chuwaalbert
JF-Expert Member
- Sep 17, 2010
- 3,598
- 2,118
Hans ni Hamza Kalala...Jamaa kalala mbele
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hans ni Hamza Kalala...Jamaa kalala mbele
sasa kama makosa yametengenezwa kijanja janja si yatakosa ushahidi huko mahakamani hivyo ataachiwa huru kwann akimbie?!.
Hili la kwetu ni jinga tu, umasikini na maradhi ndiyo silaha yake kuuUongozi wa visasi haujengi, ndio maana kiongozi unatakiwa kuwa na ngozi ngumu kukubaliana na unaotofautiana nao na hata wale unaotifautiana nao
Wewe unaonaje?Yani unashindwa kuelewa hapa?Hapo nina madaraka Sasa makubwa nitakuoneshaHili bandiko linauhusiano wowote na huu msako
Heee alutaka kumpindua Nyerere ndo masikia leo. Weka nyama kidogo Mkuu.Wekeni akiba maneno yenu, hatimaye Magufuli is fighting a former military officer, tena mtu pekee aliyethubutu kuwaza na kujaribu kumpindua Rais Nyerere - he is not just another guy you know ...and he hasn't lost his love for the trigger u know...and he hasn't lost his class you know....sasa wekeni akiba maneno yenu! Hamjiulizi tu Magufuli alikosaje kumkamata? Tulieni
🙆🏽♂️🙆🏽♂️Tanzania usitukane mwanasiasa hata kama mi kibajaji kwa sababu huyajui ya kesho.
Yule mkuu wa Israeli raid in Entebbe alikuwa ni Netanyahu Sr na aliuliwa kwenye ile operation huyu waziri mkuu wa sasa ni mdogo wake.Eti zawadi nono itatolewa kwa mtu atakayefanikisha kukamatwa alipo Hans Poppe,what a joke?
Halafu wanajua alipo Ila kumkamata ndio hawawezi.
Ngoja niwape clue,yuko Israel,Tel Aviv nendeni mkamchukue.
Hans Poppe alikuwa rafiki mkubwa wa Yoni Netanyahu (mdogo wa Benjamin Netanyahu)who commanded the Israel elite commandos in Operation Entebbe.Iddi Amin Dada angekuwa hai angewasimulia kidogo.
Kila la heri,I have given you the location.
Yeyote yule anaweza akanyea debe siku yoyote hata huyo usiyemdhania. Nobody is above the law.Jamaa kalala mbele kunyea debe sio mchezo.
Dawa ya moto ni moto, wamekutana hao, magufuli nae anakera sana kwa kauli zake
Na jamaa alivyo na roho ya kisasi, Mungu tu ndio anajua kitakachotokea.Kama yalianzia huku basi kuna shida kubwa sana mbeleni kwa ndugu yangu Pope.
Leo kawa mkimbiziYeye anasema Magufuli ana chuki binafsi na transporters, mimi nasema yeye ana chuki binafsi na Magufuli.
Miezi kadhaa iliyopita alikuwa akihojiwa na kipindi cha television (sikumbuki kituo gani), jamaa aliyaongea hayahaya, tena kwa dharau na kebehi kubwa kwa magufuli utafikiri anamuongelea mtoto wake. Nilijiuliza sana huyu jamaa anapata wapi kiburi hiki? Nikahisi kuna nguvu nyuma yake na si bure!
Inawezekana jamaa ana hoja, lakini jinsi anavyowakilisha hoja zake inaudhi.
Simuungi mkono Magufuli, lakini si vema pia mtu kuwasilisha hoja kwa dharau kwa waziri mwenye dhamana!