Panya Mabaka
JF-Expert Member
- Apr 3, 2014
- 619
- 557
Kilichomsibu ni hicho hicho kinachopigiwa kelele siku zote na yeye mwenyewe ndio alikuwa mtetezi mkuu !! Ndio uzuri wa sheria. !! Ni kama msumeno unakata mbele na nyuma !!MTANGAZAJI maarufu na Mchambuzi maarufu wa Siasa za Tanzania, Gerald Hando ameweka wazi msimamo wake kutokubaliana na utaratibu wa Serikali inavyokopa poka hovyo na kusisitiza kuwa uamuzi wa Job Ndogai kuzungumzia mikopo haukuwa mbaya na hakupaswa kujiuzulu.
"Hakuna kibaya alichokisema Ndugai mimi binafsi sipendi Serikali inavyokopa kopa hovyo wewe unapenda? hapana, Serikali inakopa sana si tunaona kila siku na wenyewe hata Rais kafafanua lakini bado nasema hivi tunakopa sana bado inaonekana hatujajikwamua, kukopa sana sio ujanja maana tutalipa tu"amesema Hando.
Hando amesisitiza kuwa mikopo nchi inayoingia lazima tutailipa na walipaji ni sisi watanzania wote yaani mimi na wewe.
"na huu ugumu wa maisha tunaopitia ni kwa sababu ya haya madeni si tunalipa?, mimi nalipa wewe unalipa kila mtu analipandio tunalalamika hali ngumu kwa sababu we have to paykwa hiyo Spika hakukosea sana kiukweli labda sijui nini kilimsibu Mzee Ndugai" amesema Hando akizungumza kwenye Kipindi cha Joto la Asubuhi leo Disemba 28, 2022.
Kalazimishwa na nani,c kajiuzulu mwenyewe,sasa ulitegemea hiyo miradi ya magufuli angeimaliza kwa fedha kutoka wapi au mlitaka imshinde kuiendeleza mpate cha kusema huyo bwana wenu magufuli alikuwa akikopa kwenye mabenki ya kibiashara kwa mariba makubwa na mlikaa kimnya.Alilazimishwa kujiuzulu
Kama unaamini uchumi ni sayansi pia unatakiwa utambue kila kauli ya kiuchumi inatakiwa itolewe baada ya utafiti au uchunguzi kufanyika.Hujui kama mikopo inaumiza wananchi tu deficit inaendelea kuwa kubwa kwa sababu nchi ina most of his revenues kulipa madeni, Naona gavana hapo katumika kisiasa tu.
Alichosema Hando sio jambo jipya limeshazungumzwa Bungeni na wabunge wataalamu wa masuala ya Fedha yeye amekumbushia tuKama unaamini uchumi ni sayansi pia unatakiwa utambue kila kauli ya kiuchumi inatakiwa itolewe baada ya utafiti au uchunguzi kufanyika.
Inakuwa ni jambo la aibu kwamba hali ya uchumi inatolewa na mtu baki ambaye hana background ya kufanya tafiti kiuchumi.
Bado ninaamini kauli zinazotolewa na wataalamu wetu ni za kweli kwa sababu zao zinakuwa documented na published na zinakuwa zinarejelewa.
Swali: Je, Hango kauli yake ipo published na documented kwa ajili ya marejeleo?
Tafakari yetu msikilize huyu mtaalamu wa uchumiKama unaamini uchumi ni sayansi pia unatakiwa utambue kila kauli ya kiuchumi inatakiwa itolewe baada ya utafiti au uchunguzi kufanyika.
Inakuwa ni jambo la aibu kwamba hali ya uchumi inatolewa na mtu baki ambaye hana background ya kufanya tafiti kiuchumi.
Bado ninaamini kauli zinazotolewa na wataalamu wetu ni za kweli kwa sababu zao zinakuwa documented na published na zinakuwa zinarejelewa.
Swali: Je, Hango kauli yake ipo published na documented kwa ajili ya marejeleo?
Wapo wengi nyuma yao ni kama moto wa kifuu unakolea kidogokidogo"Hakuna kibaya alichokisema Ndugai mimi binafsi sipendi Serikali inavyokopa kopa hovyo wewe unapenda? hapana, Serikali inakopa sana si tunaona kila siku na wenyewe hata Rais kafafanua lakini bado nasema hivi tunakopa sana bado inaonekana hatujajikwamua, kukopa sana sio ujanja maana tutalipa tu"amesema Hando.
