Nitakubishia hadi mwisho kwenye silaha asikudanganye mtu silaha sio sio manati eti hata kama hujawai winda ukipewa ujua hapa ni kwa jiwe hapa ni kwa kushika na mkonoinategemea na tukio lililokupata mzee,na kama ni mtu wa movie lazma utakuwa na idea
Sawa siku kitu live ndo mimavi inachungulia.kwani hao wanaocheza gemu la kukimbiza magari ina maana siku umpe gari aingie nalo road ndo ataendesha si ndio???Ukicheza GTA V au Youtube unaweza kula kozi vizuri tu.
Shida itakua pa kuipata hiyo silaha
KabisaHapa ndio pa kufanyia uchunguzi hizo likizo akienda huko nje alikuwa anaenda wapi na kufanya nini.
Hii agenda ya kusikiliza majirani eti marehemu alikuwa mstaarabu mara mpole mara mto misaada hizo waweke pembeni kwanza
Sawa kabisa waanzie hapoKabisa
Mimi kwa uelewa wangu mdogo kabisa nadhani hata ile ni part and parcel ya a grand plan that's going to happen.
Pengine waliomtuma walitaka kujua:
1. Responding time ya police
2. He Kuna kikosi maalum Cha kupambana na issue Kama ile?
3. Formation ya Askari wetu: je watajipangaje?
4. Snipers. He Hawa watu Wana snipers wa maana na tishio?
5. How safe is mtaa wenye maofisi muhimu Kama ule? Maubalozi...... Je Kama pale ni vile. Mbagala itakuaje?
6. Je jeshi linaingiliaga?
Mambo mengi muda mchache ....
Nadhani hili tukio lisipuuzwe. Pamoja na dhuluma inayoongelewa lakini lazima machale yananiambia Hamza is part of something.
Kwa maelezo ya jamaa zake wanadai alionewaKwa maneno aliyoongea Hamza kuna kila dalili ya kukwepesha jambo lisielekee huko lilipoelekea, mana watatokea hao anaowaita wa ovyo kibao. Lakini turudi nyuma kidogo tudodose, Je kuna mtu aliyeuliwa kwa makosa au kuonewa na hawa polisi? Ambaye Hamza anaona kaonewa??
Sirro amepanic utadhani watu hatuwajui polisi walivyo watu wa hovyoKada huyo wa CCM si huwa wanawapa mafunzo! Ila Siro kamwita mtu wa ovyo, kweli angekuwa wa ovyo angeweza kweli kumiliki silaha kivile. Na ile bastola nani kamilikisha kijana wa Ovyo? hapa kuna kitu kinafunikwa. Majibu ya kamanda Siro nikayasikia lazima niyageuze upande wa pili na kuyadadavua.......... yaani yapo kisiasa zaidi
Hamza ni greenguard kwahiyo mafunzo kayapata chamani chini ya ccmUkiangalia ule utumiaji wa silaha na jinsi alivyoishikia pale begani na namna alivyokuwa ana piga na kujilinda kama unajua au uliwahi pitia huko yule jamaa anaonekana ni mtaalam kweli kweli.
Na silaha kama silaha kama hujawai jifunza kuitumia risasi moja ukipiga silaha inakupeleka/kukuvuta eidha kulia au kushoto wakati mwingine inakuangusha au kuchoropoko mikononi,lakini hamza kwa utaalaam wa ushikaji tena madhubuti utembeaji na upigaji kwa kweli yule alikuwa sio mwalimu tuu ni sniper kabisa je?atakuwa haya mafunzo alijifunzia /kufundishiwa wapi?
Wewe ndio miongoni mwa walionielewa.All in All Hamza sio mgeni wa hiyo mijegejo ndio maana aliweza kuimudu vizuri ,nakataa kama alijifunzia youtube ila alifanyia practical pia ndio maana hata alivokuwa anapiga risasi hatujaona ikimyumbisha kwa ugeni wa kutumia silaha,alimudu vyema.
Waulize CCM maana alikua Uvccm mmoja tegemeo sanaUkiangalia ule utumiaji wa silaha na jinsi alivyoishikia pale begani na namna alivyokuwa ana piga na kujilinda kama unajua au uliwahi pitia huko yule jamaa anaonekana ni mtaalam kweli kweli.
Na silaha kama silaha kama hujawahi jifunza kuitumia, risasi moja ukipiga silaha inakupeleka/kukuvuta eidha kulia au kushoto wakati mwingine inakuangusha au kuchoropoka mikononi, lakini Hamza kwa utaalaam wa ushikaji tena madhubuti utembeaji na upigaji kwa kweli yule alikuwa sio mwalimu tuu ni sniper kabisa Je? Atakuwa haya mafunzo alijifunzia /kufundishiwa wapi?
kwa nini aseme Sirro anauwa waislamu. Wewe ukionewa wakati wa kulipiza kisasi, unaweza pindisha maneno? Hamza angesema Sirro kwanini mnanionea.. Unajua ukiwa na hasira kiwango kile hakuna kuficha siri wala kutumia misamiati.Kwa maelezo ya jamaa zake wanadai alionewa
Wewe ndio miongoni mwa walionielewa.
Ndio tujiulize ule ukakamavu kiasi kile alifunzwa wapi