tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,863
- 19,626
Huyu hata la utotoni kwake bdo ni beefHata kama una BIFF naye la PRIMARY, lazima AKUSHUGHULIKIE
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu hata la utotoni kwake bdo ni beefHata kama una BIFF naye la PRIMARY, lazima AKUSHUGHULIKIE
Huu uzi nao yawezekana ukawa njia nayo ya kufanya huyu Pope mahakama ikaona naye aunganishwe kwenye kesi ya Aveva na Kaburu.Mhazini wa TATOA ambacho ni chama cha wenye malori Tanzania amemwita Magufuli ni mtu asiyejua na ambaye ana chuki kubwa kwa transporters na angeweza angewaondoa wote nchini kwa tuhuma za kufikirika kuwa wanaharibu barabara.
Amekwenda mbali zaidi kwa kusema anafikiria kuwa Magufuli anafanya makusudi ili apate mgao wake wa rushwa. Hii ni kwa sababu amewaagiza wafanyakazi wa mizani ya Iringa wawatoze faini wenye malori na kuuliza kwanini faini zinapungua. Hans Poppe anasema faini zinapungua kwa sababu transporters wamekuwa compliant so hawatakiwi kutozwa faini ovyo.
Amesema Magufuli ndio Waziri wa ovyo kuliko wote kwa kuendesha uongozi wa vitisho na amri za ovyo na kwamba mainjia wote wanamwogopa sana na wanasema hivyo.
Anasema ingawa Magufuli si injinia lakini elimu yake inatosha kutoa mwongozo mzuri ila anafanya makusudi.
Amesema amri ya Magufuli kuondoa tolerance ya 5% katika uzito wa mizigo ni kinyume cha sheria kwani hiyo ni sheria au taratibu iliyowekwa tokea zamani wakati Magufuli bado anasoma.
Kwa hitimisho wameamua kusimamisha malori yote kutofanyakazi kuanzia kesho.
Hii imetoka katika mahojiano na ITV 5 minutes ago. Ipo kazi!
Duh! Ndo maana JK aliingia mkenge au? 😀&[HASHTAG]#8203[/HASHTAG];Magufuli anachoweza sana ni kujikomba kwa JK kwa kumtaja kila baada ya dakika moja katika hotuba zake!
Sijui kuhusu wahutu, lakini nimeshaona wasukuma wenye sifa kama hizo. Ila kwenye roho kutu ndo mpya kidogo. Ila the rest hapo umepatia kabisa.Magu ni mtu wa visasi sana mbaya zaidi amejaa kiburi, majivuno na dharau. Anavyotembea huku akiwa amezungukwa na walinzi wenye silaha basi anajiona ataishi milele
Labda alikuwa rafiki wa JKHuyo bwana alikuwa ni miongoni mwa wenye kutoa kauli hizo hasa kwa viongozi wa serikali......
Umeongea kama mzee wa Chato. “Wazarendo” hoye!Nani kama Magufuli katika kuchapa kazi? kama hauamini nitafutia viongozi 10 wenye uwezo wa kusimamia sheria katika nchi hii kama Magufuli.Tuache wachache wazarendo wenye uwezo wa kusimamia sheria kama nguzo mama kwa taifa lolote lenye dira ya maendeleo watufundishe namna ya kuheshimu sheria.
Upo Mkuu?Linapokuja suala la reli vs barabara hapa ndio serikali hii huwa siielewi kabisaaaa bora wagome tena kwa muda mrefu ili tujifunze kwa njia ngumu
Wewe ndiyo kichaa kwani ni chanzo cha U- uchoko, C- crazy D- dandiwa mgongoni na Cyprian msiba, kumbuka nikikuonya tokea kitambo uache ufala tusimame kwenye mada lakini hutaki sasa ngoja niendelee kuchambua kirefu cha UCD mpaka uache Ungese wako.Hahahahaha... kumbe na chat na kichaa anaitwa ushuzi....!! Basi bwana
Kila Uonevu una mwisho wake waendelee kuwaonea watu lakini mwisho haupo mbaliHansp watamskia kwenye bomba tu
Ova
Utaanza wewe kuwa wa mwisho hapa TZKila Uonevu una mwisho wake waendelee kuwaonea watu lakini mwisho haupo mbali
Mkuu hii kauli yako ilikua na maana sanaMagufuli ni hatari iliyo mbele ya hii nchi!
