Pendaelli
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 11,050
- 31,412
Tatizo sio Magufuli na wala sio propaganda, tatizo ni sisi wananchi na umaskini kwa ujumla.
Umaskini ndio tatizo kubwa linalotukabili na tunalo pigana nalo, huo umaskini umeleta pia uvivu na uzito katika kupigana nao, kiasi cha kutegemea aje mtu fulani atusaidie kupigana na umaskini.
Ndipo anapokuja mwanasiasa kwa engo ile ile ya kupigana umaskini unaotukabili.
Huyo mwanasiasa nae kwa sababu ya umaskini amekua akiutumia umaskini kuwaaminisha wananchi kwamba yeye ndie pekee anaeweza kuwaondoa kwenye umaskini, badala yake anafanya wengi wawe maskini ili aungwe mkono na watu wengi.
Tokea uongozi wa mwalimu Nyerere mapaka huu wa samia ni mapambano tu dhidi ya umaskini, badala ya hata huo umaskini kupungu ndio unazidi kuongezeka na kuwa mbaya zaidi maana umeenda mpaka umaskini wa fikra na akili.
Umaskini huo huo ndio unamuona Samia ni bora kuliko Magufuli, na ndio huo huo ulimuona Magufuli ni bora kuliko Kikwete, na huo ulimuona Kikwete ni bora kuliko mwinyi na kwa mwalimu Nyerere pia dhidi ya mwinyi.
Na huo huo umaskini ndio utakao kuja kufanya samia aonekane hakufanya kitu dhidi ya mwandamizi wake.
Yote ya yote katika mapambano dhidi ya umaskini kwa nyakati zetu hizi magu6 alikua na heri kwa kiasi chake.
Kwa vile yeye aliku mwanadamu, na mwanadamu hana ukamilifu wowote isipokua Mungu na ndio maana yanakutwa makosa kwake, ajaliwe pumziko la amani milele.
Umaskini ndio tatizo kubwa linalotukabili na tunalo pigana nalo, huo umaskini umeleta pia uvivu na uzito katika kupigana nao, kiasi cha kutegemea aje mtu fulani atusaidie kupigana na umaskini.
Ndipo anapokuja mwanasiasa kwa engo ile ile ya kupigana umaskini unaotukabili.
Huyo mwanasiasa nae kwa sababu ya umaskini amekua akiutumia umaskini kuwaaminisha wananchi kwamba yeye ndie pekee anaeweza kuwaondoa kwenye umaskini, badala yake anafanya wengi wawe maskini ili aungwe mkono na watu wengi.
Tokea uongozi wa mwalimu Nyerere mapaka huu wa samia ni mapambano tu dhidi ya umaskini, badala ya hata huo umaskini kupungu ndio unazidi kuongezeka na kuwa mbaya zaidi maana umeenda mpaka umaskini wa fikra na akili.
Umaskini huo huo ndio unamuona Samia ni bora kuliko Magufuli, na ndio huo huo ulimuona Magufuli ni bora kuliko Kikwete, na huo ulimuona Kikwete ni bora kuliko mwinyi na kwa mwalimu Nyerere pia dhidi ya mwinyi.
Na huo huo umaskini ndio utakao kuja kufanya samia aonekane hakufanya kitu dhidi ya mwandamizi wake.
Yote ya yote katika mapambano dhidi ya umaskini kwa nyakati zetu hizi magu6 alikua na heri kwa kiasi chake.
Kwa vile yeye aliku mwanadamu, na mwanadamu hana ukamilifu wowote isipokua Mungu na ndio maana yanakutwa makosa kwake, ajaliwe pumziko la amani milele.