jerryempire
JF-Expert Member
- Jan 4, 2017
- 5,530
- 9,550
basi huo uthubutu hata wewe unaweza kuupata endapo jambazi ameingia kwako na kubaka mkeo au mwanao huku ukishuudia alafu ukapata chance ya kupata hyo smgHiyo ya askari naijua ukiwa pori moral unapewa hadi unafurahia unachofanya
Vipi kuhusu shabaha mkuu alijifunzia palepela salenderWatu wote aliowapiga walishtukizwa.
Ile ilikuwa silaha gani alotumia kurushiana na polisi wetu? Kwamba ni gobole lile?? Nimekudharau ghafla nisamehe bureKwanza hiyo siyo silaha ya kivita
Pili kama unataka kununua silaha unapata na mafunzo ya jinsi ya kutumia vile vile mtu yoyote anaweza kukufundisha
Ahsante mkuu kwa ufafanuziNdugu juzi kuamkia jana wamekabidhiwa mwili wakazike
Kwa uzoefu nilionao na huko nilikopitia hadi hapa nilipo kwa sasa yule bwana mafunzo alionayo ki mbinu za medani sio za nchi hii nakuambia na wengi najua watanibishia.Hapo ni uthubutu hamza ameweza.....
na amekipata alichostahili
Ufipa watakwambia YouTube ndiyo kila kitu.
Sasa ndugu kama sina mafunzo yoyote unipe hiyo smg si nitaibeba kama shoka tuu?silaha yenyewe kama huijui ukiisogelea tuu unajiskia wogabasi huo uthubutu hata wewe unaweza kuupata endapo jambazi ameingia kwako na kubaka mkeo au mwanao huku ukishuudia alafu ukapata chance ya kupata hyo smg
Shabaha kwa mtu uliyenaye urefu wa mita 2 au 10?Vipi kuhusu shabaha mkuu alijifunzia palepela salender
Kada huyo wa CCM si huwa wanawapa mafunzo! Ila Siro kamwita mtu wa ovyo, kweli angekuwa wa ovyo angeweza kweli kumiliki silaha kivile. Na ile bastola nani kamilikisha kijana wa Ovyo? hapa kuna kitu kinafunikwa. Majibu ya kamanda Siro nikayasikia lazima niyageuze upande wa pili na kuyadadavua.......... yaani yapo kisiasa zaidiuthubutu unategemea na nini ulichofanyiwa ndo maana hata askari kama wakienda mission/kutumia silaha hupewa maneno ya sumu/munkari/mori so akiingia huko amna salia mtume so hatujui upande wa hamza ulikuwaje
Kwa uzoefu nilionao na huko nilikopitia hadi hapa nilipo kwa sasa yule bwana mafunzo alionayo ki mbinu za medani sio za nchi hii nakuambia na wengi najua watanibishia.
inategemea na tukio lililokupata mzee,na kama ni mtu wa movie lazma utakuwa na ideaSasa ndugu kama sina mafunzo yoyote unipe hiyo smg si nitaibeba kama shoka tuu?silaha yenyewe kama huijui ukiisogelea tuu unajiskia woga
Hapa ndio pa kufanyia uchunguzi hizo likizo akienda huko nje alikuwa anaenda wapi na kufanya nini.Nadhani likizo zake alizitumia na alshabaab
Hili naungana na weweHamza alikua na extensive knowledge and skills za kutumia hizo military style ruffles.
Ukiangalia jinsi alvyokua anazishikilia, anazitumia, yule ana mafunzo ya juu yautumiaji wa siraha, hasa defensive and offensive firing techniques, tena advanced, military style.
Angalia alipokua kwenye kale kakibanda pale ubalozini anarushiana na yule jamaa risasi. Alikua anapiga risasi comfortably kabisa.
Kutumia siraha kubwa lazima uwe na mafunzo.
Jiwe gizani.Kama una kili kidogo zaidi ya ile ya kuku, utajifunza kila kitu You tube. Hata kuchemsha yai ipo.