Haniulizi kwa lolote

Aisee huwa nataman kukutana na wanawake wa dzain hii,awe na kwake na mimi kwangu,na asiwe na wivu wa kifala kama wa wanawake wengne.........nashindwa hata kukushauri maana naona wewe ni mswahili umezoea wanawake wa kiswahili,huyo humuwez
 
Kumbe ile kununa nuna kwa wanawake kunawapendeza watu wengine.

Yuko poa huyo,oa utulie.
 
Usikute hata kitandani haupo vizuri, kuwa mwanaume
 
Sio kwamba ana akili nyiingiiii. Manzi Jamaa siyo size yake. Ni sawa na nikk minaj awe related na baraka da prince. Baraka ataburuzwa tu na nikk atakuwa tayari kwa lolote kutoka kwa baraka [emoji23][emoji23][emoji23]
Hayo Mapenzi yapo tu inategemea wewe una act vipi kama Mwanaume, mfano Aunt Ezekiel,Diamond,na wapenzi wao,,pia kuna Dogo mmoja tunaishi nae hapa Katoro Geita,,alitongozwa akakubali,,Akaelekezwa nini cha kufanya kafuata vyote huko kwenye migodi Leo Wamezaa watoto na ndoa yao Imeimalika na tunavyo ongea Leo Jamaa Anasauti na Anauwezo wa kujisimamia na kuhoji,,na mke alikuwa kama anajaribu but Leo Kazama ,,Yule Dogo aliweza kusoma akili za mke wake Leo amerudisha heshima take,,Huwa ni kumsoma MTU unayeishi naye tu kaka,,Kuwa na uwezo wa kuwaza zaidi yake japo yeye mwanzo ataona kama anakukontro but hufikia siku anakubali na kukukubali zaidi ya mwanzo,, so usipomfahamu yeye direct atakuwa amekuzidi akili ya Maisha
 
Mtoa mada...vp kwenye yale mambo yetu...analalamika hata kidogo au kimya kimya tu...vp at a anajitingisha hata kidogo??? .....ila nimempenda sana huyo Dada iwish ningekua hivyo hizi mbulukenge zingenitambua
 
Nioe mimi nikunyooshe,period![emoji21]
Muoe ivo ivo... Yan we una 43 afu bado unaringa ringa. Ukifa bila mke tutakuziba na gunzi kwenye mk**
 
Ni tabia za masingle maza weng hasa waliotelekezwa halafu wakatafta maisha so wanaweza kuish wenyew
 
Mkuu huyo fanya kwel, hutapata tena mtu km huyo. Wanawake wa cku iz shida tupu. Ukishindwana naye nipe mim nimuoe maana ntaishi kwa furaha
 
Nipe mm nimwoe mara moja natafuta wanawake kama hawa ambao wanajitambua sio ambao wapo wapo tu kutwa kupelekwa puta na wanaume wasiojitambua km ww..nipasie best nimalize maana unachezea dhahabu chooni
 
Yani mbaba wa miaka yake kadhaa eti ananuna ili aulizwe like seriously? Unajua kuna umri unafika unaact kuendana na umri sasa anataka abembelezwe aulizwe ulizwe yani aiseee mambo mengine sio kabisa.Bidada kamuona kwa huo umri wake hastaili kufanyiwa drama za secondary ila baba wa watu ndio anataka kuanza kuonewa wivu na kununiwa[emoji1]
 
Mkuu.....
Kwa hayo yote ulio yataja kuhusu huyo mwanamke wako... naomba siku ukimchoka unistue, maana mimi nina tafuta mwanamke wa aina hiyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…