Hamza Mohamed Hassan azikwa makaburi ya Kisutu, Dar. Mazishi yachelewa kutoa risasi zilizokwama mwilini

Ni kazi ngumu kutuaminisha kwamba kumpigania Allah basi lazima uue polisi


Twambieni kwanini Hamza aliamua kuua Polisi oeke yake?
 
Ni kazi ngumu kutuaminisha kwamba kumpigania Allah basi lazima uue polisi


Twambieni kwanini Hamza aliamua kuua Polisi oeke yake?
Hata wale magaidi wa kibiti, wale walivamia kituo cha polisi huko mbagala na kuua polisi, wale walivamia bank na kuua polisi peke yake na wale walioua askari 8 wote Modus operandi yao ni moja, kuua polisi.

Ama wale hawakua magaidi kisa waliua polisi peke yake?
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ile yake kiboko, eti ilipigwa na CCTV
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…