Hamza atakuwa alijifunzia wapi ile silaha ya kivita?

Hamza atakuwa alijifunzia wapi ile silaha ya kivita?

Hamza alikua na extensive knowledge and skills za kutumia hizo military style ruffles.

Ukiangalia jinsi alvyokua anazishikilia, anazitumia, yule ana mafunzo ya juu yautumiaji wa siraha, hasa defensive and offensive firing techniques, tena advanced, military style.

Angalia alipokua kwenye kale kakibanda pale ubalozini anarushiana na yule jamaa risasi. Alikua anapiga risasi comfortably kabisa.

Kutumia siraha kubwa lazima uwe na mafunzo.
Wanakwambia eti you tube[emoji28],anapiga akiwa wima,akiinama,akiwa upande upande,na shaba inatoka murua kabisa.

Anakamata bunduki na movement kama US navy forces,wanakwambia you tube!

Hata kama alikuwa mwema ,yale mafunzo aliyapata wapi? Na kwa lengo gani?

Yule askari pale kibandani ni bahati tu ilimfanya awe hai.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwakuwa alikuwa anamiliki bastola ,tunaimani alipata mafunzo ya kutumia silaha kutoka authorized entity na pia inaonekana alijiongeza kwenye kufahamu matumizi ya silaha nyingine.
Eheeee ndio hapa sasa nataka kujua itakuwa ni wapi maana kama ni bastola mafuzo yake sio makali ni sekunde tuu na masharti kidogo basi
 
kwa nini aseme Sirro anauwa waislamu. Wewe ukionewa wakati wa kulipiza kisasi, unaweza pindisha maneno? Hamza angesema Sirro kwanini mnanionea.. Unajua ukiwa na hasira kiwango kile hakuna kuficha siri wala kutumia misamiati.
Shida inakuja kwamba binafsi sijasikia tukio la muislamu kuuawa na askari chini ya Siro. Sana sana tumeona mashehe wa uamsho wameachiwa.

Au Akwilina alikua muislamu?
 
kwa nini aseme Sirro anauwa waislamu. Wewe ukionewa wakati wa kulipiza kisasi, unaweza pindisha maneno? Hamza angesema Sirro kwanini mnanionea.. Unajua ukiwa na hasira kiwango kile hakuna kuficha siri wala kutumia misamiati.
Pamoja na hilo ila bado kuna namna sii bure
 
Ukiangalia ule utumiaji wa silaha na jinsi alivyoishikia pale begani na namna alivyokuwa ana piga na kujilinda kama unajua au uliwahi pitia huko yule jamaa anaonekana ni mtaalam kweli kweli.

Na silaha kama silaha kama hujawahi jifunza kuitumia, risasi moja ukipiga silaha inakupeleka/kukuvuta eidha kulia au kushoto wakati mwingine inakuangusha au kuchoropoka mikononi, lakini Hamza kwa utaalaam wa ushikaji tena madhubuti utembeaji na upigaji kwa kweli yule alikuwa sio mwalimu tuu ni sniper kabisa Je? Atakuwa haya mafunzo alijifunzia /kufundishiwa wapi?

Zaidi sana shabaha.

Aliuwa 4 watatu wakiwa polisi 1 akiwa mtu aliyetaka kumletea hizo hizo.

Alijeruhi wengine 6 wote polisi.

Hamza katika kulipiza kisasi alidhamiria hasa. Watakuwa walikuwa wamemgusa pabaya.
 
Sawa hata mimi mtandaoni naweza lakini sio kuingia nayo front nianze kurushiana marisasi kiasi kile
Nilichogundua humu Jf Kila kitu kitakacholetwa huku watu tunakijibu kisiasa tu. Watu wanajitoa ufahamu wakifiri wanamkomoa mtu Ila itafika wakati tutafikiri vizuri Kutoka na Hali itakayokuwepo
 
Ukiangalia ule utumiaji wa silaha na jinsi alivyoishikia pale begani na namna alivyokuwa ana piga na kujilinda kama unajua au uliwahi pitia huko yule jamaa anaonekana ni mtaalam kweli kweli.

Na silaha kama silaha kama hujawahi jifunza kuitumia, risasi moja ukipiga silaha inakupeleka/kukuvuta eidha kulia au kushoto wakati mwingine inakuangusha au kuchoropoka mikononi, lakini Hamza kwa utaalaam wa ushikaji tena madhubuti utembeaji na upigaji kwa kweli yule alikuwa sio mwalimu tuu ni sniper kabisa Je? Atakuwa haya mafunzo alijifunzia /kufundishiwa wapi?
MISRI, mkome kuchokoza watoto wa kiislamu.
 
Shida inakuja kwamba binafsi sijasikia tukio la muislamu kuuawa na askari chini ya Siro. Sana sana tumeona mashehe wa uamsho wameachiwa.

Au Akwilina alikua muislamu?
Lakini hawa jamaa wakitakaga zao hudai binadamu wote ni waislamu, hata Yesu wanasema ni mwislamu, yaani nabii Issa na wafuasi wake hivyo kama hivyo,... umenipata. Wanataka kulianzisha wamelianzisha....
Hakuna nguvu ya kijeshi yoyote hapa Tz ya kutetea uonevu wa akina Sirro na ccm yao. No way!!
 
Zaidi sana shabaha.

Aliuwa 4 watatu wakiwa polisi 1 akiwa mtu aliyetaka kumletea hizo hizo.

Alijeruhi wengine 6 wote polisi.

Hamza katika kulipiza kisasi alidhamiria hasa. Watakuwa walikuwa wamemgusa pabaya.
Kwa kweli
 
Nilichogundua humu Jf Kila kitu kitakacholetwa huku watu tunakijibu kisiasa tu. Watu wanajitoa ufahamu wakifiri wanamkomoa mtu Ila itafika wakati tutafikiri vizuri Kutoka na Hali itakayokuwepo
Kweli kabisa tatizo wanajibu alimradi aonekane alikuwa on line
 
Kwa hiyo hamza nae alijifunzia you tube
Sijasema kajifunzia youtube.

Ila youtube unakuta hayo mafunzo.

Katika tukio la Boston bombing culprit alitumia pressure cook kutengeneza bomu na maelekezo ya kutengeneza bomu yapo online na ndipo alipoyatoa.

Kwa USA kuna vitu ukisearch hautakaa muda mrefu utakuja kugongewa na wanausalama.

Wazee wangu information is out there at our finger tips. Kuna video nimeisearch youtube inalekeza jinsi ya kutumia silaha ukiwa wima, au unatembea.

So taarifa zipo. Mahitaji ni silaha na willingness ya kujifunza.
 
mbona hata Osama ailikuwa mpole sana! upole unasaidia nn. upole sio kipimo sahihi kwa mtu na watu. ukiwa mtu wa story kumbe ni dalali ya kuwa gaidi.........kuishi bongo raha sana
 
Shida inakuja kwamba binafsi sijasikia tukio la muislamu kuuawa na askari chini ya Siro. Sana sana tumeona mashehe wa uamsho wameachiwa.

Au Akwilina alikua muislamu?
Hapo chacha
 
Back
Top Bottom