Hans Poppe wa TATOA amchambua Magufuli

Huu uzi nao yawezekana ukawa njia nayo ya kufanya huyu Pope mahakama ikaona naye aunganishwe kwenye kesi ya Aveva na Kaburu.
 
&[HASHTAG]#8203[/HASHTAG];Magufuli anachoweza sana ni kujikomba kwa JK kwa kumtaja kila baada ya dakika moja katika hotuba zake!
Duh! Ndo maana JK aliingia mkenge au? 😀
 
Magu ni mtu wa visasi sana mbaya zaidi amejaa kiburi, majivuno na dharau. Anavyotembea huku akiwa amezungukwa na walinzi wenye silaha basi anajiona ataishi milele
Sijui kuhusu wahutu, lakini nimeshaona wasukuma wenye sifa kama hizo. Ila kwenye roho kutu ndo mpya kidogo. Ila the rest hapo umepatia kabisa.
 
Umeongea kama mzee wa Chato. “Wazarendo” hoye!
 
Hahahahaha... kumbe na chat na kichaa anaitwa ushuzi....!! Basi bwana
Wewe ndiyo kichaa kwani ni chanzo cha U- uchoko, C- crazy D- dandiwa mgongoni na Cyprian msiba, kumbuka nikikuonya tokea kitambo uache ufala tusimame kwenye mada lakini hutaki sasa ngoja niendelee kuchambua kirefu cha UCD mpaka uache Ungese wako.
 
Naona hii mbegu imeota sasa
 
dah!!! uliona mbali mkuu maana sasa hivi kamaliza morogoro road yote.
 
akimbie tu maana huyu mtu anakuweka jera kwa kesi isiuodhaminika . kuja kujulikana kwamba sio mhusika usha kaa miaka mitano jera
 
akimbie tu maana huyu mtu anakuweka jera kwa kesi isiuodhaminika . kuja kujulikana kwamba sio mhusika usha kaa miaka mitano jera
Kuna mbinu inatumika sasa kuwakomoa wenye Visasi Visasi na Mtukufu malaika toka chato, mbinu mojawapo ni kusema uchunguzi haujakamilika huku mtuhumiwa akisota jela kwa mateso, Awamu hii ya tano wanatumia katiba ya marehemu idd Amin Dada na katiba ya marehemu Mabutu wa Zaire kuitawala Tanzania ni mwendo wa Uonevu na Visasi kwa kwenda mbele ni utawala dhalimu.
 

Magufuli anawachukia mainjinia sio kawaida! Yaani huwa anawavumilia basi tu hana la kufanya. Nahisi labda alitaka kusoma uinjinia akawa hana qualifications za kutosha, sasa ana hasira na mainjinia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…