Hando amesisitiza kuwa mikopo nchi inayoingia lazima tutailipa na walipaji ni sisi watanzania wote yaani mimi na wewe.
"na huu ugumu wa maisha tunaopitia ni kwa sababu ya haya madeni si tunalipa?, mimi nalipa wewe unalipa kila mtu analipandio tunalalamika hali ngumu kwa sababu we have to paykwa hiyo Spika hakukosea sana kiukweli labda sijui nini kilimsibu Mzee Ndugai" amesema Hando akizungumza kwenye Kipindi cha Joto la Asubuhi leo Disemba 28, 2022.
Kama unaamini uchumi ni sayansi pia unatakiwa utambue kila kauli ya kiuchumi inatakiwa itolewe baada ya utafiti au uchunguzi kufanyika.
Inakuwa ni jambo la aibu kwamba hali ya uchumi inatolewa na mtu baki ambaye hana background ya kufanya tafiti kiuchumi.
Bado ninaamini kauli zinazotolewa na wataalamu wetu ni za kweli kwa sababu zao zinakuwa documented na published na zinakuwa zinarejelewa.
Swali: Je, Hango kauli yake ipo published na documented kwa ajili ya marejeleo?
| School Name/Location | Course/Degree/Award | From | To | Level |
|---|---|---|---|---|
| University of South Africa | MDP- Business Management | 2001 | 2002 | Executive Certificate |
| Insead -France | AMP-Business Management | 1999 | 2000 | Executive Certificate |
| National Board of Accountancy and Auditors | FCPA | 1983 | 1984 | Professional Degree |
| International School of Management-France | ongoing - Doctorate in Business Administration | 2015 | 2020 | PhD |
| University of South Africa | Masters of Business Administration | 2003 | 2005 | Masters Degree |
| NSTI/St. Augustine University of Tanzania | Adavanec Diploma in Accountancy | 1980 | 1982 | Advanced Diploma |
| Dar es Salaam School of Accountancy | Certificate in Accountancy/Management | 1975 | 1976 | Certificate |
| Sangu Secondary School | CSEE | 1971 | 1974 | Secondary School |
| Utengule Usongwe Primary School | CPEE | 1964 | 1970 | Primary School |
Kina Luhaga Mpina pia walishalizungumza muda mrefu sana bungeni naye ni Msomi wa mambo ya Fedha utampinga?Alichosema Hando sio jambo jipya limeshazungumzwa Bungeni na wabunge wataalamu wa masuala ya Fedha yeye amekumbushia tu
| School Name/Location | Course/Degree/Award | From | To | Level |
|---|---|---|---|---|
| Strathclyde University, UK | Master Degree in Science in Finance | 2009 | 2010 | Masters Degree |
| Mzumbe University | Bachelor Degree in Accountancy and Finance | 2000 | 2003 | Bachelor Degree |
| Karatu Secondary School | ACSEE | 1995 | 1997 | Secondary School |
| Meatu Secondary School | CSEE | 1991 | 1994 | Secondary School |
| Mwandu Itinje Primary School | CPEE | 1983 | 1989 | Primary School |
Profile
Hon. Oran Manase Njeza
Member Type : Constituent Member
Constituent : Mbeya Vijijini
Political Party : CCM
Phone : +255784332324
P.O Box : P.O Box 3025 Mbeya
Email Address : o.njeza@bunge.go.tz
Date of Birth : 1956-08-23
Education History :
School Name/Location Course/Degree/Award From To Level University of South Africa MDP- Business Management 2001 2002 Executive Certificate Insead -France AMP-Business Management 1999 2000 Executive Certificate National Board of Accountancy and Auditors FCPA 1983 1984 Professional Degree International School of Management-France ongoing - Doctorate in Business Administration 2015 2020 PhD University of South Africa Masters of Business Administration 2003 2005 Masters Degree NSTI/St. Augustine University of Tanzania Adavanec Diploma in Accountancy 1980 1982 Advanced Diploma Dar es Salaam School of Accountancy Certificate in Accountancy/Management 1975 1976 Certificate Sangu Secondary School CSEE 1971 1974 Secondary School Utengule Usongwe Primary School CPEE 1964 1970 Primary School
Hando hakuna kipya alichozungumza.Hando umejiandaa vizuri nje ya Efm? Angalia hawakawii kumpigia simu majizo wakimshurutisha aterminate mkataba wako,
Rais anasemaje kwanza
"....kuna wakati tutaomba msamaha ...."
