'Hangover' ya propaganda za utawala wa Magufuli zitadumu kwa baadhi ya watu milele

'Hangover' ya propaganda za utawala wa Magufuli zitadumu kwa baadhi ya watu milele

Jibu liko wazi kwa sababu mnamchukia, we fikiria hivyo vifo vya kuokota maiti za kwenye viroba ni kipi kilichofanya hadi hivyo vifo vihusishwe na Magufuli? Utagundua ni chuki tu ndio hufanya mumpa hiyo tuhuma.

Kuna wengine wanakwambia alikufa kwa corona ila hana sababu yeyote ya msingi ya kushawishi kuwa kweli alikufa kwa corona na ajabu unakuta mtu anaamini hivyo na humwambii kitu, unagundua hii ni athari ya chuki yani mtu anaona kusema Magufuli kufa na corona ni jambo la kumdharirisha ni kama adhabu.
Mbona vifo vya namna hivyo havijawahi kutokea wakati mwingine bali wakati wake pekee?
 
Umejutahidi kupambana na marehemu unasahau kupambana na maharamia wanao ishi.

Unapoteza mda. Umejitahidi kuandika tuhuma pasi na ushahidi.
1. Taja real estates za Magufuli na document zake

2. Bank gani ya nje ya nchi alificha pesa? Ni kiasi gani hicho?

Mtu alijitahidi kutatua shida za wananchi wewe unaita propaganda? JPM alipowabinya wezi wa Twiga na wauwaji tembo ndipo unaona shida?

Katika bandiko lako unazani hakuna hata jema kwa JPM?

Nakushauri, pambana na walioko madarakani tuone kama una Nia njema na maisha yetu. Vinginevyo tutakuona choko tu
Ametoa shida gani wakati hadi anaondoka nchi ilikuwa na shida kama kitu gani. JPM amekaa miaka mitano bila kuajiri wala kupandisha mtumishi yeyote daraja.
 
Ametoa shida gani wakati hadi anaondoka nchi ilikuwa na shida kama kitu gani. JPM amekaa miaka mitano bila kuajiri wala kupandisha mtumishi yeyote daraja.
Aliajiri bana acha uongo. Na madaraja alipandisha. Na PAYE alishusha.

Acha propaganda uchwara. Hata internet inasema aliajiri.


Lambda useme si kwa kiwango Cha kutosha.


Matatizo ya Umeme yalipungua Sana. Na maji yalikuwa hayakatiki ovyoovyo.

Maendeleo yalikuwa kwa kasi mno.
 
Natamani Kuna taarifa Watu wangezijua wasingemtaja KAMWE yule binamu wa shetani
Tunahitaji mtaje mabaya ya magufuri ili watu wayajue, msiishie kuandika hivi na kubaki nayo moyoni.
 
JPM master the art of public manipulation. Kwenye ziara zake alisimama barabarani, alizungumza na watu, akatoa fedha hadharani kwa watu wa hali ya chini, alitembelea hospitali na kutoa misaada hadharani kwa watu waliokuwa na hali ngumu huku kila media ikimulika. Vitendo vile vimewalevya wengi kudhani kwamba JPM was saviour, tukasahau kabisa na yeye ni mwanadamu mwenye tamaa na uchu, aliweza kufanya chochote pasi nasi kujua kuwa mali zetu zinaibwa na kuwekezwa kwenye hotels zake, real estate, mashamba na kuficha fedha nje ya nchi. Mtoto wa dada yake, aliyekuwa Katibu Mkuu Wizara ya fedha Dotto James alifanya kazi kubwa sana kusafirisha fedha za mjomba wake nje.
ukiweka uthibitisho usio na shaka taanza kumchukia magufuri kuanzia leo
 
mama wa watu amekaa zake anajua ana jeshi la kumtetea humu mitandaoni,kumbe amejaza mapunga tupu yakilipwa na mkubwa wao mwenezi.
 
Aliajiri bana acha uongo. Na madaraja alipandisha. Na PAYE alishusha.

