Hans Poppe wa TATOA amchambua Magufuli

Aiseee hilo kaburi lina madini ya tanzanite
 
Nilidhani hii ni post ya awamu hii, ningeshangaa.
 
Ila zamani watu walikua jeuri jaman, haswa wafanyabiashara walikua na nyodo mnoo, angalia huyu jamaa alivyothubutu kumtukana Waziri mzima tena mbele ya kamera, ukitaka kujua utam na karaha ya dunia mjibu tu Mkuu wa Wilaya shit sasahivi ndio utaita maji mma
 
Mkuu ukitaka kujua alikua na jeur na kibri angalia alivyomnanga Waziri tena mbele ya kamera asee acha anyooke
 
Na wewe acha kuish kama dedere....... kwahiyo unaona Hao watu ni Miungu yako... haya nenda kaiabudu
 
Mmbea wewe
 
Bado kukidhibiti wewe
 
Hana lolote huyu,anatapatapa tu.Wenye malori ikiwa ni pamoja na yeye wamechangia sana kuua reli zetu ili wa-monopolize usafirishaji wa mizigo kwa kutumia malori yao.Zipo taarifa kwamba wame-collude na viongozi wasio waaminifu wa serikali ili kufanikisha adhma yao hiyo ovu.Ni wazi kwa hiyo kwamba ujenzi wa SGR ni mkuki moyoni kwao and hence the hate!
 
Si ilikuwaje ccm wakampitisha huyu mtu.........
 
Ndo sasa Baba Bashite ajue aina ya mtu anayepambana naye...huyu ni retired Military officer aliyewahi kuwaza kumpindua Rais wa nchi, tena Nyerere, na almanusura afanikiwe...he can still do it....tena kwa huyu kiberenge ni rahisi tu!
Dah!! eti kiberenge. nimecheka sana, sijui umewaza nini! hahahaaa
 
Mkuu Visasi Visasi vimewatafuna wengi hata Yusuph Manji alipigwa kwa Visasi vya zamani na sasa anawasaka Risasi rostam Aziz na wenzake kwa bidii ili awakomoe ni hatari na Aibu kufanya kazi kwa Visasi.
mkuu hapo kwa rostam itakuwa ndoto kwake
 
Nilidhani hii ni post ya awamu hii, ningeshangaa.
Historia ni mwalimu mzuri. Alichoongea Zakaria Hans Poppe miaka mitano iliyopita kinaendelea leo.
 
Mkuu ukitaka kujua alikua na jeur na kibri angalia alivyomnanga Waziri tena mbele ya kamera asee acha anyooke
Sasa mtu asijibiwe? kwani kuna sheria kavunja? mtu kutoa maoni yake imekuwa taabu. Huko USA kila siku Trump ana tukanwa na mambo yanaenda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…