Hivi mtu kama Gerald Hando ni kitu gani nchi hii hadi kama nchi tuseme '' Gerald Hando kasema.......". Mleta mada upumbavu na ulofa unakusumbua. Hando is generally nothing zaidi ya mlevi flani hapa nchini ambaye pengine angepaswa kuongea zaidi na Breweries badala ya jamii pana kama hii.MTANGAZAJI maarufu na Mchambuzi maarufu wa Siasa za Tanzania, Gerald Hando ameweka wazi msimamo wake kutokubaliana na utaratibu wa Serikali inavyokopa poka hovyo na kusisitiza kuwa uamuzi wa Job Ndogai kuzungumzia mikopo haukuwa mbaya na hakupaswa kujiuzulu.
"Hakuna kibaya alichokisema Ndugai mimi binafsi sipendi Serikali inavyokopa kopa hovyo wewe unapenda? hapana, Serikali inakopa sana si tunaona kila siku na wenyewe hata Rais kafafanua lakini bado nasema hivi tunakopa sana bado inaonekana hatujajikwamua, kukopa sana sio ujanja maana tutalipa tu"amesema Hando.
Hando amesisitiza kuwa mikopo nchi inayoingia lazima tutailipa na walipaji ni sisi watanzania wote yaani mimi na wewe.
"na huu ugumu wa maisha tunaopitia ni kwa sababu ya haya madeni si tunalipa?, mimi nalipa wewe unalipa kila mtu analipandio tunalalamika hali ngumu kwa sababu we have to paykwa hiyo Spika hakukosea sana kiukweli labda sijui nini kilimsibu Mzee Ndugai" amesema Hando akizungumza kwenye Kipindi cha Joto la Asubuhi leo Disemba 28, 2022.
Tusimuhukumu Hando kwa ulevi wake tunamjadili Hando kwa kauli yake kuhusu Mikopo na alivyounga mkono hoja ya NdugaiHivi mtu kama Gerald Hando ni kitu gani nchi hii hadi kama nchi tuseme '' Gerald Hando kasema.......". Mleta mada upumbavu na ulofa unakusumbua. Hando is generally nothing zaidi ya mlevi flani hapa nchini ambaye pengine angepaswa kuongea zaidi na Breweries badala ya jamii pana kama hii.
Sijalewa chochote hapo
Maana yake serikali yake inapumulia mikopo. Nje ya mikopo hata mishahara hakuna. Kweli urais sio kupika biriani.
Anaelewa maana ya kukopa kopa hovyo?MTANGAZAJI maarufu na Mchambuzi maarufu wa Siasa za Tanzania, Gerald Hando ameweka wazi msimamo wake kutokubaliana na utaratibu wa Serikali inavyokopa poka hovyo na kusisitiza kuwa uamuzi wa Job Ndogai kuzungumzia mikopo haukuwa mbaya na hakupaswa kujiuzulu.
"Hakuna kibaya alichokisema Ndugai mimi binafsi sipendi Serikali inavyokopa kopa hovyo wewe unapenda? hapana, Serikali inakopa sana si tunaona kila siku na wenyewe hata Rais kafafanua lakini bado nasema hivi tunakopa sana bado inaonekana hatujajikwamua, kukopa sana sio ujanja maana tutalipa tu"amesema Hando.
Hando amesisitiza kuwa mikopo nchi inayoingia lazima tutailipa na walipaji ni sisi watanzania wote yaani mimi na wewe.
"na huu ugumu wa maisha tunaopitia ni kwa sababu ya haya madeni si tunalipa?, mimi nalipa wewe unalipa kila mtu analipandio tunalalamika hali ngumu kwa sababu we have to paykwa hiyo Spika hakukosea sana kiukweli labda sijui nini kilimsibu Mzee Ndugai" amesema Hando akizungumza kwenye Kipindi cha Joto la Asubuhi leo Disemba 28, 2022.