Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wembeee,Makinda wa maalim Mohamed mnatapatapa tu mzee wetu kashindwa kujibu hoja za mkuu Nguruvi3 hapo juu ya yye na mwapachu nani mrongo?
Mzee wetu ni mwepesi sana kwenye hoja za msingi kama zile za mkuu Nguruvi3 ndio Mahana kaenda kuwaita makinda wake waokoe jahazi lkn me namuomba majibu ya hoja za Nguruvi3 ndipo twende mbeleSasa wewe hapa unatafuta ugomvi buree,Ustaadhi Mohamed Said hana uwezo wa kujibu hoja kazoea kulisha makinda wasokuwa na uwezo wa kuchagua au chakula wanachopewa ikifika mahali watu kahoji kwa hoja nzito juu ya maandishi yake yenye utata mwanzo mwisho utimua mbio na sababu kedekede mara nilidarasisha chuo kikuu cha Lagos, akigeuka kushoto atakwambia hata Msikiti wa Manyema wanatambua kipaji chake na Sheikh Chaurembo anamtambua haya sasa na sisi tunataka kutambua uwezo wako maswali kiduchu tena kwa maandishi aliyoyaleta mwenyewe anakimbilia kwa wajukuu wa wapigania uhuru ebo kumbe huyu Ustaadhi mwepesi sana halafu anataka kumshusha Baba wa Taifa Mwl Nyerere kumlinganisha na msimamizi wa soko.
Shukran jazirah nitapita weekend in shaa AllahKolorama,
Waleikum Salaam Warahmatullah Wabarakatuh,
Kitabu kinapatikana Ibn Hazm Media Centre Bookshop
Msikiti wa Mtoro na Manyema, Soma Bookshop Mikocheni
na Novel Idea Slip Way Masaki.
Bei ya Ibn Hazmm ni 10,000 kwengineko ni 13,000.
Kolorama, nakumbuka kipindi hicho nilikuwa nafuatilia sana ingawa sikuwa mchangiaji sana nakumbuka uzi ulikuwa unaitwa uchochezi wa Mohamed Said.Mkuu Carlos ulikuwepo mnakasha mmoja mrefu sana miaka mitatu nyuma. Mkuu Nguruvi3 na hao wote anaolalamikia walikuwepo kiukweli ulikuwa ni mtanange wa nguvu mpaka Yericko alikiri kuwa si mtoto wa Nyerere. Sasa hawa nawaita waarabu wa pemba sisi tupate darsa ndo muhim
Je maalim ms umekubali kua wwe ni mzushi sababu umetoa maelezo tofauti na mwapachu kwenye issue moja ya Nyerere kutambulishwa kwa viongozi wa chama kwa mara ya kwanza?Wembeee,
Sijashindwa nimetoa majibu isipokuwa hakuridhika na majibu yangu.
Mimi siko hapa barzani kutafuta ushindi dhidi ya yeyote awae yule.
Mimi niko hapa kueleza yale ambayo wengi hamkuwa mnayajua.
Halikadhalika niko hapa na mimi nijifunze kutoka kwenu kile ambacho
mnakifahamu katika historia ya TANU.
Lakini bahati mbaya historia hii hamuijui kwa hiyo mnaniuliza maswali
na mimi najitahidi kuwajibu kadri ninavyoweza.
Sasa wewe unawaita members wenzako makinda kisa unatofautiana nao mitazamo angalia lugha yako kuwa na stara watu wakikujibu kihuni utalalamika kweli? Nguruvi mkanye kijana wako.Mzee wetu ni mwepesi sana kwenye hoja za msingi kama zile za mkuu Nguruvi3 ndio Mahana kaenda kuwaita makinda wake waokoe jahazi lkn me namuomba majibu ya hoja za Nguruvi3 ndipo twende mbele
Mkuu wembeee heshima yako. Kuniita kinda wa maalim kwangu sikwaziki Bali naona ni sifa nzuri kwani nimepata ilmu kubwa sana kupitia kwako. Ila siwezi kuwa kinda kwako kwani sina nijifunzayo toka kwako. Labda uniambie wewe ni kinda la nani?Makinda wa maalim Mohamed mnatapatapa tu mzee wetu kashindwa kujibu hoja za mkuu Nguruvi3 hapo juu ya yye na mwapachu nani mrongo?
