Hamza ni kama kijana Mohamed Bouazizi wa Tunisia

Hamza ni kama kijana Mohamed Bouazizi wa Tunisia

Mkuu wewe unaweza kujimwagia petroli na kujiwasha kiberiti?

Amani ikitoweka hairudi na watu wasio na hatia ndio wataumia na mabovu yatageuka skrepa.
But luckily hicho kitu hakitatokea Tanzania.

Ni simple sana ukiwa umekaa kwenye sofa ukitype huku ukisubiri chakula cha usiku na familia yako ikiwa salama bila kusikia milio ya risasi na mabomu yakilipuka 24h kila siku.

Kuna njia sahihi na za kueleweka kudai haki na sio huu upuuzi.

Only vichwa maji ndio watafanya aina ile ya upuuzi.

maisha yaja kupiga kwa mke wako
 
Hapana kuna baadhi ya source zina sema Hamza ni Gaidi aliyejiunga na Alshababu

Hamza sio Shujaa hata kidogo.

tanzania ndio nchi ya ujinga.
inaonyesha usalama wa nchi kitengo cha TISS wanajua magaidi ni vyama pinzani.

mbona ijawahi kumtafuta
 
Aaingekufa yule kinyago wa Chato kabla ya 2025 tungekuwa tuko vitani kama kule Ethiopia
 
Kuna japo kuandika kwangu sio mzuri.

mnaokumbuka kijana watunisia aliyekuwa msomi na kuanza kutafuta kujiajili kipindi cha utawala uliokuwa unafanya watakayo, Mohamed Bouazizi baada ya kufanyiwa manyanyaso alijipiga kiberiti na kufanya vijana wote kuondoa serekali kwa maandamano kupinga kandamizi ya utawala.

nasema bila yeye serekali ya utawala mbovu isingeondoka.

View attachment 1909587

bado tunaona kwetu kwa kijana hamza !

je kuna vijana wangapi ambao wamechoka haya mambo serekali wanayo fanya kwa kutumia kukandamiza bila kutafuta kusaidia wananchi wake!

View attachment 1909590


serekali iliyopo madarakani ushauri kwangu mimi!

ifikapo 2025 mnaweza kuficha sura zenu kwa mifano tosha kuwa mjue mmechokwa !

mnanikumbusha kuna kipindi nchi ya india serekali ilikuwa inafanya maisha ya sinema hiiView attachment 1909595


ukiona tumefika level hizi za watu kujiamini japo nyengine zinafichwa kwa mambo ya kusingizia visa vengine.

hitimisho:ukiona nchi ya mwenzako ilishanyolewa kwa haya basi zako weka maji.
Kweli kabisa Mkuu.
 
Mbowe ana tuhumiwa kwa kuwa rubuni kwa fedha na kuwatumia wanajeshi walio ondolewa ktk Jeshi ktk vitendo vya Kigaidi dhidi ya Serikali.
Kitendo cha kuwa tumia waliopo au walio kuwepo ndani ya Chama au ktk Jeshi au ktk Serikali haiwezi kuhalalisha vitendo vya Kigaidi hata kidogo.
kama Mbowe aliweza kuwa rubuni hao wanajeshi walio fukuzwa kazi vipi hao wavuta bangi wengine ?!
vipi hao wafuasi wasio jitambua?!
huyu jamaa amewaharibu sana wafuasi wa Chadema kwa kuwajaza nia ovu dhidi ya serikali.
Vijana tujihadhari kutumiwa vibaya.
Mbowe inadaiwa aliwatumia hawa wanajeshi ktk kutekeleza vitendo vya kigaidi dhidi ya Serikali, vijana hao ni:
1. HALFANI BWIRE HASSANI
2. ADAM HASSANI KASEKWA
3. MOHAMEDI ABDILLAHI LINGWENYA.
tuchukue tahadhari Serikali ipo macho.
 

Someni [emoji115] huyo Hamza ni Gaidi Orijino sio wa kusingizia kama Shujaa Mwamba Mbowe.
Mbowe ana tuhumiwa kwa kuwa rubuni kwa fedha na kuwatumia wanajeshi walio ondolewa ktk Jeshi ktk vitendo vya Kigaidi dhidi ya Serikali.
Kitendo cha kuwa tumia waliopo au walio kuwepo ndani ya Chama au ktk Jeshi au ktk Serikali haiwezi kuhalalisha vitendo vya Kigaidi hata kidogo.
kama Mbowe aliweza kuwa rubuni hao wanajeshi walio fukuzwa kazi vipi hao wavuta bangi wengine ?!
vipi hao wafuasi wasio jitambua?!
huyu jamaa amewaharibu sana wafuasi wa Chadema kwa kuwajaza nia ovu dhidi ya serikali.
Vijana tujihadhari kutumiwa vibaya.
Mbowe inadaiwa aliwatumia hawa wanajeshi ktk kutekeleza vitendo vya kigaidi dhidi ya Serikali, vijana hao ni:
1. HALFANI BWIRE HASSANI
2. ADAM HASSANI KASEKWA
3. MOHAMEDI ABDILLAHI LINGWENYA.
tuchukue tahadhari Serikali ipo macho.
 
Mbowe ana tuhumiwa kwa kuwa rubuni kwa fedha na kuwatumia wanajeshi walio ondolewa ktk Jeshi ktk vitendo vya Kigaidi dhidi ya Serikali.
Kitendo cha kuwa tumia waliopo au walio kuwepo ndani ya Chama au ktk Jeshi au ktk Serikali haiwezi kuhalalisha vitendo vya Kigaidi hata kidogo.
kama Mbowe aliweza kuwa rubuni hao wanajeshi walio fukuzwa kazi vipi hao wavuta bangi wengine ?!
vipi hao wafuasi wasio jitambua?!
huyu jamaa amewaharibu sana wafuasi wa Chadema kwa kuwajaza nia ovu dhidi ya serikali.
Vijana tujihadhari kutumiwa vibaya.
Mbowe inadaiwa aliwatumia hawa wanajeshi ktk kutekeleza vitendo vya kigaidi dhidi ya Serikali, vijana hao ni:
1. HALFANI BWIRE HASSANI
2. ADAM HASSANI KASEKWA
3. MOHAMEDI ABDILLAHI LINGWENYA.
tuchukue tahadhari Serikali ipo macho.

punguza ujinga
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji116][emoji116][emoji116]
FB_IMG_16299966667502526.jpg
 
kwa nini wafuasi wa Mbowe wamefurahia sana kitendo kilicho fanywa na Hamza cha kuuwa Askari Polisi watatu ? na kuona kama kitendo hicho kilicho fanywa na Hamza dhidi ya Polisi ni cha kishujaa?!!!
 
Hata Mimi siku wakinionea natafuta mabomu sio bunduki zinachelewesha. Hamza hakufikiri sana ila alipanik
Inakuwaje mtu utafute kwa tabu waje wakupukutishe kirahisi.
Sina roho ya Tundulisu kukimbia ila kwa kweli niko radhi niwalipe hata alshababu.
Nasema mtu yeyote asijecheza na hasira yangu na kama nchi inatafuta watu wachungu na haki zao wanitafute.
Sinaga huruma za kipuuzi na mmoja kufa kuwakilisha wengi busara pia
 
kwa nini wafuasi wa Mbowe wamefurahia sana kitendo kilicho fanywa na Hamza cha kuuwa Askari Polisi watatu ? na kuona kama kitendo hicho kilicho fanywa na Hamza dhidi ya Polisi ni cha kishujaa?!!!
Jeshi letu lazima litupie macho makali kwa hawa wahuni wachache.
 
Back
Top Bottom