Naona hii mbegu imeota sasaMhazini wa TATOA ambacho ni chama cha wenye malori Tanzania amemwita Magufuli ni mtu asiyejua na ambaye ana chuki kubwa kwa transporters na angeweza angewaondoa wote nchini kwa tuhuma za kufikirika kuwa wanaharibu barabara.
Amekwenda mbali zaidi kwa kusema anafikiria kuwa Magufuli anafanya makusudi ili apate mgao wake wa rushwa. Hii ni kwa sababu amewaagiza wafanyakazi wa mizani ya Iringa wawatoze faini wenye malori na kuuliza kwanini faini zinapungua. Hans Poppe anasema faini zinapungua kwa sababu transporters wamekuwa compliant so hawatakiwi kutozwa faini ovyo.
Amesema Magufuli ndio Waziri wa ovyo kuliko wote kwa kuendesha uongozi wa vitisho na amri za ovyo na kwamba mainjia wote wanamwogopa sana na wanasema hivyo.
Anasema ingawa Magufuli si injinia lakini elimu yake inatosha kutoa mwongozo mzuri ila anafanya makusudi.
Amesema amri ya Magufuli kuondoa tolerance ya 5% katika uzito wa mizigo ni kinyume cha sheria kwani hiyo ni sheria au taratibu iliyowekwa tokea zamani wakati Magufuli bado anasoma.
Kwa hitimisho wameamua kusimamisha malori yote kutofanyakazi kuanzia kesho.
Hii imetoka katika mahojiano na ITV 5 minutes ago. Ipo kazi!
dah!!! uliona mbali mkuu maana sasa hivi kamaliza morogoro road yote.ni jambo lisilotakiwa hata kidogo kwa kiongozi kufanya maamuzi kwa kuongozwa na hisia au motives.Huyu bwana nilimsema huko nyuma kuwa alitoa amri ya kuvunja nyumba Morogoro road kwa kutumia sheria iliyopitwa na wakati hadi Pinda alipoingilia kati.leo hii anafanya kitu kinachofanana na hicho na mengine mengi yaliyowahi kuandikwa humu kama vile kuwakomoa watu ambao hawakumpigia kura kule jimboni kwake.sasa hizi kama sio emotions na motives ni nini?nasema tena mtu anayependa sifa hafai kuongoza watu kwa sababu anaongozwa na hisia na motives!
Kuna mbinu inatumika sasa kuwakomoa wenye Visasi Visasi na Mtukufu malaika toka chato, mbinu mojawapo ni kusema uchunguzi haujakamilika huku mtuhumiwa akisota jela kwa mateso, Awamu hii ya tano wanatumia katiba ya marehemu idd Amin Dada na katiba ya marehemu Mabutu wa Zaire kuitawala Tanzania ni mwendo wa Uonevu na Visasi kwa kwenda mbele ni utawala dhalimu.akimbie tu maana huyu mtu anakuweka jera kwa kesi isiuodhaminika . kuja kujulikana kwamba sio mhusika usha kaa miaka mitano jera
Visasi Visasi VisasiKumbe ndo maana anamtafuta?
Mhazini wa TATOA ambacho ni chama cha wenye malori Tanzania amemwita Magufuli ni mtu asiyejua na ambaye ana chuki kubwa kwa transporters na angeweza angewaondoa wote nchini kwa tuhuma za kufikirika kuwa wanaharibu barabara.
Amesema Magufuli ndio Waziri wa ovyo kuliko wote kwa kuendesha uongozi wa vitisho na amri za ovyo na kwamba mainjia wote wanamwogopa sana na wanasema hivyo.