Hamza atakuwa alijifunzia wapi ile silaha ya kivita?

Green guide ndo mafunzo yao hayo.
 
Ni gaidi kama magaidi wengine
 
Hahahah umejibu vizuri kabisa mkuu sasa mtua anashangaaje mwanaume mtu mzima kutumia bunduki tena ukute huyu mtu na jkt amepitia ila anaona bunduki kitu special
[emoji23]
 
Yani unauliza gaidi kajifunzia wapi silaha? Kajaribu wewe kupora na hauna mafunzo yoyote inaweza hata kukushnda kufyatua risasi ukaibeba Kama rungu
Na mwsho utavuna ulicho kipanda Kama Hamza alivyo vuna mazao yake
Nani kakuambia ni gaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…