Hiki kisasi ndiyo kinamtafuna Zakaria Hans mpaka sasa, huu ni utawala wa visasi kwa 100%Bora njia ya reli ifufuliwe tu,Usafirishaji wa bidhaa kwenda sokoni kupitia barabara ndiyo umeufikisha mfumuko wa bei hapa ulipo.I think Magufuru's attitude towards Transporters is a blessing in disguise!!
Zakaria Hanspope hana hatia bali ni visasi vinamtafunakumbe tatizo lao limeanzia mbali hivyo?
Bora kukimbia kuliko kukaa ukomolewe kwa visasiJamaa kalala mbele kunyea debe sio mchezo.
Ni makosa ya kutengeneza kijanja janja hiviKwan anahukumiwa kwa kosa gani tupime kwanza?
Nani sasa Hans Pope? Au ulitaka kujifanya unatabiri [emoji23][emoji23][emoji23]Huyu jamaa atakuja kuwa presdaa msimchukulie poa teh teh teh
sasa kama makosa yametengenezwa kijanja janja si yatakosa ushahidi huko mahakamani hivyo ataachiwa huru kwann akimbie?!.Ni makosa ya kutengeneza kijanja janja hivi
mmhHuyo HANS POPE ni -------- tu, kama wakigoma wagome wao, hata hivyo malori kutoka nje yanaendelea na safari. Na nyinyi munompa kichwa na kumsifia HANS POPE ni wapuuzi tu, inawezekana hamumujui magufuli. Ngoja niwape mfano mdogo wa mjinga mmoja aliyekuwa na kiburi na dharau kama HANS POPE jinsi magufuli alivyo mfanya kitu mbaya.....
Kuna jamaa mwarabu mmoja anaitwa Zakheimu alikuwa mkandarasi mkubwa sana hapa nchini, siku moja wakandarasi wakaandaa mkutano na magufuli akaalikwa kama mgeni, kilichotokea ni kwamba MAGUFULI alichelewa kufika kwenye mkutano, MAGUFULI alipofika kwenye mkutano yule ZAKHEIMU akamfuata MAGUFULI na kuanza kumtukana nanukuu "yaani waziri mzima unachelewa kwenye mkutano sikutegemea kama waziri unaweza kuwa na akili ya ajabu kiasi hiki na hatukutaki tena kwenye mkutano" Magufuli akamjibu ZAKHEIMU nanukuu "wewe mwarabu unatoa wapi jeuri ya kunitukana mimi waziri tena wewe ni mgeni ndani ya hii nchi, sasa tutaona, nahakikisha kuanzia leo kampuni yako haipati kandarasi au tender yoyote labda ya kutengeneza bara bara za mtaa, labda mimi sio magufuli nakuapia" tokea hapo mpaka leo kampuni ya ZAKHEIMU imekufa na nasikia siku hizi ZAKHEIMU ameamua kuokoka. Zamu ya huyo kibaraka HANS POPE inakuja, kumbukeni magufuli haonei mtu bali anasimamia sheria na ndicho kinachotakiwa kwa kiongozi bora "utawala wa sheria"
Lazima mumtetee kamanda wenu.Hiki kisasi ndiyo kinamtafuna Zakaria Hans mpaka sasa, huu ni utawala wa visasi kwa 100%
Mpeni agombee uraisi badala ya mamvi. Na kosa lake la uhaini kwakuwa ninyi ni mabingwa wa kusafisha mtamgeuza kuwa mtakatifuHuyu jamaa atakuja kuwa presdaa msimchukulie poa teh teh teh
Yaa u got my point nilikuwa ....najifanya natabiri....I was jokingNani sasa Hans Pope? Au ulitaka kujifanya unatabiri [emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu wakati wa kesi ile nilikuwa ndio niko chuo, kwakweli nilikuwa naifuatilia kwa karibu sana hasa sio kwa kufurahia uasi au mapinduzi bali ujasiri wa hao maofisa vijana wa jeshi.Yuko DR Congo ana kibarua cha kufundisha waasi
Sijui yuko wapi lakini kama bado yuko hai atakuwa amezeeka sana
Eugine Maganga ni marehemu kwa sasa. Aliugua ugonjwa wa kisukari na baadaye kufariki. Apumzike kwa Amani.
inasikitisha sana ila sikumoja watalipaHiki kisasi ndiyo kinamtafuna Zakaria Hans mpaka sasa, huu ni utawala wa visasi kwa 100%