Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanakwambia eti you tube[emoji28],anapiga akiwa wima,akiinama,akiwa upande upande,na shaba inatoka murua kabisa.Hamza alikua na extensive knowledge and skills za kutumia hizo military style ruffles.
Ukiangalia jinsi alvyokua anazishikilia, anazitumia, yule ana mafunzo ya juu yautumiaji wa siraha, hasa defensive and offensive firing techniques, tena advanced, military style.
Angalia alipokua kwenye kale kakibanda pale ubalozini anarushiana na yule jamaa risasi. Alikua anapiga risasi comfortably kabisa.
Kutumia siraha kubwa lazima uwe na mafunzo.
Ndiyo.Sawa siku kitu live ndo mimavi inachungulia.kwani hao wanaocheza gemu la kukimbiza magari ina maana siku umpe gari aingie nalo road ndo ataendesha si ndio???
Eheeee ndio hapa sasa nataka kujua itakuwa ni wapi maana kama ni bastola mafuzo yake sio makali ni sekunde tuu na masharti kidogo basiKwakuwa alikuwa anamiliki bastola ,tunaimani alipata mafunzo ya kutumia silaha kutoka authorized entity na pia inaonekana alijiongeza kwenye kufahamu matumizi ya silaha nyingine.
Shida inakuja kwamba binafsi sijasikia tukio la muislamu kuuawa na askari chini ya Siro. Sana sana tumeona mashehe wa uamsho wameachiwa.kwa nini aseme Sirro anauwa waislamu. Wewe ukionewa wakati wa kulipiza kisasi, unaweza pindisha maneno? Hamza angesema Sirro kwanini mnanionea.. Unajua ukiwa na hasira kiwango kile hakuna kuficha siri wala kutumia misamiati.
Pamoja na hilo ila bado kuna namna sii burekwa nini aseme Sirro anauwa waislamu. Wewe ukionewa wakati wa kulipiza kisasi, unaweza pindisha maneno? Hamza angesema Sirro kwanini mnanionea.. Unajua ukiwa na hasira kiwango kile hakuna kuficha siri wala kutumia misamiati.
Ukiangalia ule utumiaji wa silaha na jinsi alivyoishikia pale begani na namna alivyokuwa ana piga na kujilinda kama unajua au uliwahi pitia huko yule jamaa anaonekana ni mtaalam kweli kweli.
Na silaha kama silaha kama hujawahi jifunza kuitumia, risasi moja ukipiga silaha inakupeleka/kukuvuta eidha kulia au kushoto wakati mwingine inakuangusha au kuchoropoka mikononi, lakini Hamza kwa utaalaam wa ushikaji tena madhubuti utembeaji na upigaji kwa kweli yule alikuwa sio mwalimu tuu ni sniper kabisa Je? Atakuwa haya mafunzo alijifunzia /kufundishiwa wapi?
Nilichogundua humu Jf Kila kitu kitakacholetwa huku watu tunakijibu kisiasa tu. Watu wanajitoa ufahamu wakifiri wanamkomoa mtu Ila itafika wakati tutafikiri vizuri Kutoka na Hali itakayokuwepoSawa hata mimi mtandaoni naweza lakini sio kuingia nayo front nianze kurushiana marisasi kiasi kile
MISRI, mkome kuchokoza watoto wa kiislamu.Ukiangalia ule utumiaji wa silaha na jinsi alivyoishikia pale begani na namna alivyokuwa ana piga na kujilinda kama unajua au uliwahi pitia huko yule jamaa anaonekana ni mtaalam kweli kweli.
Na silaha kama silaha kama hujawahi jifunza kuitumia, risasi moja ukipiga silaha inakupeleka/kukuvuta eidha kulia au kushoto wakati mwingine inakuangusha au kuchoropoka mikononi, lakini Hamza kwa utaalaam wa ushikaji tena madhubuti utembeaji na upigaji kwa kweli yule alikuwa sio mwalimu tuu ni sniper kabisa Je? Atakuwa haya mafunzo alijifunzia /kufundishiwa wapi?
Lakini hawa jamaa wakitakaga zao hudai binadamu wote ni waislamu, hata Yesu wanasema ni mwislamu, yaani nabii Issa na wafuasi wake hivyo kama hivyo,... umenipata. Wanataka kulianzisha wamelianzisha....Shida inakuja kwamba binafsi sijasikia tukio la muislamu kuuawa na askari chini ya Siro. Sana sana tumeona mashehe wa uamsho wameachiwa.
Au Akwilina alikua muislamu?
Kweli kabisa tatizo wanajibu alimradi aonekane alikuwa on lineNilichogundua humu Jf Kila kitu kitakacholetwa huku watu tunakijibu kisiasa tu. Watu wanajitoa ufahamu wakifiri wanamkomoa mtu Ila itafika wakati tutafikiri vizuri Kutoka na Hali itakayokuwepo
Sijasema kajifunzia youtube.Kwa hiyo hamza nae alijifunzia you tube