numbisa ⋆ Mama Mwana
SweetyCandy ⋆ Ellerie Bexley
Miaka mitano sasa,huyo mtoto bado tu?
🤣🤣Hawa wawili wananitosha mkuuMaandalizi hayo
Baaasi....kwishaaaa...umemaliza!Utakuwa una mimba changa
Sio ice-cream 🍦 yangu?! 😂 😂Mie huwa napata cravings za ice cream tu.
Piga Hart trick bibie🤣🤣Hawa wawili wananitosha mkuu
Lisaa na nusu 🙈Unga umeumua saa ngapi?!
Uchumi mkuu,nisijetesa wanangu🤣🥴Piga Hart trick bibie
Yeah for sure,usije warudisha Kayumba kama Mzee LIKUDUchumi mkuu,nisijetesa wanangu🤣🥴
R and L spelling is a big issue among usKama wewe hujawahi kuishi na vibinti vya Tanga pole yako umepitwa na vingi mkuu.