Hans Poppe wa TATOA amchambua Magufuli

Hiki kisasi anacho sasa ndiyo kawaamuru Takukuru walazimishe kumwingiza kwenye kesi ya Rais wa simba na makamu wake kaburu
 
Reactions: BAK
ipo List ndefu ya kukomolewa na Mtukufu malaika toka chato hataki kusikia wale waliokuwa wakimpinga wapo Uraiani wanatembea, kaamua kuwa Rais mpenda kesi kesi kutwa kuwabambikia kesi Wapinzani na sasa wafanyabiashara kama alivyomnyanyasa Manji na wengineo kimya kimya wakiwemo akina Dewji baba yake MO Mohamed Dewji na wenzao.
 
Mie nilishangaa sana Mkuu huyu jamaa ujasiri wa kumnanga hivi dhalimu anaupata wapi? Kumbe ni kaburi la miaka mitano iliyopita.

Watu wanafukua makaburi kudhihirisha maandiko kwamba lazima yatimie
 
Bado yule mwenye kampuni ya ukandarasi wa barabara aliyerudia kipande cha mtongani mpaka mzunguko wa Kona ya bandari kilwa road nimeisahau jina naye yupo kama ndege cha moto anakiona
 
Mie nilishangaa sana Mkuu huyu jamaa ujasiri wa kumnanga hivi dhalimu anaupata wapi? Kumbe ni kaburi la miaka mitano iliyopita.
hahaha kiroba kingemhusu, ila kwa sasa tra, uhamiaji, tanroads, pccb ndo watahangaika nae mpaka aombe po!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…