Hamu ya kula isiyozuilika

Hamu ya kula isiyozuilika

Ilinikuta kipindi nipo mjamzito nimekaa usiku hamu ya kula nyama ikanijia. Yaani nilikuwa napata shida hakuna kinachofanyika zaidi ya kuwaza nyama tuu. Nilijihisi kama napungukiwa na kitu mwilini.

Ilibidi mdogo wangu wa kiume aamke saa 4 usiku achinje kuku tukaanza kupika. Baada ya kuiva nilipoonja tuu nilijisikia ahueni mno kama nimetua mzigo mkubwa sana.
🤣 🤣 🤣
Daah umenikumbusha mambo ya ujauzito, nilikua napenda ndizi za kuoka zile wanazouza kwenye bar za nyama choma. Tulishawahi kwenda kuzitafuta saa tano usiku for two hours mpaka tukazipata maana kulala ilishindikana 🤣🤣🤣
 
Imeshawahi kukutokea umepata hamu ya kula chakula flani na huwezi kutulia mpaka ukipate? Imenitokea leo, usiku huu nimeanza kupika vitumbua vya nazi na iliki maana sijisikii kula kitu chochote zaidi ya hivi vitumbua.

View attachment 3228161

Vipi ulishawahi kupata hamu kama hii? na ulikula nini kuituliza?



Njooni!

nakwede97Aaliyyah
Leejay49
Sister Abigail
realMamyQashy Lilith
To yeye
Msweet
Chujio
ledada Carleen
Numbisa
Mama Mwana
SweetyCandy Ellerie Bexley
Unapata na chai yetu ya afu 5000 palee Schiphol, if know what I mean na umbua yamoto moto 🤣🤣
 
Imeshawahi kukutokea umepata hamu ya kula chakula flani na huwezi kutulia mpaka ukipate? Imenitokea leo, usiku huu nimeanza kupika vitumbua vya nazi na iliki maana sijisikii kula kitu chochote zaidi ya hivi vitumbua.

View attachment 3228161

Vipi ulishawahi kupata hamu kama hii? na ulikula nini kuituliza?



Njooni!

nakwede97Aaliyyah
Leejay49
Sister Abigail
realMamyQashy Lilith
To yeye
Msweet
Chujio
ledada Carleen
Numbisa
Mama Mwana
SweetyCandy Ellerie Bexley
Unga umeumua saa ngapi?!
 
Imeshawahi kukutokea umepata hamu ya kula chakula flani na huwezi kutulia mpaka ukipate? Imenitokea leo, usiku huu nimeanza kupika vitumbua vya nazi na iliki maana sijisikii kula kitu chochote zaidi ya hivi vitumbua.

View attachment 3228161

Vipi ulishawahi kupata hamu kama hii? na ulikula nini kuituliza?



Njooni!

nakwede97Aaliyyah
Leejay49
Sister Abigail
realMamyQashy Lilith
To yeye
Msweet
Chujio
ledada Carleen
Numbisa
Mama Mwana
SweetyCandy Ellerie Bexley
Unga umeumua saa ngapi?!
 
Back
Top Bottom