Acha propaganda uchwara. Hata internet inasema aliajiri.


Lambda useme si kwa kiwango Cha kutosha.


Matatizo ya Umeme yalipungua Sana. Na maji yalikuwa hayakatiki ovyoovyo.

Maendeleo yalikuwa kwa kasi mno.
Umeme Tanzania hautoshi na umeme mwingi unatumika katika viwanda. JPM, alitoa amri kwenye viwanda vipunguze uzalishaji na kufanya kazi mchana tu na kuachia matumizi ya umeme uende kwa Wananchi. Viwanda vilifungwa, watu wakakosa ajira na wawekezaji wakaondoka. Huyu ndiye JPM.

Kama ulifurahia umeme kutokatika, uje tu kuna viwanda vilifungwa na maelfu ya vijana wakapoteza ajira. Magufuli ameajiri watu gani? Amewalipa kitu gani kama kwa miaka mitano hajaongeza mshahara wala madaraja?
 
Mm hata kilo ya unga iwe sh laki tano, mafuta ya kupikia kita moja iwe sh milioni moja, na kiberiti kiuzwe laki 2, kamwe siwezi kumkumbuka muuwaji, mtekaji na mporaji.

Mleta mada umeandika vema kwamba propaganda za huyu jiwe zinafanana na za wale madikteta wenzake uliyowataja.
Wewe ni mavi takataka!

Kama alikubutua jua ulimpnulia mwnyewe sasa hasira zako usitake kuzileta ziwe za kila mtu!

Vipi hawa wao wako ikulu eti?
Screenshot_20220726-080825_Facebook.jpg
 
Magufuli kaua hilo halina ubishi. Siyo kwa sababu wewe uko hai na kwenu hakuna aliyeuliwa ndiyo useme hakuna! Jiulize tu kwa nini hatumuandiki Kikwette au Mwinyi na Mkapa kwa habari hizi? Kwa nini yeye tu!!
Ni kwasababu ni rais bora sana!

Na wanaomuandika ni yale mataahira machache kwa mfano wako!

Sasa nani hajaua?

Haya mwambie huyu mamako basi aseme hawa wako wapi?
Screenshot_20220726-080825_Facebook.jpg
 
Jibu liko wazi kwa sababu mnamchukia, we fikiria hivyo vifo vya kuokota maiti za kwenye viroba ni kipi kilichofanya hadi hivyo vifo vihusishwe na Magufuli? Utagundua ni chuki tu ndio hufanya mumpa hiyo tuhuma.

Kuna wengine wanakwambia alikufa kwa corona ila hana sababu yeyote ya msingi ya kushawishi kuwa kweli alikufa kwa corona na ajabu unakuta mtu anaamini hivyo na humwambii kitu, unagundua hii ni athari ya chuki yani mtu anaona kusema Magufuli kufa na corona ni jambo la kumdharirisha ni kama adhabu.
Mbona unateseka hivi kumtetea Mwendazake kuliko hata mahawara zake? Kwani wewe ulikuwa nani wa Magufuli?

Mama Janet mwenyewe tumuona ananawiri baada ya kumzika DIKTETA
 
JMP ameondoa shida gani kwa Wananchi? Magufuli ameondoka watu hawana fedha, deni la ndani limekuwa zaidi kwa kuchukua fedha za watu na kuwekeza katika miradi mikubwa ambayo haina faida ya moja kwa moja kwa watu.

Ndani ya miaka mitano amekopa over 10 trillion, wewe huogopi? Ndege, SGR, Mwendokasi na miradi yote mikubwa amekopa nje bila approval ya Bunge. Kupeleka mji Mkuu Dodoma ni mpango wake wa kutoa zabuni kwa makampuni ya ujenzi ya Kichina ili apate 10%, acheni upuuzi huyu jamaa was filthy thief.
Magufuli ndani ya miaka 5 amekopa til. 10
Mama kwa mwaka 1 amekopa til. 9

Na wewe chawa uko hapa kumsifia
 
Mbona unateseka hivi kumtetea Mwendazake kuliko hata mahawara zake? Kwani wewe ulikuwa nani wa Magufuli?

