Hamu ya kula isiyozuilika

🤣 🤣 🤣
Daah umenikumbusha mambo ya ujauzito, nilikua napenda ndizi za kuoka zile wanazouza kwenye bar za nyama choma. Tulishawahi kwenda kuzitafuta saa tano usiku for two hours mpaka tukazipata maana kulala ilishindikana 🤣🤣🤣
 
Unapata na chai yetu ya afu 5000 palee Schiphol, if know what I mean na umbua yamoto moto 🤣🤣
 
Unga umeumua saa ngapi?!
 
Unga umeumua saa ngapi?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…