Kolorama,Shukran jazirah nitapita weekend in shaa Allah
Mi sio kinda wa mtu yyte yule sababu natumia akili kuhoji sio kama nyie kila neno mnapanua mdomo na kumeza paspo kuchagua zipi pumba hupi mchele mwisho wa siku mnameza sumu paspo kuhojiMkuu wembeee heshima yako. Kuniita kinda wa maalim kwangu sikwaziki Bali naona ni sifa nzuri kwani nimepata ilmu kubwa sana kupitia kwako. Ila siwezi kuwa kinda kwako kwani sina nijifunzayo toka kwako. Labda uniambie wewe ni kinda la nani?
Nadhani umemjibu vyema.Mkuu wembeee heshima yako. Kuniita kinda wa maalim kwangu sikwaziki Bali naona ni sifa nzuri kwani nimepata ilmu kubwa sana kupitia kwako. Ila siwezi kuwa kinda kwako kwani sina nijifunzayo toka kwako. Labda uniambie wewe ni kinda la nani?
Nashukuru sana mwalim wangu nitavipitia in sha Allah ili nijue nijifunzeKolorama,
Ningependa usoma na kitabu cha Ali Muhsin Barwani:
Conflict and Harmony in Zanzibar kiko Ibn Hazm na
Tanzania Publishing House Samora Avenue.
Bei ni 10,000.00
Kitabu hiki ni kumbukumbu zake na kwa hakika kuna
mengi kuhusu mchango wa, Nyerere katika kuiangusha
serikali ya Sheikh Mohamed Shamte, Zanzibar 1964.
Ukivimaliza vitabu hivi viwili utajua kwa nini hali ya Zanzibar
na Tanzania Bara iko hivi iliko leo.
Wembeee,Mzee wetu ni mwepesi sana kwenye hoja za msingi kama zile za mkuu Nguruvi3 ndio Mahana kaenda kuwaita makinda wake waokoe jahazi lkn me namuomba majibu ya hoja za Nguruvi3 ndipo twende mbele
Kolorama,Nashukuru sana mwalim wangu nitavipitia in sha Allah ili nijue nijifunze
Mzee wangu samahan sana kama nimekukwazaWembeee,
Ikiwa umependzwa na maneno hayo yako sina la kukufanya.
Wembeee,Je maalim ms umekubali kua wwe ni mzushi sababu umetoa maelezo tofauti na mwapachu kwenye issue moja ya Nyerere kutambulishwa kwa viongozi wa chama kwa mara ya kwanza?
Wembeee,Mzee wangu samahan sana kama nimekukwaza
Vp, akina Marialle, role yao TANU, na uhuru wa nchi hii!
Lugha za stara kama zile unazotumia wewe? Si ndiyo maana yake?
Naona juu huko ulianza kuomba poo na kuleta porojo eti za Alama Mohamed Said kuita watu!
Mimi nnakuitia hapa Mag3, Mzee Mwanakijiji, anaejiita Yericko Nyerere, Pasco and the likes, mkusanyane wote, mjadili hii historia na Alama Mohamed Said pekee, pia hamumuwezi hata chembe. Sana sana mtaanza lugha chafu tu.
Chambilecho, humu kwani tunapewa ilmu bila hiyana na nani mwengine zaidi ya Alama Mohamed Said?
Sisi tunafyonza ilmu tu, tofauti kubwa ni kuwa hao wanaotajwa ni wazee wetu tunaowajua amma wao amma watoto zao amma wajukuu zao.
Tunasoma na kupata ilmu na entertainment hususan pale unapokuja na maswali ya kebehi, huwa tunasubiri kwa hamu unavyofundwa bila khiyana na Alama Mohamed Said.