Mama Janet mwenyewe tumuona ananawiri baada ya kumzika DIKTETA
Mbona wewe unateseka sana kumponda?

Au kwavile alikukula akakuacha huna kitu? Kwani hakukujumlisha kwenye urithi?
 
Ni kwasababu ni rais bora sana!

Na wanaomuandika ni yale mataahira machache kwa mfano wako!

Sasa nani hajaua?

Haya mwambie huyu mamako basi aseme hawa wako wapi?
View attachment 2304359
Asante Crimea Kwa huu mfano. Angalao kuna tofauti kati ya Dikteta na Rais Samia. Wakati wa Mwendazake Polisi hata haijawahi kusema itafanya uchunguzi wa waliopotea kama Saanane na Azory au waliomshambulia Lissu. Wakati wa Samia Polisi kupitia IGP Wambura itasema itachunguza, tusubiri majibu
 
Magufuli ndani ya miaka 5 amekopa til. 10
Mama kwa mwaka 1 amekopa til. 9

Na wewe chawa uko hapa kumsifia
Unafikiri zile mega projects za SGR, JNEPP, Dodoma Capital na Busisi zitamalizika vipi asipokopa?

Pili takwimu zako kwa mikopo ya Magufuli haziko sahihi. Magufuli alikopa Tsh 29 Trillion kwa miaka 5
 
Asante Crimea Kwa huu mfano. Angalao kuna tofauti kati ya Dikteta na Rais Samia. Wakati wa Mwendazake Polisi hata haijawahi kusema itafanya uchunguzi wa waliopotea kama Saanane na Azory au waliomshambulia Lissu. Wakati wa Samia Polisi kupitia IGP Wambura itasema itachunguza, tusubiri majibu
Kumbe wewe ni taahira!

Ilisema itachunguza? Mbona hata kwa Lisu, ben na wote selikali ilisema inachunguza?

Au nyie wenzetu huyu Magu mlikuwa wake zake wa kambo ambao hakuwajumlisha kwenye urithi ndio maana mna hasira nae?
 
Unafikiri zile mega projects za SGR, JNEPP, Dodoma Capital na Busisi zitamalizika vipi asipokopa?

Pili takwimu zako kwa mikopo ya Magufuli haziko sahihi. Magufuli alikopa Tsh 29 Trillion kwa miaka 5
Mama yako anakopa kwenda kujenga vyoo shuleni. Tuambie ni mkopo upi amekopa kujanga hiyo miradi?

Mmejaza mavi vichwani mwenu.
 
Tunamshukuru Mungu kwa kutuondolea yule kiongozi muovu bila damu kumwagika.
Kabisa!

Na sasa tunainjoi maisha tunapumua!

Hakika sasa mahela yamejaa mifukoni!

Bei za bidhaa chini!

Democrasia kila kona!

Hakika tunapumua
 
Huwa mnatuhumu ufisadi wake bila kuthibitisha.

Makamba naye anagawa majiko, mbona watu hawampendi kama Magufuli?

Magufuli aliwapenda wanyonge na kuwatendea haki: wakulima, mama nitilie, machinga, bodaboda na Watanzania tunaoipenda nchi yetu hutuambii chochote kumhusu Jemedari tukakuelewa.

Alijenga miundombinu ya hii nchi kuliko Mtanzanzania yeyote kuwahi kutokea. Akaleta nidhamu na uwajibikaji. Akaanzisha miradi mingi ya Kimkakati, n.k.

Nyie vyeti feki, wauza madawa ya kulevya, mafisadi, vibaraka wa mabeberu na walamba asali wote endeleeni tu kufurahia awamu yenu hii, kutesa kwa zamu.

Ila mnaujua ukweli - Magufuli alikuwa mzalendo wa kwelikweli, hilo halina ubishi.
 
Back
Top Bottom