Hans Poppe wa TATOA amchambua Magufuli

sasa kama makosa yametengenezwa kijanja janja si yatakosa ushahidi huko mahakamani hivyo ataachiwa huru kwann akimbie?!.

humjui malaika wenu yaan anachotaka ni kuwasotesha lumande wale wote anaowachukia. kes yako inakua haina dhamana. unakaa ndani mwaka unashinda kesi au unaachiwa huru na jera usha kaa!! ingekua wanakufungulia kesi za kawaida nan angelaumu!! shida iko kwenye uhujumu uchumi. kapona bashite tuuu
 
Heee alutaka kumpindua Nyerere ndo masikia leo. Weka nyama kidogo Mkuu.
 
Yule mkuu wa Israeli raid in Entebbe alikuwa ni Netanyahu Sr na aliuliwa kwenye ile operation huyu waziri mkuu wa sasa ni mdogo wake.
 
Kama yalianzia huku basi kuna shida kubwa sana mbeleni kwa ndugu yangu Pope.
 
Leo kawa mkimbizi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…